Hapana hapa tunamshukuru Mungu aliye mkuuKwahiyo na hili nalo ni lakumpongeza mama?
😁😁😁😁Kwahiyo na hili nalo ni lakumpongeza mama?
NaakaziaHapana hapa tunamshukuru Mungu aliye mkuuu
Muweza wa kila kitu
Musoma mvua imenyesha wapi? Alaf hakuna mkoa wa musoma ni MaraMkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.
Hivi ninyi watu huangalia ama kufuatilia weather forecast kweli?Ahsante Mungu kwa kusikia na kujibu maombi yetu ya kuomba mvua. Nimeshuhudia mvua zikiendelea karibu maeneo yote ya kanda ya ziwa.
Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.
Tuendelee kumuomba Mungu.
Uliangalia juu kuthibitisha ni matone ya mvua?Jana hapa mafinga nimeangukiwa na matone mawili. Its a good sign inshallah
Bukoba nayo anga imefunga, wingu zito la mvua, mwanza Shinyqnga, Tabora anga imefunga kwa wingu zito la mvua.
Asante Mungu.
Ndiyo mkuu jana mchana mida ya saa sita mawingu yalitanda. Lile jua sahv halipo angalia hata sasa mawingu tu. Inarudi hali tuliyoizoeaUliangalia juu kuthibitisha ni matone ya mvua?
Nasema hivyo kwa maana hapo mafinga hiyo jana kunguru wengi walitanda angani
unadhani huo utabiri wa hali ya hewa (weather forecast) una uhakika kuliko kudura za Mungu?Hivi ninyi watu huangalia ama kufuatilia weather forecast kweli?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
inashangaza maombi ya kuomba mvua yanaitishwa wakati ni msimu wake, huko ni kumsumbua Mungu, na hajibu hayo maombi yasiyo na maana kwani mvua hunyesha kwa wakati wakeMwenyezi Mungu anawashushia mvua viumbe wote wanao omba wasio omba hii ni neema yake ndio maana hukuti huko UK wakiomba mvua ila wanashushiwa mpaka wanachukia mvua. Mungu katupa majira usiku, mchana, kiangazi na masika sasa unakuja unaomba mvua wakati wa masika? hao wanafiki wakaombe kiangazi mvua halafu tuone kama itanyesha. Ni kama kuomba jua mchana ukasema dua limekubaliwa.