"Mungu anaangalia roho haangalii mavazi" ni kauli inayohamasisha mmomonyoko wa maadili. Wakristo tuwe na msimamo juu ya mavazi kanisani

Huu utamaduni umekuwa ni cancer kwa ukristo maana baadhi ya waumini waliozoea kuvaa hovyo wakienda kuanzisha makanisa yao wanachafua ukristo, Mtu kama Masanja anavaa kata k / Mlegezo / Suruali chini ya ma*****
Masanja sio mchungaji usihangaike nae
 
Hayo mavazi yote hapo inategema na context, sitegemei aliyeko ufukweni , ama aliyealikwa dinner avae suti, hapana:
wote wapo sahihi kwenye mazingira yao:
suala la mavazi ya kanisani ni mtambuka, wapo wanaovaa madera marefu mpaka mguu unafunikwa na kilembe juu, ndani anavaa chupi tu bila andasketi na dera ni transparent unaona milima na mabonde kama mungu alivyoumba na kuna anayevaa nguo fupi lakini huoni ndani.

Wapo wanaovaa dera na kwakuwa ni refu anachomekea kwenye chupi, hii unasemeaje?
Sema tu skin tight ni nguo za kulalia ama michezo ila wadada wanavaa mtaani na kuwamiza wanaume roho .
 
... hapo zamani sheria kama mwanamke asivae nguo za wanaume hususani suruali zilizingatiwa na yeyote aliekiuka aligeuzwa mlangoni, lakini sasa hali imebadilika.
Ni wapi imeandikwa kwamba suruali ni nguo ya mwanaume?
 
Kuna zingine apo juu mtu akiingia hivyo ibadani ata malaika akija kuchukua maombi anaingia katika vishawishi "utani"

Siyo suruali tuu kuna magauni special na yakushona pia hayafai kuingilia ibadani hadi kunasiku nilimwambia jamaangu ingependeza kama kungekuwaga na vazi rasmi la kuingia ibadani
 
Ni wapi imeandikwa kwamba suruali ni nguo ya mwanaume?
MSAHAFU inasema wanawake wavae nguo za kike na wanaume wavae za kiume, wewe unaweza kuvaa bikini? Itaweza kuzuia dushe likae vizuri?

Mwanamke anaweza kuvaa boxer? kama yupo kwenye MP boxer inaweza kushikilia pedi?
Acheni ushamba namambo ya usasa , mrudie muumba.
 
Mwanamke anaweza kuvaa boxer? kama yupo kwenye MP boxer inaweza kushikilia pedi?
Kwani pedi zinavaliwa muda wote? Zinavaliwa umri wowote? Adam na Eve walipojiundua wapo uchi walijisitiri kwa kuwaa majani, Je, majani ni mavazi ya kiume au ya kike?
 
Kwani pedi zinavaliwa muda wote? Zinavaliwa umri wowote? Adam na Eve walipojiundua wapo uchi walijisitiri kwa kuwaa majani, Je, majani ni mavazi ya kiume au ya kike?
Mwanamke anavaa sketi akikoja apandishe juu kwakuwa lazma achchumae, hivi unavyongangania kuvaa nguo za kiume huko chooni huwa unakojoa umesimama?

Ushaona mwanaume akingangania kuvaa nguo za kike?
 
Wasabato, mashahidi wa Yehova pia wakatoliki kwa mbaali kidogo uzingatia suala la mavazi kwingine huko wanaogopa sadaka zitapungua. Haya christianity science church yaani makanisa ya kizazi kipya hali ni mbaya kabisa kwenye mavazi, muhimu sadaka tu.
Hakika RC Church na Sabato ndiyo makanisa angalau yaliyobaki katika misingi ya Imani Thabiti na Misingi ya Ukristo. Haya mengine yamekuwa ni vurugu tu hasa Lutheran, Anglican na Moravian yamekuwa ni makanisa ya matamasha na kuhubiri mafanikio ya kidunia, na ndiko waumini wengi huvaa mavazi ya ajabu sana. Na hili wimbi la wahubiri wanaoanzisha makanisa ya Kinabii, uamsho, ufufuo na uzima na hawa wanaotusumbua na maspika mitaani wengi wametokea Lutheran na hayo mengine. RC na SDA yatabaki kuwa ni makanisa ya kweli na waumini wao huwa hawayumbi katika misingi yao
 
Mwanamke anavaa sketi akikoja apandishe juu kwakuwa lazma achchumae, hivi unavyongangania kuvaa nguo za kiume huko chooni huwa unakojoa umesimama?
Nguo za kiume ndio zipi? Hiyo ni kwa mujibu wa sheria gani? Ni akina nani walikaa wakaweka makubaliano kwamba nguo za kiume ziwe hivi na za kike ziwe hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…