Mungu aliyeumba Milkway(kilimia) galaxy na ulimwengu kwa ujumla ni mkuu sana

Mungu aliyeumba Milkway(kilimia) galaxy na ulimwengu kwa ujumla ni mkuu sana

In short bado haujui maana ya theory kwenye science...unaichanganya na maana ya Theory in Language.
Utakuwa ulisoma HKL
Basi toa maana ya theory kisayansi na pia maana ya law kisayansi..na utujuze tofauti ya law na theory e.g The law of motion,, relativity nk same kwa theory.
 
Sahani hiyo ina upana wa 150,000 hadi 200,000 light years(miaka ya mwanga). Hapa maana yake kutoka mwisho mmoja wa sahani hadi ule mwingine mwanga utachukua miaka laki moja na nusu hadi laki mbili kusafiri na mwanga husafiri kilomita 300 kila sekunde! Huu ni upana usioelezeka.
Please edit to 300.000km/s and not 300km/s
 
3. Our universe ( Milky way Galaxy) with 9 planet (entirely solar system) including our home
Hapana, umeskosea sana
Solar sytem (mfumo wa jua) ina Planets 8.
Tunaweza kuuita mfumo wa jua kama NYOTA MOJA (SINGLE STAR)
Kwa hiyo basi:
----Galaxy moja ina Billions of STARS; our MILKY WAY GALAXY has 100 Billion stars
----Universe ina Billions of Galaxies
There are about 125 billion galaxies in the observable universe.
Hizi ni zile zinazoonekana tu kwa kutunia darubini, lakini idadi halisi ni kubwa kuliko hii
 
Mfumo wetu wa jua na sayari zake vimo ndani ya galaxy inayoitwa milky way(kilimia). Galaxy ya kilimia ina umbo kama sahani iliyogawanyika kwenye mikia (arms)mbalimbali.

View attachment 1742950

Sahani hiyo ina upana wa 150,000 hadi 200,000 light years(miaka ya mwanga). Hapa maana yake kutoka mwisho mmoja wa sahani hadi ule mwingine mwanga utachukua miaka laki moja na nusu hadi laki mbili kusafiri na mwanga husafiri kilomita 300 kila sekunde! Huu ni upana usioelezeka.

Unene wa sahani hiyo ni 1,000 ly. Mwanga unachukua miaka 1000 kutoka juu ya sahani hadi chini.

Galaxy ya kilimia ina nyota billioni 100 hadi 400. Jua letu ni moja ya nyota hizo. Jua letu linapatikana katika mkia unaoitwa Orion. Huu ni mkia mdogo tu kati ya mikia mitano ya Kilimia.

View attachment 1742953..
..
View attachment 1742954...
...
View attachment 1742955

Huo mkia wa Orion una urefu wa 20,000 ly na upana wa 3,500 ly. Mkia huu upo umbali wa 27,000 ly kutoka katikati ya galaxy.
Picha tunazoona usiku za milky way galaxy huwa ni picha za nyota zilizomo ndani ya mkia wa Orion. Tupo ndani ya Orion arm lakini tunaweza ipiga picha na kuonekana vizuri. Hii ni sababu ya ukubwa wake. Mtu aliye ndani ya nyumba hawezi kupiga picha nyumba hiyo na kupata picha inayoeleweka.

Picha ya miky way(Orion arm) usiku.

View attachment 1742962
......
View attachment 1742963
....
View attachment 1742964


Aliyeumba hivi vitu ni mkuu sana
Na kuna countless galaxies out there!!!/(“‘>~**}!!! Atukuzwe!
 
Basi toa maana ya theory kisayansi na pia maana ya law kisayansi..na utujuze tofauti ya law na theory e.g The law of motion,, relativity nk same kwa theory.
law/principle kwenye sayansi ni maelezo ya nini /kitu gani hutokea kwenye ulimwengu kukiwa na circumstance fulani. Lakini
Theory kwenye sayansi ni maelezo ya kwanini hiko kitu hutokea hivyo kwenye hizo corcumstances.


Mfano: Newton’s law of gravitation inaelezea nini kinachotokea pale unapokuwa na Mass mbili (Lazima zitavutana kwa nguvu iliyo sawa na product ya hizo mass mbili, gawa na square ya umbali kati yao)

Lakini Eisnstein’s general theory of relativity imeelezea kwanini hizo mass mbili huvutana (kwasababu mass inacurve space inayoizunguka,kwahyo hii curvature ya space ndio husababisha gravitational force)

So tunahitaji law kujua vitu vinatokeaje lakini tunahitaji theory kujua kwanini hutokea hivyo.
 
Una uhakika gani kama hakuna viumbe kwenye sayari nyingine katika galaxies nyingine, hata hiyo Milky Way kuna uwezekano bado ni small part ya mfumo mzima lakini uwezo wa binadamu kwa sasa umeishia kufahamu hayo tu.
Kuhusu super natural power or rather super natural creator(Mungu) ya kwamba alitamka tu vyote hivyo vikatokea nobody can prove that.
Nobody can prove kwamba alitamka tu vikatokea lakini uwepo wa hizo sayari nyingine ni proof ya supernatural creator same way kama simu/computer unayotumia ku post hapa ni proof ya kuwepo kwa mtengenezaji ingawaje hujamwona.
 
Ukiachana na hayo, Mimi binafsi nikiangalia angani na kuona nyota zilivyozagaa vile nafsi inaniambia kabisa kule kwenye nyota Kuna watu au beings zozote like humans zinaishi unakuta nao wanashangaa angani kama sisi na kujiuliza maswali kama nijiulizayo Mimi, Huwa nafsi kama inaniambia kuwa Kuna historia ya binadamu siijui...
 
Ukiachana na hayo, Mimi binafsi nikiangalia angani na kuona nyota zilivyozagaa vile nafsi inaniambia kabisa kule kwenye nyota Kuna watu au beings zozote like humans zinaishi unakuta nao wanashangaa angani kama sisi na kujiuliza maswali kama nijiulizayo Mimi, Huwa nafsi kama inaniambia kuwa Kuna historia ya binadamu siijui...
Au unakuta hata somewhere nje uko wako viumbe ila hawana uwezo mkubwa kiakili wa kufikiri...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uwepo wa hizo sayari nyingine ni proof ya supernatural creator same way kama simu/computer unayotumia ku post hapa ni proof ya kuwepo kwa mtengenezaji ingawaje hujamwona.
Actually it doesnt prove or disprove anything
 
Back
Top Bottom