Munalove, salamu zako hizi, kama hutaki potezea

Munalove, salamu zako hizi, kama hutaki potezea

Atani-block kule shoga yangu kabisa...sitaki kuchafua CV insta
Hata akikublock lakini utakuwa umetimiza nia yako ya kumuambia ukweli watatokea wengine Kama wewe watakao endeleza mpambano.
Au Kama vipi muendikie kwa fake ID maana hapa sidhani Kama ataupata Ujumbe wako.
 
Hata akikublock lakini utakuwa umetimiza nia yako ya kumuambia ukweli watatokea wengine Kama wewe watakao endeleza mpambano.
Au Kama vipi muendikie kwa fake ID maana hapa sidhani Kama ataupata Ujumbe wako.
Hapa ujumbe anaupata direct.
Maana kile kichambo nilichompa Wema siku ile nilikikuta Insta, nikajisemea moyoni, shenzi zao kumbe wanabarizi Jf kimya kimya
Kichambo hiki kama unanikumbuka?
Screenshot_2016-04-08-13-32-01-1.png
Screenshot_2016-04-08-13-32-11-1-1-1.png

Baadhi ya maneno mengine Dulla ameyakata maana yeye ni team Zari...nilipomtaja na kumnanga Zari kakata...ila thread ilikuwa ndefu tu.
 
kwa hiyo huyo bwana Peter akawa analala chini alafu mume mwenzie anamgonga mkewe kitandani?!
 
Habari zingine kusoma zinachefua tu.

Bonge la gazeti alafu kilichomo ndani ni upuuzi/udaku tu.
 
Bosi mutoto nae,ameonja Wa tz, harudi tena Uganda. Na hawa wadada Wa mujini, wanayachezea sana maisha, wakija kukurupuka baadae,is too late.watatamtafuta mchawi kumbe walijiroga wenyewe
 
hawa wazee wa ngada wakina petiti majanga sana na mwenzake kavira wanawachezea hawa malaya wa mjino
 
Habari zingine kusoma zinachefua tu.

Bonge la gazeti alafu kilichomo ndani ni upuuzi/udaku tu.
We kabla hujaingia humu uliangalia kwanza hapo mlangoni wameandika jukwaa gani?
Kama unaona upuuzi, ungesoma kimyakimya...asa kutujulisha kama ulipita ili iweje?
Unalipwa au wewe ndo team Muna?
umeitwa hapa au nimeku-quote waheed wewe?
Sasa kwa taarifa yako...udaku ndo habari ya mjini.
Tizama mpua wake, kama sketi ya solo
 
Hahahahaaa.. Kutoka Maimuna mpaka munalove...wazazi tujifunze kutafuta majina yenye maana kwa watoto wetu ..... Japo hilo jina lilikua lina endana endana tu
 
Hichi kichambo kingekuwa na kigoma Cha ulugwai na bi hindu na riyama ingekuwa poa sana
 
Back
Top Bottom