Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Treat ur man as u would like ur son to be treated.....as well treat ur wife as u would like ur dauta to be treated!!Ndo watoto wa mjini walipofika hapa
Ila nitakuja one day kuwaona live wakina munalove DaJane nione walivyoumbikaHahahha......Muna kaleta kasheshe.
Hahahahahaaa DaJane jamani umenifurahisha sana leo.We acha tu.
Muna ni kuwadi asikwambie mtu....we mpe heading tu, mistari anajazia mwenyewe.
Ndio maana kwenye mapokezi ya Lulu Airport toka Nigeria alienda yeye, Wema na Davina tu.
Wasanii walimgomea kutokana na tabia yake.
Nasikia Majey kampa Muna Mil 3 za asante ya kumtongozea Lulu, chezea mjini wewe.
Huyo Casto mwenyewe kamvalisha pete mchumba wake Marry.
Nashangaa tu ghafla Muna kawa title mjini wakati hana ba wala be....ashukuru Wema kumpandisha chati, Kinje na plus mkorogo wa Dubai kwa Junaither mixture filter ya camera 360, basi kajiona kawiiiiiini.
Atupishe sie....na alivuo mfupi kama tofali la kuchoma
Umemjamba vilivyo.
We mbuzi....kabla hujaingia humu uliangalia kwanza hapo mlangoni wameandika jukwaa gani?
Ngedere we....kama unaona upuuzi, ungesoma kimyakimya...asa kutujulisha kama ulipita ili iweje?
Unalipwa au wewe ndo team Muna?
Nyooooooooo!!!!.....umeitwa hapa au nimeku-quote waheed wewe?
Sasa kwa taarifa yako...udaku ndo habari ya mjini.
Paraza makalio yako...kojoa ukalalwe.
Tizama mpua wake, kama sketi ya solo
Mhh inabidi tumpigie mizinga 21 baada ya kula ban bcz ya ule Uzi wa wema hahahah jaman kiboko huyu Dada ,tunasubiri siku ya mangeHahahahahaaa DaJane jamani umenifurahisha sana leo.
Una vituko sana,nikikumbuka ulivyosema alikuwa kapauka kama ngozi ya goti la kilema nacheka kama mwendawazimu.....
Uwiiiii nimekuvulia kofia.
Sio kwa nyuzi zako hizi mbili,nimekukubali sana.
umepatia kasoro hilo la mtoto hao kuanza kugongana hawana hata miaka 3,huyo mtoto kumungalia ana 5 na kuendelea kipindi hicho casto alikuwa anashea demu mmpja mweupe na yule mbunge wa kigoma aliyefukuzwa chadema,demu akivuta hela kule anamgea casto maana kijana u marioo anaupenda sana. hiyo kupigana na kalala ni habari ya december 2014.Sitashangaa labda huyo muna alizaa na marioo mwingine nje ya peter lakini miaka 5 nyuma nakuhakikishia hata casto alikuwa hajuani na huyo demuMtoto ni wa Casto Dickson....ushahidi ninao.
Mhh inabidi tumpigie mizinga 21 baada ya kula ban bcz ya ule Uzi wa wema hahahah jaman kiboko huyu Dada ,tunasubiri siku ya mange
lady in red10 said:Mhh inabidi tumpigie mizinga 21 baada ya kula ban bcz ya ule Uzi wa wema hahahah jaman kiboko huyu Dada ,tunasubiri siku ya mange
Ukimpata lete picha zake katika mapozi tofautiPole kwa ban. Ngoja nimgoogle huyo Muna love nione yupoje
Dar es salaam...Dar es salaamAtaachaje kufanana nae wakati ni mtoto wake?
Swaga za kinyamwezi.
View attachment 335755
Soma btw the lines....
View attachment 335754
Mjini tunanyimana chakula, lakini umbea.....walaaaaa