Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!
Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.
Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.
Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.
Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.
Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.
Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.
Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.