- Thread starter
- #41
Leo hii, asubuhi hii imemwagika hadi watu wanatafuta majembe.Shinyanga sehemu gani mana ndio nimepita jana kukame kma chad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo hii, asubuhi hii imemwagika hadi watu wanatafuta majembe.Shinyanga sehemu gani mana ndio nimepita jana kukame kma chad
Sipati picha kama Mbowe angekata na miti ktk mikoa Tajwa huenda mvua zisingenyesha mpaka kikao cha bunge la bajeti 2022,Tunajipangaje kama familia, jumuiya, wilaya, mikoa na Taifa katika upandaji wa miti mingi na ya kutosha kufidia miti mamilioni ambayo imekatwa na inaendelea kukatwa ili kutusaidia sisi na hata vizazi vyetu??
Babu kama una imani juu ya Mungu basi utakuwa umenielewa nilicho kisema.
kinyume cha hapo itakuwa vigumu kwako kunielewa.
Mungu ni mwemahyo mvu dar leo ni noma
Kweli Mungu amesikia maombi ya waja wake, hapa Kibaha Pwani tumepata mvua kubwa.Ahsante Mungu kwa kusikia na kujibu maombi yetu ya kuomba mvua. Nimeshuhudia mvua zikiendelea karibu maeneo yote ya kanda ya ziwa.
Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.
Tuendelee kumuomba Mungu.
kwa maeneo ya Pwani msimu wa Vuli umepita na hapakuwa na Mvua, kwa faida tu ni kwamba mvua za vuli ktk maeneo ya Pwani huanza mwezi Agosti na kuisha mwezi Octoba, lkn safari hii hakuna kitu mpaka leo hii trh 27 ndio tumeshuhudia mvua kubwa.Coincidence tu...Huu ni msimu wa mvua.
Yaani ukataji miti na umasikini ni sawa na pipa na mfuniko!!juzi namuona mkuu wa mkoa wa songwe eti anapiga marufuku kuchoma mkaa ndani ya mkoa wake!!!kweli kwa maisha yetu haya hili linawezekana kweli??haya magereza yote nchini bado nishati wanayotumia kupikia ni kuni, yaani kule hadi miti mibichi inayotoa utonvu inapikiwa hadi inaivisha chakula!!!Tunajipangaje kama familia, jumuiya, wilaya, mikoa na Taifa katika upandaji wa miti mingi na ya kutosha kufidia miti mamilioni ambayo imekatwa na inaendelea kukatwa ili kutusaidia sisi na hata vizazi vyetu?
Ndio maana naona tuna haja sasa ya kuwa na nia ya dhati kwa vitendo kuanza kureplace hayo mamilioni ya miti ambayo imeshakatwa na itaendelea kukatwa mpaka hapo tutakapo pata mbadala kama upo.Yaani ukataji miti na umasikini ni sawa na pipa na mfuniko!!juzi namuona mkuu wa mkoa wa songwe eti anapiga marufuku kuchoma mkaa ndani ya mkoa wake!!!kweli kwa maisha yetu haya hili linawezekana kweli??haya magereza yote nchini bado nishati wanayotumia kupikia ni kuni, yaani kule hadi miti mibichi inayotoa utonvu inapikiwa hadi inaivisha chakula!!!
tayari maombi yamejibu, anga limebadilika wingu la mvua nzito limetanda anga la Jiji, mvua inamwagika ya kutosha jana na leo trh 28/11Dar es salaam tumeongeza maombi!