YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Sofa ya uvaaji mzuri ni moja chukulia umeitwa na Raisi Ikulu.je.utavaaje?
Mungu ni Raisi wa Maraisi.
Kutotambua ukuu wake.ndio.maana mtu huvaa hovyohovyo akienda kusali
Eneo la ibada nineneo la waheshimiwa kama ilivyo.bungeni nk
Mungu anatakiwa kuheshimiwa kuanzia uvaaji.mtu anapoenda kumwabudu
Mungu ni Raisi wa Maraisi.
Kutotambua ukuu wake.ndio.maana mtu huvaa hovyohovyo akienda kusali
Eneo la ibada nineneo la waheshimiwa kama ilivyo.bungeni nk
Mungu anatakiwa kuheshimiwa kuanzia uvaaji.mtu anapoenda kumwabudu