Mungu anawakumbusha Mbowe ni wingu tu ndani ya CHADEMA, mvua za mawe bado zimetulia

Mungu anawakumbusha Mbowe ni wingu tu ndani ya CHADEMA, mvua za mawe bado zimetulia

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Nawasalimu wote kila mmoja kwa imani yake wana JF.

Nalazimika kuandika machache Ili nifikishe ujumbe tu.

Kichwa cha habari kinajieleza sana, nini namanisha hapa

Mh Mbowe ni Mwenyekiti wa chama cha Chadema Tz, anakabiliwa na mashitaka ya UGAIDI, maana nyingine wapenzi, wanachama wote wanakabiliwa na mashitaka haya hilo liko WAZI.

KWa kua lengo langu nikufikisha ujumbe basi nazungumza machache

Sikia enyi mamlaka, mwaweza mfanya lolote mh Mbowe, ila elewa Mh Mbowe amekua mtu wa busara sana na wakutumia hekima Sana Kama mwana siasa, sasa kwa hila zenu mnaweza mfunga Ili kuikomoa CHADEMA ila mtajuta. Namanisha nini hapa?

Namanisha CHADEMA inawatu, CHADEMA inaviongozi wenda ambao hawana hata subira pale tu HAKI inapokua inanyongwa,wapo ila wenda hawajapewa majukumu hayo kutokana na taratibu za CHAMA ila wakipewa wao mtakumbuka sana Mh Mbowe.

Huyu Mh Mbowe pamoja na CCM kumpitisha kaa la moto ni mvumilivu sana, sasa shupaza shigo.

Niwaombeni hakuna kitakacho saidia bila meza ya mazungumzo na maridhiano lakini kwanza Mh Mbowe akiwa huru,vinginevyo mbaki naye.

Acheni kibri kwamba nyie ndo nyie, wakati mwingine lazima tumia rejea ya viongonzi wa nchi waliopita na kutambua kwamba bila kuwa karibu na kubadilishana mawazo na watu wenye fikra mbadala (wapinzani) kama nchi mambo hayawezi kwenda,mfano mh KIKWETE alifanya, huwezi lazimisha kila mmoja acha anachokiamini kwamba akubaliane na wewe kwa kheri au kwa shari never Duniani au Mbiguni that's wapo malaika walimuasi Mungu, na wakawa Mashetani.

Sasa hamjifunzi au chukua ushauri kwa wakongwe kama MJK why?

Nchi haiwezi jengwa na mawazo ya mtu mmoja, chama kimoja lazima kujengwa na watu wote na mawazo tofauti Wala sio Mabavu

Mkipenda jitafakari ila msipotaka shauri zenu

Niwatakie ijumaa njema..
 
Mbona enzi ya ma
Nawasalimu wote kila mmoja kwa imani yake wana JF.

Nalazimika kuandika machache Ili nifikishe ujumbe tu.

Kichwa cha habari kinajieleza sana, nini namanisha hapa

Mh Mbowe ni Mwenyekiti wa chama cha Chadema Tz, anakabiliwa na mashitaka ya UGAIDI, maana nyingine wapenzi, wanachama wote wanakabiliwa na mashitaka haya hilo liko WAZI.

KWa kua lengo langu nikufikisha ujumbe basi nazungumza machache

Sikia enyi mamlaka, mwaweza mfanya lolote mh Mbowe, ila elewa Mh Mbowe amekua mtu wa busara sana na wakutumia hekima Sana Kama mwana siasa, sasa kwa hila zenu mnaweza mfunga Ili kuikomoa CHADEMA ila mtajuta. Namanisha nini hapa?

Namanisha CHADEMA inawatu, CHADEMA inaviongozi wenda ambao hawana hata subira pale tu HAKI inapokua inanyongwa,wapo ila wenda hawajapewa majukumu hayo kutokana na taratibu za CHAMA ila wakipewa wao mtakumbuka sana Mh Mbowe.

Huyu Mh Mbowe pamoja na CCM kumpitisha kaa la moto ni mvumilivu sana, sasa shupaza shigo.

Niwaombeni hakuna kitakacho saidia bila meza ya mazungumzo na maridhiano lakini kwanza Mh Mbowe akiwa huru,vinginevyo mbaki naye.

Acheni kibri kwamba nyie ndo nyie, wakati mwingine lazima tumia rejea ya viongonzi wa nchi waliopita na kutambua kwamba bila kuwa karibu na kubadilishana mawazo na watu wenye fikra mbadala (wapinzani) kama nchi mambo hayawezi kwenda,mfano mh KIKWETE alifanya, huwezi lazimisha kila mmoja acha anachokiamini kwamba akubaliane na wewe kwa kheri au kwa shari never Duniani au Mbiguni that's wapo malaika walimuasi Mungu, na wakawa Mashetani.

Sasa hamjifunzi au chukua ushauri kwa wakongwe kama MJK why?

Nchi haiwezi jengwa na mawazo ya mtu mmoja, chama kimoja lazima kujengwa na watu wote na mawazo tofauti Wala sio Mabavu

Mkipenda jitafakari ila msipotaka shauri zenu

Niwatakie ijumaa njema.
Mbona enzi ya mange kimambi hamkutoka barabarani kama mna jeuri hiyo?
Na si lazima uwe kiongozi ndo ulete jeuri, anza sasa hivi ukamtoe mwenyekiti ndani.
 
Mbona enzi ya ma

Mbona enzi ya mange kimambi hamkutoka barabarani kama mna jeuri hiyo?
Na si lazima uwe kiongozi ndo ulete jeuri, anza sasa hivi ukamtoe mwenyekiti ndani.
Tulia soma na tafakari kilichoandikwa ,siku hazifanani na nyakati ni tofauti Sana ,ACHA tabia ya kulinganisha nyakati , umeona mangapi hujitokeza katika nyakati tofauti ,? Jana Sio leo na mwaka jana haiwezi kuwa mwaka huu
 
Tulia soma na tafakari kilichoandikwa ,siku hazifanani na nyakati ni tofauti Sana ,ACHA tabia ya kulinganisha nyakati , umeona mangapi hujitokeza katika nyakati tofauti ,? Jana Sio leo na mwaka jana haiwezi kuwa mwaka huu
Kamanda wa kuchora ingia barabarani tukuone.

Unabweka bweka kama mbweha nyuma ya keyboard na ki-bundle cha MB 20. Assholle
 
Mbona enzi ya ma

Mbona enzi ya mange kimambi hamkutoka barabarani kama mna jeuri hiyo?
Na si lazima uwe kiongozi ndo ulete jeuri, anza sasa hivi ukamtoe mwenyekiti ndani.
Wewe unaweza toka barabarani kwa kuambiwa na malaya kama yule wakati yeye yupo marekani. Kweli huna akili we punda
 
Mh Mbowe ni Mwenyekiti wa chama cha Chadema Tz, anakabiliwa na mashitaka ya UGAIDI, maana nyingine wapenzi, wanachama wote wanakabiliwa na mashitaka haya hilo liko WAZI.
UGAID unaujua wewe au ndiyo sera mpya ya CCM kubambikizia watu kesi wanaodai vuguvugu la Katiba mpya. Na mtaitoa tu mtake mstake, maana sasa mmenza kuingilia hadi uhuru wa Mahakama, this is too much.

Kwanza ni hukumu gani ile kama si ujiaibisha tu kitaifa na kimataifa, Ni taifa gani huru linakandamiza watu wenye mawazo mbadala.

Kajipangeni upya!! CDM hamtakaa muiweze, marehemu mwenyewe kaikimbia sembuse nyie bana.
 
Ila hata Sabaya ni mvumilivu sana amepitia misukosuko mingi ya kesi pamoja na kufungwa
 
UGAID unaujua wewe au ndiyo sera mpya ya CCM kubambikizia watu kesi wanaodai vuguvugu la Katiba mpya. Na mtaitoa tu mtake mstake, maana sasa mmenza kuingilia hadi uhuru wa Mahakama, this is too much.

Kwanza ni hukumu gani ile kama si ujiaibisha tu kitaifa na kimataifa, Ni taifa gani huru linakandamiza watu wenye mawazo mbadala.

Kajipangeni upya!! CDM hamtakaa muiweze, marehemu mwenyewe kaikimbia sembuse nyie bana.
Mkuu umesoma andiko VIZURI ,? au basi umeamua nifokea?
 
Mku ni mwanaccm na ni Mchaga halisi wa Kibosho Umbwe natoka Kijiji kinaitwa Kombo.
Kwa hiyo unamaanisha Mbowe kilichomponza ni Uchaga wake kwani neno Wachaga kupitia chama changu ccm ni uadui sio.
Kwani tukilijua hili mapema ni vizuri ili Wachaga kokote waliko wanze kujihesabu mapema kumbuka hizo kauli ww sio wa kwanza.
Naomba juu ya haya mambo ya ukabila yananifikirisha sana .
Wachaga tuliopo huu tulione jambo ambalo lipo kwani huyu hajaandika kwa bahati mbaya ni mambo ambayo yapo.
Wachaga tusimame na Mbowe kwani hapana.
Sasa mnasubiri nini kusimama sasa hivi ?

Lianzisheni muda huu huu. Mnabweka bweka tu humu bila action yoyote.
 
Mbona enzi ya ma

Mbona enzi ya mange kimambi hamkutoka barabarani kama mna jeuri hiyo?
Na si lazima uwe kiongozi ndo ulete jeuri, anza sasa hivi ukamtoe mwenyekiti ndani.
Huenda ukawaukosawa Huenda ukawa hujui lakini ni mawazo yako na wenye mawazo yao tofauti na wao pia ni haki yao
 
Back
Top Bottom