Mungu ameonyesha nafasi ya urahisi ya mwaka 2015 ilikuwa ya Lowassa

Mungu ameonyesha nafasi ya urahisi ya mwaka 2015 ilikuwa ya Lowassa

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.

Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.

Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.

Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
 
Bora ungesema nafasi ilikuwav ya pinda, samia na rose. Mzee Lowosa pamoja yuko hai ila angekuwa rais picha tu afya imedhoofika sana.
 
Hapo vip!!
Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli,membe na Sitta.

Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa,hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.

Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu,siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu,ila nikwalengo la kujifunza.

Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda..Waswahili bhana.
Mkuu, kwani ile tetesi inayovuma tangu jana hauja pata udambwi udambwi...🤔
 
Hapo vip!

Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.

Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.

Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.

Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
Ilikuwa ya slaa maana ndie mzima wa afya chadema damu!
 
Ni Sawa kabsaa kama angepata huo urahisi ila kwenye Urais haingewezekana
 
Hapo vip!

Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.

Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.

Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.

Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
Halafu mwenyewe silverhair anasema hawakukutana barabarani.
 
Back
Top Bottom