Mandela5599
Member
- Jul 28, 2020
- 93
- 306
Mungu ni roho, Mungu anaongea kiroho
Haongei kama sisi wanadamu, ana namna zake ambazo ni muhimu uzifahamu
KUNA NJII KUU 3 ZA MUNGU KUONGEA NA WEWE
1. KUPITIA NDOTO/MAONO
2. KUPITIA NENO LAKE. Biblia Takatifu
3. KUPITIA WATUMISHI WAKE(MANABII, WALIMU N.K
LEO TUONE NJIA YA NDOTO
Ndoto zimegawanyika katika makundi makuu matatu kwa mujibu wa maandiko
i) Ndoto zitokazo kwa Mungu... mtu yeyote awe mbaya au mwema anaweza kupata ujumbe kwa Mungu
ii) Ndoto zitokanazo na shughuli nyingi. Baada ya kazi nyingi akili inaweza kurudia baadhi ya matukio unayo kutana nayo.. ndoto hizi hazina madhara
iii) Ndoto zitokazo kwa shetani. Hizi mara nyingi ni mashambulizi, zinaleta hofu, mashaka na kukukosesha amani
Kuna watu wanarithishwa uchawi au uganga kupitia ndoto na baada ya hapo wanaanza kazi. Hizi ni ndoto za shetani
Tafsiri ya ndoto haitoki kwa wanadamu, inatoka kwa Mungu.
Kutafsiri ndoto sio issue sababu hata waganga wa kienyeji hutafsiri ndoto... what matters ni kutoa maelekezo au miongozo yakufuata. Waganga kamwe hawawezi kukupa mwongozo sahihi wa nini chakufanya... Muombe Mungu atakuelekeza cha kufanya
Watu wengi wanaota wakiwa shule, wakifanya kitihani wakati walimaliza shule siku nyingi
Watu wengi huota wakiwa vijijini kwao waliko zaliwa, wakati wako mjini...mara nyingine inatokea wakati hujapakumbuka kabisa kijijini kwenu
Kuota umelala na mwanamke/mwanaume bila ridhaa yako na ukiamka unajiskia vibaya sana
Hizo ni baadhi ya ndoto ambazo huwatesa wengi na hawajui wafanye nini.
Tutaendelea siku nyingine
Haongei kama sisi wanadamu, ana namna zake ambazo ni muhimu uzifahamu
KUNA NJII KUU 3 ZA MUNGU KUONGEA NA WEWE
1. KUPITIA NDOTO/MAONO
2. KUPITIA NENO LAKE. Biblia Takatifu
3. KUPITIA WATUMISHI WAKE(MANABII, WALIMU N.K
LEO TUONE NJIA YA NDOTO
Ndoto zimegawanyika katika makundi makuu matatu kwa mujibu wa maandiko
i) Ndoto zitokazo kwa Mungu... mtu yeyote awe mbaya au mwema anaweza kupata ujumbe kwa Mungu
ii) Ndoto zitokanazo na shughuli nyingi. Baada ya kazi nyingi akili inaweza kurudia baadhi ya matukio unayo kutana nayo.. ndoto hizi hazina madhara
iii) Ndoto zitokazo kwa shetani. Hizi mara nyingi ni mashambulizi, zinaleta hofu, mashaka na kukukosesha amani
Kuna watu wanarithishwa uchawi au uganga kupitia ndoto na baada ya hapo wanaanza kazi. Hizi ni ndoto za shetani
Tafsiri ya ndoto haitoki kwa wanadamu, inatoka kwa Mungu.
Kutafsiri ndoto sio issue sababu hata waganga wa kienyeji hutafsiri ndoto... what matters ni kutoa maelekezo au miongozo yakufuata. Waganga kamwe hawawezi kukupa mwongozo sahihi wa nini chakufanya... Muombe Mungu atakuelekeza cha kufanya
Watu wengi wanaota wakiwa shule, wakifanya kitihani wakati walimaliza shule siku nyingi
Watu wengi huota wakiwa vijijini kwao waliko zaliwa, wakati wako mjini...mara nyingine inatokea wakati hujapakumbuka kabisa kijijini kwenu
Kuota umelala na mwanamke/mwanaume bila ridhaa yako na ukiamka unajiskia vibaya sana
Hizo ni baadhi ya ndoto ambazo huwatesa wengi na hawajui wafanye nini.
Tutaendelea siku nyingine