Mungu alivyomjibu mtesi wa Oliver N'Goma, dikteka Omary Bongo

Mungu alivyomjibu mtesi wa Oliver N'Goma, dikteka Omary Bongo

Best songs kwangu kutoka kwake ni bane na adia

 
Namkubali San mwanamziki huyo na nyimbo zako baneee na lusaa mwanamaa wa ndandyeee, kumbee Gabon ndio og

Lusa mwana mama la Danse la we
Ukosi la Dublin fuche
Beu kiboko na nyogii

Lusa usiwasililize watu
Maneno yao ni kama mbu
Wanakupigia kelele masikioni!!!
 
Mwaka 2008 nguli wa Zouk barani Afrika, Oliver Ngoma aliugua figo na alihitaji matibabu nje ya nchi. Lakini aliwekewa zuio la kusafiri nje. Serikali ya Rais Omary Bongo ilimtuhumu Oliver kwamba anaandaliwa na mataifa ya Ulaya kuwa Rais wa Gabon.

Japo Oliver alikanusha madai hayo lakini hakuaminika. Wakati huo kulikua na wimbi la wanamuziki na wanamichezo kujiingiza ktk siasa. Mkongwe Youssou N'Dour alitangaza kugombea Urais Senegal. Oliver alitarajiwa kugombea Gabon. Alihofiwa kwa sababu alikua kwenye kilele cha mafanikio. Alifanya kazi na record label kubwa na nyimbo zake zilishika chati za juu barani Ulaya, Amerika, Carebean, Afrika na nchi za Asia.

Jarida la Vogue Paris liliutaja wimbo wa Bane, wa Oliver, Yekeyeke wa Mory Kante na Mario wa Franco kwamba ndizo nyimbo 3 za Afrika zilizochezwa zaidi barani Ulaya.

Album ya Bane yenye nyimbo kama Bane, Alphoncine na Lusa iliuza nakala milioni 2 kabla ya mwaka mmoja na kuwa "best-selling African album" rekodi ambayo mpaka leo haijavunjwa. Akaunti zake nchini Gabon zilikua na ukwasi wa $1M.

Mafanikio hayo yalimtisha Bongo na kuona njia rahisi ya kumdhibiti ni kumuwekea kizuizi cha kusafiri. Pia alizuiwa kuingiza pesa kutoka nje. Inadaiwa Oliver alikua na pesa nyingi Paris kuliko alizokua nazo Gabon. Rais Bongo aliamini Oliver alipewa pesa hizo na "mabeberu" kama njia ya kumuandaa kugombea Urais wa Gabon.

Mwaka 2008 alipougua alilazimishwa kutibiwa kwenye hospitali ya umma. Alitakiwa kupandikizwa figo lakini hospitali hiyo haikua na uwezo huo. Aliomba rufaa kwenda Paris, lakini serikali ilikataa.

Dikteta Bongo alitaka Oliver akose matibabu afe. Lakini njia za Mungu hazichunguziki. Tar.14 March 2009 mke wa Bongo (Edith) alifariki huko Rabat Morocco. Siku chache baadae Bongo akabainika kuwa na saratani na June 08 mwaka huohuo akafariki.

Mwanae (Ali Bongo) akashika madaraka baada ya kifo cha baba yake, lakini bado alimnyima Oliver haki yake ya kutibiwa nje. Oliver aliendelea kupigania maisha yake kitandani nchini Gabon na hatimaye 07 June 2010 alifariki dunia. Lakini kabla ya kifo chake alimshuhudia mtesi wake (Dikteta Omary Bongo) na mkewe wakitangulia kaburini.

Umejifunza nini?


Asante mkuu!!
Binafsi huyu ndo mwanamzuki wangu kuwahi kutokea kwenye bara hili!!
Kuna siri nyingine kuhusu chanzo cha umauti wa NOLI
 
Mwaka 2008 nguli wa Zouk barani Afrika, Oliver Ngoma aliugua figo na alihitaji matibabu nje ya nchi. Lakini aliwekewa zuio la kusafiri nje. Serikali ya Rais Omary Bongo ilimtuhumu Oliver kwamba anaandaliwa na mataifa ya Ulaya kuwa Rais wa Gabon.

Japo Oliver alikanusha madai hayo lakini hakuaminika. Wakati huo kulikua na wimbi la wanamuziki na wanamichezo kujiingiza ktk siasa. Mkongwe Youssou N'Dour alitangaza kugombea Urais Senegal. Oliver alitarajiwa kugombea Gabon. Alihofiwa kwa sababu alikua kwenye kilele cha mafanikio. Alifanya kazi na record label kubwa na nyimbo zake zilishika chati za juu barani Ulaya, Amerika, Carebean, Afrika na nchi za Asia.

Jarida la Vogue Paris liliutaja wimbo wa Bane, wa Oliver, Yekeyeke wa Mory Kante na Mario wa Franco kwamba ndizo nyimbo 3 za Afrika zilizochezwa zaidi barani Ulaya.

Album ya Bane yenye nyimbo kama Bane, Alphoncine na Lusa iliuza nakala milioni 2 kabla ya mwaka mmoja na kuwa "best-selling African album" rekodi ambayo mpaka leo haijavunjwa. Akaunti zake nchini Gabon zilikua na ukwasi wa $1M.

Mafanikio hayo yalimtisha Bongo na kuona njia rahisi ya kumdhibiti ni kumuwekea kizuizi cha kusafiri. Pia alizuiwa kuingiza pesa kutoka nje. Inadaiwa Oliver alikua na pesa nyingi Paris kuliko alizokua nazo Gabon. Rais Bongo aliamini Oliver alipewa pesa hizo na "mabeberu" kama njia ya kumuandaa kugombea Urais wa Gabon.

Mwaka 2008 alipougua alilazimishwa kutibiwa kwenye hospitali ya umma. Alitakiwa kupandikizwa figo lakini hospitali hiyo haikua na uwezo huo. Aliomba rufaa kwenda Paris, lakini serikali ilikataa.

Dikteta Bongo alitaka Oliver akose matibabu afe. Lakini njia za Mungu hazichunguziki. Tar.14 March 2009 mke wa Bongo (Edith) alifariki huko Rabat Morocco. Siku chache baadae Bongo akabainika kuwa na saratani na June 08 mwaka huohuo akafariki.

Mwanae (Ali Bongo) akashika madaraka baada ya kifo cha baba yake, lakini bado alimnyima Oliver haki yake ya kutibiwa nje. Oliver aliendelea kupigania maisha yake kitandani nchini Gabon na hatimaye 07 June 2010 alifariki dunia. Lakini kabla ya kifo chake alimshuhudia mtesi wake (Dikteta Omary Bongo) na mkewe wakitangulia kaburini.

Umejifunza nini?

Ila huyu jamaa alikuwa fundi sana mziki wake hauishi utami kila siku kama umetoka leo. Huelewi anaimba nini lakini unafeel.
Nge kwa mfano kumbe ni sala ya mwanamke mwenye kupitia wakati mgumu anamuomba Mungu.
 
Back
Top Bottom