Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
- Thread starter
- #21
Tuendelee kusubiria majibuNape naye alitoa kufru hii,nimekaa pale [emoji117]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kusubiria majibuNape naye alitoa kufru hii,nimekaa pale [emoji117]
Ungekuwa ni mpango wa Mungu, ungetimia!. Angalia bandiko hili ni la lini Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu
Kaka urahisi sawa lakini si URAIS.Hapo vip!
Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.
Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.
Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.
Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
Kwa hiyo wewe ni personal GP wa Mr.Lowassa?,tuache upumbavu wa kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyo,hujui kwa sasa Mr. Lowassa yupo wapi ,acha kueneza uongoBora ungesema nafasi ilikuwav ya pinda, samia na rose. Mzee Lowosa pamoja yuko hai ila angekuwa rais picha tu afya imedhoofika sana.
Acha unafikiKwa hiyo wewe ni personal GP wa Mr.Lowassa?,tuache upumbavu wa kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyo,hujui kwa sasa Mr. Lowassa yupo wapi ,acha kueneza uongo
Nope nimelelewa na family yenye upendo, working smart na kujua where to draw the line ,issue ya afya ya Mr.Lowassa ni kati yake na GP wake unless wewe ndiyeAcha unafiki
Hapo vip!
Nimetafakari sana dhidi ya vifo vya watu wa 3,yaani Magufuli, Membe na Sitta.
Nikajiulize kumbe hata miongoni mwa hawa watu watatu ambao walikuwa ndio wanampinga Lowassa, hata mmoja asingeweza kufikisha meli bandarini.
Ila chakujifunza ni kwamba sauti ya wengi huwa ni sauti ya Mungu, siongei kwa ubaya au kwa lengo la kuwakejeli marehemu, ila nikwalengo la kujifunza.
Whitehair ndio alikuwa mpango wa Mungu ila kuna mswahili alimuwekea husuda Waswahili bhana.
SawaNope nimelelewa na family yenye upendo, working smart na kujua where to draw the line ,issue ya afya ya Mr.Lowassa ni kati yake na GP wake unles