sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
- #21
cheki picha niliyoweka kwenye main post ya kwanza ujibu swali ?Macho hayana pazia, unaijua nguvu ya kuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheki picha niliyoweka kwenye main post ya kwanza ujibu swali ?Macho hayana pazia, unaijua nguvu ya kuona
Shetani ana nguvu ya kuwatia watu dhambini ndo maana uarabuni rate ya magonjwa ya zinaa ni ndogoWanaume wanaenda kusali au kushangaa wanawake wanavyovaa ?
Lilipitwa lini na wakatiAgano la kale lilipitwa na wakati, tupo agano jipya, tunakula hata kitimoto kilizokatazwa kwenye sheria za agano la kale.
Wadada wavae wanavyotaka, makanisa yasiingilie
NakaziaPana mavazi ya Mkristo na Pana mavazi ya kahaba msichanganye hili
Maandiko yapo wazi kabisa Mkristo avaaeje.Ni wapi wameandika mavazi ?
Maandiko haya ambayo yamekataza wanaume kuchonga nywele na ndevu ?Maandiko yapo wazi kabisa Mkristo avaaeje.
Mwanamke apaswi kuvaa mavazi ya mwanaume.
Hata nchi za baridi utasingizia baridi lakin hekima suruali isionekane avae ndani ya gauni
Wote hao wamevaa kikahaba tofaut ni kiwango tucheki picha niliyoweka kwenye main post ya kwanza ujibu swali ?
Pana Wakristo wa kiroho na pana Wakristo wa kimwiliMaandiko haya ambayo yamekataza wanaume kuchonga nywele na ndevu ?
Mbona wachungaji karibu wote wanachonga ? ni kwasababu yalipitwa na wakati
sasa kwanini wa kulia asiruhusiwe kuingia kanisani kama sio unafki wa makanisa ?Wote hao wamevaa kikahaba tofaut ni kiwango tu
Mngekuwa mnafuata haya maandiko msingikuwa hivyo mlivyo...Ulisema kinacho angaliwa ni Roho. Nami nimekupa hilo fungu.
Kuhusu Mavazi.
1 Timotheo 2:9-10.
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Ivi kuna mwanaume anaenda na kipensi ofisini au hata nyumba za ibada?View attachment 2771650
Hapo zamani nilishuhudia kwa macho yangu makanisa yalikuwa na tabia za ajabu kuwavisha kanga wanawake waliokuja wamevaa sketi zilizobana kwa mbali, waliovaa suruali hata ziwe pana walifukuzwa kabisa kurudi nyumbani.
Tunashukuru kadri muda umeenda makanisa yamejitambua, Leo hii wanawake wanaruhusiwa hata kuvaa suruali, gauni zinazowachoresha ili wapendeze, gauni zenye uwazi wa kupitisha hewa vifuani na mgongoni, n.k.
Kero kubwa ipo kwa makanisa kujitungia sheria za kukataza vimini na vipensi, huu ni ubaguzi !! Wadada wavae wanavyotaka, makanisa yasiingilie.
Sheria za agano la kale zilishapitwa na wakati, sheria za aina ya mavazi na makatazo ya kuchonga nywele zilishapitwa na wakati na tunajionea hata wachungaji wanachonga nywele, Nazo sheria za vyakula zilishapitwa na wakati kuna uhuru wa kula kitimoto.
Wewe unasema wakristo?Mngekuwa mnafuata haya maandiko msingikuwa hivyo mlivyo...
WAKRISTO wengi ni wajasiriamali dini wakiongozwa na viongozi wao...
Shehe gani anatembea vie8 au Corora!! Ukiacha na mufti .Sisi hatuna mbambamba nyingi ukila Hela ya waumini utaitapika mapema tu.Wewe unasema wakristo?
Shetani kaingia kotekote. Keshajitwalia hadi Misikiti, Temple, Sinagogi..
Siku hizi mashehe wewe wanagawana sadaka kama posho tu.
msikinii huwezi kuingia umevaa hovyo, utapigwa mpaka uchakae ??Wewe unasema wakristo?
Shetani kaingia kotekote. Keshajitwalia hadi Misikiti, Temple, Sinagogi..
Siku hizi mashehe wewe wanagawana sadaka kama posho tu.
Mlevi na mnywaji wana hadhi tofaut.sasa kwanini wa kulia asiruhusiwe kuingia kanisani kama sio unafki wa makanisa ?
Vazi limemchora matak* makubwa, hips pana na mapaja makubwa, kuna usitiri gani hapo ?Mlevi na mnywaji wana hadhi tofaut.
Lile kanisa la Grace angeeingia bila shida kwa makanisa ya mungu anaangalia roho anaweza ingia.
Yule wa kushoto aliyeusitiri mwili lakin umechora umbo angalau lakin Sio kwa makanisa ya kiroho
msikinii huwezi kuingia umevaa hovyo, utapigwa mpaka uchakae ??
Huyo maamuma ni muislam na ameandika hilo kwa lengo la kukahsfu Ukristo. Hana lolote analomaanisha zaidi ya kuukashfu.Kumbe hata biblia huijui warumi iko agano la kale ???