Mungu ameanza kujibu maombi yetu ya mvua

Mungu ameanza kujibu maombi yetu ya mvua

Eti Mungu amejibu maombi mvua imeanza kunyesha!, kwani huu ni mwezi wa ngapi? Ingekuwa msimu wa mvua kunyesha umepita hayo maombi yangeleta maana. Unaomba mvua msimu wake wa kunyesha hiki ni kituko, bora kuombea viongozi wetu wapate hekima ya kutuongoza maana wengine wanatuongoza kwa maono yao ambayo hukwama na kuiingiza nchi katika hasara kubwa
 
Ahsante Mungu kwa kusikia na kujibu maombi yetu ya kuomba mvua. Nimeshuhudia mvua zikiendelea karibu maeneo yote ya kanda ya ziwa.

Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.

Tuendelee kumuomba Mungu.
Wakati huu hamjasema zimenyesha kwa sababu ya nani na kupamba eeh.
 
Ahsante Mungu kwa kusikia na kujibu maombi yetu ya kuomba mvua. Nimeshuhudia mvua zikiendelea karibu maeneo yote ya kanda ya ziwa.

Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.

Tuendelee kumuomba Mungu.
Shinyanga sehemu gani mana ndio nimepita jana kukame kma chad
 
Ila watu wa dar bana. kanda ya ziwa mvua zipo kama kawaida. wakati mnalalamika ukame,kanda ya ziwa walikua wanawashangaa
 
Ila watu wa dar bana. kanda ya ziwa mvua zipo kama kawaida. wakati mnalalamika ukame,kanda ya ziwa walikua wanawashangaa
Mikoa mingi haina mvua kipindi hiki, sio Dar peke yake.
 
Dar na yenyewe imeanza joto lilikuwa too much
 
Ahsante Mungu kwa kusikia na kujibu maombi yetu ya kuomba mvua. Nimeshuhudia mvua zikiendelea karibu maeneo yote ya kanda ya ziwa.

Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Kigoma, Musoma, Sumbawanga n.k mvua inamwagika. Sijui maeneo mengine.

Tuendelee kumuomba Mungu.
Huu ni msimu rasmi wa mvua hizi.
Mengine ni siasa tu.
 
Mleta mada unashindwa kutambua kwamba mwisho wa mwaka miaka yote ndio huwa msimu wa mvua kwa mikoa ya kanda ya ziwa.

Kwa nini huwa hatuombi mvua inyeshe msimu kwa kiangazi
 
Mleta mada unashindwa kutambua kwamba mwisho wa mwaka miaka yote ndio huwa msimu wa mvua kwa mikoa ya kanda ya ziwa.

Kwa nini huwa hatuombi mvua inyeshe msimu kwa kiangazi
Babu kama una imani juu ya Mungu basi utakuwa umenielewa nilicho kisema.
kinyume cha hapo itakuwa vigumu kwako kunielewa.
 
Back
Top Bottom