They were invited sio kama wewe kuria povu kwa nyumba ya mwenyeji wake. Hold your balls man, wait for an invitation as you get to know your host. And lastly don't pretend to like Kenyan people whilst you already leaning on one side politically and emotionally. By the way Raila will never be president take that to BoT.
Mkapa was invited but Kikwete didn't, he decided to come to salvage the country. Tatizo kubwa la mtu mwenye mawazo ya ukabila ndio huo, mtu yeyote akitoa mawazo lazima utampeleka kwenye kabila fulani bila kujali na kufikiria mawazo yake, Justice Maraga mnasema ameegemea NASA, Chiloba mnasema ameegemea Jubilee, Akombe amejiuzulu kwa ridhaa yake, mnasema ni NASA, Magufuli hajawahi kuzungumza lolote kuhusu siasa za Kenya, tayari mnasema ni NASA, kama hujui jinsi ukabila unavyoarhiri judgement, look how many Kenyans do analyse things related to politics.
Siku zote watanzania tumekua tukisimamia ukweli bila kujali watu watasema nini juu yetu, hata Kikwete alipomshauri Kagame afanye mazungumzo na wahutu alikataa na Kikwete na Tanzania nzima tukaonekana tunawapendelea wahutu, kwa sababu tu Kikwete alishauri njia ya mazungumzo na waasi, lakini hatukurudi nyuma, badala yake tulikwenda DRC kuwatoa M23 waliokuwa wanatumiwa na Kagame kuleta machafuko huko DRC.
Lengo letu ni kuona kuna amani Kenya, amani haiwezi kupatikana kama kuna baadhi ya watu wanataka kujiona wana hata miliki juu ya wakenya wengine, ninakuhakikishia hata useme nini na kutuita tunashabikia upande gani, Tanzania haitakaa kimya kuona binadamu wanauliwa hovyo hovyo eti kwa kuogopa kuonekana wanaegemea upande mmoja, kama kwa kuegemea upande mmoja kutasimamisha mauaji na kuleta amani hapo Kenya, tutafanya hivyo, kama tulivyofanya DRC na nchi zinginezo, sisi sio tribalists kama wewe, unafikiria kikabila, unawaza kikabila, unazungumza kikabila, unaandika kikabila, na unadhani kila mtu ni mkabila kama wewe.
Am sorry if you are moody and hormonal imbalances are taking the better of you ni kama uko na hedhi. Anyway I have to inform you, to understand Kenya you got to be one hapana ingia katikati ya watu wawili wanaolala kitanda moja ama ujipate kwenye shida. Leave us alone and wait till you are called to help. I know you are more than happy to see Kenya burn however utajua hujui.