Munalove, salamu zako hizi, kama hutaki potezea

Munalove, salamu zako hizi, kama hutaki potezea

DaJane looh shkamoo da Jane hichi kichambo kuntu, halaf naomba kuuliza hvi huyu munalove ndo coleta ama yule Dada alikua ana igiza hlf ana jiita koleta
 
Huu ubuyu imebidi nikaupatie kwanza supu ya ulimi na chapati mbili.
Sio ubuyu tu,bali zaidi ya ubuyu.
Shoga DaJane nimekuvulia kofia,sio kwa kichambo hiki mama....uwiiiiiiiii

Anyways, huyo Muna sionagi cha maana kwake,kwanza kalio lile analoringia kila uchwao nasikia ni fake zone!
Kafupi kama stuli,sikapendi kama nini!
Kumbe ndio maana ushoga wao na Lulu uko hot namna ile?
Kama ndio hivyo jamani mbona Hamisa atakuwa kaanza kuliwa 'vyake' na Lulu kitambo?

Halafu yule Casto jamani namuonaga mstaarabu hana mambo ya wakaka wa mjini kumbe nae yumo?
Nimebaki mdomo wazi....
Sio kwa umbea wa leo!
 
DaJane looh shkamoo da Jane hichi kichambo kuntu, halaf naomba kuuliza hvi huyu munalove ndo coleta ama yule Dada alikua ana igiza hlf ana jiita koleta
We unasema Koleta yule alikuwa anaigiza mdomo anaweka upande kama kapatwa na kiharusi cha adhuhuri?
Sio yeye.
Kwanza Muna alikuwa cheusi mangala.
Ngoja nikutafutie picha yake...utankumbuka tu
 
Kwa kashfa ya Castro inabidi Ruge amsimamishe kupisha uchunguzi.
 
Huyo peter wa buluwariz kateseka mno kwa huyo jini Maimuna.Amfungue mwenzie kawa kama taahira
Kama mimba kambebesha ya mwanaune mwenzie, kwanini asimuache kaka wa watu?
Unaambiwa kutwa Muna au Rose yuko mdomoni, unaambiwa jamaa hajiamini popote alipo.
Namuonea huruma sana, hata kupendeza kama zamani hapendezi.
Afu nasikia Muna hata kama akiwa na shida ya pesa, akienda kwa Peter anampa.
Ndo mana nasema mganga wake nyoko
 
Kwa kashfa ya Castro inabidi Ruge amsimamishe kupisha uchunguzi.
Aiii...zamaniiii
Casto alifanya siri, ila Muna akawa anamfata mpaka Casto anamwambia kuwa mtoto wa Pater, Casto akaamua kumwaga mboga.
unaambiwa siku Casto anaenda kumchukua mwanae kwa Peter na Muna, walizichapa Peter na Casto...kugombea mtoto.
Watu wakamtonya Peter aangalie sura, Peter alipogundua akawa mpole.
Sahivi Casto kwa raha zake, kutwa kumrusha Patrick mwanae Insta.
Peter kabaki kuumia tu.
 
Huu ubuyu imebidi nikaupatie kwanza supu ya ulimi na chapati mbili.
Sio ubuyu tu,bali zaidi ya ubuyu.
Shoga DaJane nimekuvulia kofia,sio kwa kichambo hiki mama....uwiiiiiiiii

Anyways, huyo Muna sionagi cha maana kwake,kwanza kalio lile analoringia kila uchwao nasikia ni fake zone!
Kafupi kama stuli,sikapendi kama nini!
Kumbe ndio maana ushoga wao na Lulu uko hot namna ile?
Kama ndio hivyo jamani mbona Hamisa atakuwa kaanza kuliwa 'vyake' na Lulu kitambo?

Halafu yule Casto jamani namuonaga mstaarabu hana mambo ya wakaka wa mjini kumbe nae yumo?
Nimebaki mdomo wazi....
Sio kwa umbea wa leo!
We acha tu.
Muna ni kuwadi asikwambie mtu....we mpe heading tu, mistari anajazia mwenyewe.
Ndio maana kwenye mapokezi ya Lulu Airport toka Nigeria alienda yeye, Wema na Davina tu.
Wasanii walimgomea kutokana na tabia yake.
Nasikia Majey kampa Muna Mil 3 za asante ya kumtongozea Lulu, chezea mjini wewe.
Huyo Casto mwenyewe kamvalisha pete mchumba wake Marry.

Nashangaa tu ghafla Muna kawa title mjini wakati hana ba wala be....ashukuru Wema kumpandisha chati, Kinje na plus mkorogo wa Dubai kwa Junaither mixture filter ya camera 360, basi kajiona kawiiiiiini.
Atupishe sie....na alivuo mfupi kama tofali la kuchoma
 
Aiii...zamaniiii
Casto alifanya siri, ila Muna akawa anamfata mpaka Casto anamwambia kuwa mtoto wa Pater, Casto akaamua kumwaga mboga.
unaambiwa siku Casto anaenda kumchukua mwanae kwa Peter na Muna, walizichapa Peter na Casto...kugombea mtoto.
Watu wakamtonya Peter aangalie sura, Peter alipogundua akawa mpole.
Sahivi Casto kwa raha zake, kutwa kumrusha Patrick mwanae Insta.
Peter kabaki kuumia tu.
Aisee,so sad
 
Aiii...zamaniiii
Casto alifanya siri, ila Muna akawa anamfata mpaka Casto anamwambia kuwa mtoto wa Pater, Casto akaamua kumwaga mboga.
unaambiwa siku Casto anaenda kumchukua mwanae kwa Peter na Muna, walizichapa Peter na Casto...kugombea mtoto.
Watu wakamtonya Peter aangalie sura, Peter alipogundua akawa mpole.
Sahivi Casto kwa raha zake, kutwa kumrusha Patrick mwanae Insta.
Peter kabaki kuumia tu.
Bora niendelee kuishi huku kwetu songea bomba mbili huko dar hapana,
 
Back
Top Bottom