Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

Khaaa, aisee!
 
Ndio maana nasema mwanaume mwenye akili hawezi kuoa mwanamke used, huoa bikra, sasa vipi una mimba ya mtu mwingine halafu unaolewa nayo, huu ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa
 
Na kama Castor aliikataa mimba ya wiki mbili! ilikuwaje tena akubali mtoto wa miaka mitatu? Hapa picha sijaipata!
Kwa vyovyote Peter alimfaa Muna wakati ametendwa! Mungu awape Amani wote watatu na wamwache Patrick apumzike kwa Amani pia.
 
Wanawake sio wa kuwaamini kabisa....ni madudu kabisa. Njaa zinawabadilisha kwakweli😀😀
 


Bongo Movie, Bongo Lala fofoooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 


Once a Prostitute.................Always a Prostitute.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wanajua kuwashika watu huko Instagram,sijui mtu akicheat kwenye ndoa mtu mwigine inakuhusu nini?,wengine wamelelewa ukute sio na wazazi ambao ni wazazi wao biologically...
Kwa hiyo alichofanya ni sawa?

Kwani hua mnalazimishwa ndoa kwa nini unazaa nje ya ndoa?
 
Hiyo huwa ni siri ya wanandoa
 
Kwani muna si anafaa kuitwa bongo movie ama?

Maana kila kitu kwake ni sanaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…