Pre GE2025 Mungu akimshukia Rais Samia na kumuonesha hali itakavyokuwa muhula mwingine huenda ataghairi kugombea

Pre GE2025 Mungu akimshukia Rais Samia na kumuonesha hali itakavyokuwa muhula mwingine huenda ataghairi kugombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama Mungu anaweza mshukia Mama
Achana na mama kwanza,huyu mwamba ulimnanga sana kwamba MOSSAD,CIA, MI6 wana jambo nae! Vipi hujapata za ndani??

12 Feb, 2025 16:57


12 Feb 2025



Unajifanyaga unajua mambo ya kiusalama ya ndani na unapenda kutisha watu!
 
Achaneni na Hizi Biashara za hafiki July hafiki wapi. Kama Kuna Zuri Moja alotenda litamtetea. Na huyo anaewaonesha hayo maono Anamlinda Aingiapo na atokapo.

Hata mchubuko hautompata. Watu wamelishwa sumu hawakufa ,wengine wamepigwa risasi chungu mbovu, hawakufa basi nae huyu HAFI maana Huyo Mungu Haangalii sura Wala Hana upendeleo, hunyesha mvua mpaka baharini, pumzi wakavuta wote wachawi na wenye Moyo safi, kwake uko msamaha na kughairi mabaya ili aogopwe.

Narudia Tena NENDENI FANYENI BIASHARA NYINGINE. msijilaani humu Bure.🙇🧘🙅
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Uwajui wanawake wewe hasa wanapo pata uongozi wa juu kabisa kwa wanaume ...nibora taifa liangamie kuliko mwanamke kuachia kiti ...nakuakikishia hata watz 200000 wakifa samia awezi kuachia kiti labda nguvu kubwa itumike kumuondoa kwa nguvu
 
Achana na huyo mpiga Ramli aliyejaa chuki binafsi ,ukabila na ubaguzi. Huyo ni wa kupuuzwa tu maana inanyesha ana matatizo kichwani wake. Umesahau awamu ya Tano alikuwa anatishia watu kuwaua humu jukwaani? Umesahau kuwa mtoa mada ndiye alimtishia Maisha Ben Saa Nane? Sasa Ben yupo wapi? Huoni kuwa mleta mada anajua alikompeleka?

Huyu mleta mada ni shetani tu mwenye roho ya kishetani na ndio maana watu wanaomjua humu jukwaani wanampuuza sana na kumdharau kwa sababu wanajua hana uzalendo wowote zaidi ya chuki binafsi na kwamba mikono yake imejaa Damu tu.

Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ataendelea kuongoza Taifa letu hadi 2030.
Hahaha......umemkamia ccm mwenzio.

Anyway ni kutesa kwa zamu.

Huyo mpiga ramli enzi zile ilikuwa zamu yake. Sasa ni Zamu Yenu.
 
Achana na mama kwanza,huyu mwamba ulimnanga sana kwamba MOSSAD,CIA, MI6 wana jambo nae! Vipi hujapata za ndani??

12 Feb, 2025 16:57


12 Feb 2025



Unajifanyaga unajua mambo ya kiusalama ya ndani na unapenda kutisha watu!
Haha haaa 🤣🤣
Putin siyo Assad, Ghadaf, Sadam Hussein au raisi wa Iran.
Putin siyo Patrice Lumumba, Thomas Sankara, au Mobutu.
Za ndani namkubali anapatia, za nje hasa Russia hapana na nilimpinga wakati ule. Propaganda za NATO zilimponza
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Si aachie tu naye?
Maana kama ni sifa ya Urais tayari anayo.
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Mumuombee sana kazungukwa na watu wabaya mno yaani hapo kwenye kampeni tuu kazi ipo.naomba niishie hapo
 
JK,Saa100, mkaza mwana wa Rufiji, Rizi, Abdul, mwinyi, Rosta. Hili kundi lisipokata moto,nchi haitatulia.
 
Achana na huyo mpiga Ramli aliyejaa chuki binafsi ,ukabila na ubaguzi. Huyo ni wa kupuuzwa tu maana inanyesha ana matatizo kichwani wake. Umesahau awamu ya Tano alikuwa anatishia watu kuwaua humu jukwaani? Umesahau kuwa mtoa mada ndiye alimtishia Maisha Ben Saa Nane? Sasa Ben yupo wapi? Huoni kuwa mleta mada anajua alikompeleka?

Huyu mleta mada ni shetani tu mwenye roho ya kishetani na ndio maana watu wanaomjua humu jukwaani wanampuuza sana na kumdharau kwa sababu wanajua hana uzalendo wowote zaidi ya chuki binafsi na kwamba mikono yake imejaa Damu tu.

Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ataendelea kuongoza Taifa letu hadi 2030.
Kwani kuna mtu kasema sio mpango wa Mungu? Kumbuka hatuwezi fanana ndio maana kuna waona mbali. Hata Magu alionywa humu humu kwenye mtandao na sote tuna juwa nn kilitokea.
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu,pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
We umeona nini kuhusu hatima ya ufukara wa ukoo wako
 
Wachawi wote washakufa na wazuri hawafi nini tena cha kumtia hofu huyu form four failure aliyekuwa na ndoto za kuwa mgawa kashata kwenye ndege na sasa analindwa na majini.
We uliyefaulu form four ni wapi unapiga miayo ya njaa?
 
Back
Top Bottom