Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

lete tafsiri ya kiswahili mna nyie ni copy na paste hya tafuta tafsiri ya kiswahili hlf tuendelee na mjadala
 
Kwani uongo kua Uislamu hauongezeki kwani ni uongo?
m naongea kwa facts na ww lete facts
 
lete tafsiri ya kiswahili mna nyie ni copy na paste hya tafuta tafsiri ya kiswahili hlf tuendelee na mjadala
Kitabu natumia cha kingereza , alafu mbona ni kingereza rahisi sana kimetumiaka hapa

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Kwani uongo kua Uislamu hauongezeki kwani ni uongo?
m naongea kwa facts na ww lete factsView attachment 2138238
Maana yake ni kwamba unasema Muhammad alikuwa muongo, nimecheka sana! nimeshamaliza hili usirudie tena
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Hhhhhh ndo mana nikakwambia nyie ni wale wa kucopy na kupaste hamuujui Uislamu mm ninoujua nakuelezea unakataa sasa mm nikufanye nn

we nimekwambia lete tafsiri ya kiswahili kma umepata kitabu cha kiingereza basi na cha kiswahili pia kipo
 
Aisee we akili zako zipo miguuni mna ata mtoto wa darasa la kwanza hahitaji kuelezewa iyo fact niloiweka hpo
 
Aisee we akili zako zipo miguuni mna ata mtoto wa darasa la kwanza hahitaji kuelezewa iyo fact niloiweka hpo
Kama hiyo ni fact maana yake umethibitisha Muhammad alitoa unabii wa uongo , nimeshakwambia nimeshamaliza kazi
Hapa kasema Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo, na wewe umethibitisha kadanganya kwa kuweka fact
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Yohana : 8 : 58 - Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Hebu tuambie
Kati ya ibrahim na mariam nani alikuwepo kwanza
Nimekuuliza Ndugu yangu Mariam Yeye alizaa Nini kama Mungu Tayari Keshazaa Huko Zamani. Huo mstari wako Mbona Hauna Jibu langu
 
Sasa aliyekuambia Yesu ni binadamu ni nani? Maandiko yenyewe yanasema alikuwa tu mfano wa binadamu
Alikuwaje Mfano wa Binadamu wakati alikuwa na Sifa zote za Binadamu. Mbuzi atafananishwa na Mbuzi Mwenzake na Binadamu atafananishwa na Binadamu mwenzake

1. Alikuwa anamwili
2. Alikuwa anatembea
3. Alikuwa anaongea
4. Alikuwa Ana Hasira
5. Alipigwa Na Kutoa Damu
6. Alikuwa anachoka na Kupumzika
7. Alikuwa anapenda
8. Alipumua
9. Alienda Chooni


Wewe utasemaje alikuwa na Mfano ndugu. Hebu Shirikisha Ubongo wako Vizuri
 
We una kichwa kigumu..wapi nimesema yesu ni Mungu? au kusoma nako shida.

Kumbukeni nilivyowambia nitakwenda na nitarudi, kama kweli mnanipenda mngefurahi na kushangilia maana nakwenda kwa baba: na baba yangu ni mkuu kuliko mimi°
Yesu anasema Mungu ni Mkuu kuliko yeye.

Wewe umesema hapo Yesu anasema Mungu ni Mkuu Kuliko Yeye.

Sasa Inakuwaje Tena Mnamwita Ni Mungu
 
Kuna kundi la watu ambao hawajui lakini wanajifanya wanajua. Wewe upo kwenye Hilo kundi. Unaishambulia Biblia na kusema Ni uongo. Jiulize ni kwanini Yesu au Issa anatajwa Sana kwenye Quran?.
Quran imemtaja Issa (AS) sio Yesu!
Si huwa mnakataa Yesu sio Issa (AS)?
 
Nyuzi zako nyingi ni kukosoa mambo ya dini za kigeni,nakushauri uanzishe dini ya asili ya mizimu mbona utapata wafuasi wengi.
Unajua tofauti ya Mizimu na Watakatifu? Hizo dini mnazoziamini ni za mizimu ya wazungu na mizimu ya waarabu. Mababu zetu ukiwaita mizimu utakuwa huna akiri.
 
Nyuzi zako nyingi ni kukosoa mambo ya dini za kigeni,nakushauri uanzishe dini ya asili ya mizimu mbona utapata wafuasi wengi.
Dini ya Mizimu Kwanza Aliileta Yesu mwenyewe. Maana Alitoka Akaenda Kuongea na Mizimu ya Musa na Elia Pale Mlimani na Wakamtia Moyo kama Mnavyoambiwa

Kwahiyo Usiwe unatuhumu watu bila Kutumia Kwanza Akili Timamu
 
Kuamini Kunakuja Baada ya Kutokuwa na Shaja Juu ya Mambo unayoyasema. Sasa mtu anaulizwa Swali La kiakili tu badala Atumie akili Kulijibu Yeye anakuletea Aya ya Vitabu hivyo hivyo Vilivyompotosha
 
Hawaogopi. Anawapenda wanadamu
Kumbuka aliiitengeza Dunia kwa lengo tu amuumbe mwanadam aje aishi hu
Sasa Mbona Mnaenda Kanisani kukemea Mapepo na Mashetani kama Nyie Pekee ndio mlistahili kuwa Hapa



Mbona hujiulizi kwa Nini Shetani anamng'ang'ania mwanadamu amkoseshe asitende mapenzi ya Mungu Kuna Nini humo?

Wewe ndio utupe majibu Unayeamini Hivyo




Kama Mungu ndie aliyemuumba Huyo Shetani halafu akamtupa Duniani Ili Aje Hawarubuni Watu huoni kwamba kosa Ni la Huyo Mungu. Maana Kama Kamtupa Kwako wewe unawezaje Mzuia

Yeye huko Kamshindwa Kamtupa Kwako Ww unajikomboaje Sasa

Mambo ya Kusamehe dhambi yamekuja Juzi juzi Hapa. Kwenye Vitabu vyenu Adam na Hawa Hawakuishi kwenye Hiyo Dhana. Maana Hata Amri tu walikuwa hawana. Unaposema Shetani anawivu kisa Ww unasamehewa Dhambi yeye hasamehewi Unakuwa Unamfamya Mungu ni Mbaguzi kwa Viumbe wake. Anawasamehe Binadamu ila Viumbe wengine hawasamehi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…