King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu wapo sema hizo issue ni siri za ndani,ila wenyewe wanajua,nawajua wengi siwezi kutaja mkuu maana haina maslahi ya umma.Tutajie japo mmoja mkuu kama sio chai ya mdalasini hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wapo sema hizo issue ni siri za ndani,ila wenyewe wanajua,nawajua wengi siwezi kutaja mkuu maana haina maslahi ya umma.Tutajie japo mmoja mkuu kama sio chai ya mdalasini hii
HahahahaKweli kweli mimi huyu dada hata bure hapana aiseeehhh
Hahaaaa daahh mpaka nimecheka usiku huuKwahiyo Peter ni baba mlezi na Casto ni baba mzazi, basi sawa haina shida, ila kisheria ni mtoto wa Peter, kibaiolojia ni wa Casto; case closed.
Kila mtu anafanya makosa. Mengine ni ya aibu sana tunajijua. Binafsi sijudge makosa ya Muna..ninachoshangaa ni ujasiri wake wa kuyaanika mambo yake yooote kwa umma wa watanzania utadhani sisi ni ndugu zake.binadam kwa kunyooshea vidole mabaya ya wenzetu hatujambo...
kuna wengine wamefanya makubwa zaidi ya hayo...
Las las only God and him alone has the final say in this...
Inawezekana kweli..lakini waliamua kumlilia muumba wao na sio kuita waandishi wa habari.binadam kwa kunyooshea vidole mabaya ya wenzetu hatujambo...
kuna wengine wamefanya makubwa zaidi ya hayo...
Las las only God and him alone has the final say in this...
hasira za nini kaka,kwani Peter hakuwa akijua Muna ana mimba ya mtu mwingine akampeleka kanisani!Unampongeza kwa lipi?unajua ninini maana ya mwanamke kuolewa kwa ndoa?
Akiwa anajua kwamba ana mimba aliyoipata ktk uzinzi iwaje akaolewe tena kanisani akiwa bado na dhambi ya uongo nafsini mwake?sina shaka wanawake dizain hii ni wale mnaenda kufunga ndoa kesho usiku huu unaenda kugongwa ngozi na sijui mnaita X sijui takataka gani!
msiamini kila linalotamkwa kwenye mdomo wa kiumbe kinachoitwa binaadam hususan kama ana ajenda,alete risiti hapa sio blabla.Atakuaje na amani wakati pesa ya matibabu yote katoa peter,achene kuupepea umalaya
uselfish wake ni nini sasa kueleza ukweli uliopindishwaau?Hongera kwa lipi haswa? she is too selfish....she is dying with guilt
Inamaana bado ana mume basi mume jingamnh,kuna kitu kinaitwa assertive tactics in impression management..
msimcheke muna, labda na nyie mngekua kama yeye,mngefanya the same...
desperate need to repair image ambayo imekua tarnished,
pole Muna,mie nakuelewa unachofanya,
ila ,
iwe mwisho kuwasiliana na waandishi,
unamwaga petrol kwenye moto tayari…
wataendelea kukusema tu..
wanadamu wabaya..
watavunja ndoa yako for real
hahaha inashangaza Dana ....empty set kabisaWanawake wa bongo movie bwana yeye anaona kama sinema vile kumbe anajidhalilisha
hahaa haha waweza kukuta mtoto ni wa lemutuz au jerry muroNgoja nimtaga makonda