Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Watu wengi humu haulizi maswali kwa maana ya kutaka kujifunza wasichokijua bali kwa mtazamo wa kutaka kuchallenge.
Imagine wewe ni mwanafunzi/mwanachuo umeenda darasani kwa lengo tu la kutaka kuchallenge mwalimu/lecturer wako HAKUNA namna utakaa uelewa somo lake. Utabakia vile ulivyo.

Wewe ni mwanadamu tena u mavumbi tuu kisha unataka kuyachallenge mambo ya Mungu (divinity) kabla ya kumwamini, HAKUNA namna utakaa uyaelewe pasipo kumwamini kwanza. Utabakia na ujinga wako huku ukijiona mwerevu mbele zake.

Kaa chini uwe tayari kujifunza.

Umenena vyema mtumishi
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Nyuzi zako nyingi ni kukosoa mambo ya dini za kigeni,nakushauri uanzishe dini ya asili ya mizimu mbona utapata wafuasi wengi.
 
Jamani nyieeee Mungu hazaliwi nyie
Walokuleteeni iyo dini saivi wanaslimu kwa kasi huko
Hata ungepewa facts 1000 za maandiko matakatifu kama hujafungua ufahamu na moyo kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu alikufa na kufufuka kwa ajili yako huwezi kuokoka wala kumwelewa Mungu.

Imani ya kikristo inaaminiwa kwanza sio kusomewa kwanza.
 
Wewe ndio unasema kwamba kuzaa ni sifa ya kiumbe ila maandiko yanasema Mungu anazaa.
Waebrania : 1 : 5 - Kwa maana alimwambia malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?

Hapo Yeye kasema Au kauliza au Hujui manaa Ya Question mark ndugu yangu. Na Maandiko kamili yapo Hivi

Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: “Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa Baba yako.” Wala hakusema juu ya malaika yeyote: “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu.” Lakini Mungu alipokuwa anamtuma Mwanae, mzaliwa wa kwanza, ulimwenguni alisema: “Malaika wote wa Mungu na wamwabudu.”
Waebrania 1:5‭-‬6


Wewe umetafsiri unavyojua Mwenyewe hapo hajasema Amezaa huyo Mwanae. Kuzaa ni Kuwa na Mwanamke ndani ukampa Mimba ukapata Mtoto huko ndiko kuzaa

Maandiko hayo hapo Mungu anazaa. Lete andiko katika biblia Mungu anasema hazai tujue mbivu na mbichi leo

Mama Yake Yesu ni Yupo Hapo Sasa kama Amezaa ndugu yangu
 
Mungu hazai ukimpa Hiyo Sifa Basi Baba Yako na Mama Yako Pia Ni Mungu si Wanazaa bhana. Nyie kila Siku mnaimba Hafafani na Yeyote ila Mnampa Sifa Ya Kuzaa Mungu akishazaa Basi Hana Tofauti na Wewe NA wanyama Wengine wanaozaa pia.

Unakimbilia Maandiko yako wakati Hata Huko hakuna Andiko linalosema Mungu kazaa[

Mada imeisha
Mungu anazaa na ana mwanawe anaitwa Yesu Kristo
Kwa taarifa yako
BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI

Mungu kazaa na Nani ndugu yangu. Mama Yake Yesu ni Nani! Maana Aliyezaa ni Mariam Basi Mariamu kwako ndio Mungu
 
kwa hiyo kuna uwezekano kuna siri imefichwa?
Siri Nyingi sana Zimefichwa kwa Hawa Viumbe wanaokuja Kukupa Taarifa za Mungu hapa Duniani

Mungu Ana Mwana
Mungu Ana Hasira
Mungu ana Wivu
Mungu ana Sikia
Mungu ana Mkono mrefu unafika Popote

Hizo Sifa Zote ni za Viumbe siyo Mungu kwahiyo wao wanampa Sifa Walizonazo wao
 
hujanitajia alomzaa ila m ninavojua alimzaa ni Mariam kwaio Mariam ndo Mungu wa Yesu?

Wewe unavyojua ila sio maandiko yanavyosema.
Kwa taarifa yako
Yohana : 8 : 58 - Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Sasa tuambie kati ya ibrahim na Mariam nani alianza kuwepo
 
Hata ungepewa facts 1000 za maandiko matakatifu kama hujafungua ufahamu na moyo kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu alikufa na kufufuka kwa ajili yako huwezi kuokoka wala kumwelewa Mungu.

Imani ya kikristo inaaminiwa kwanza sio kusomewa kwanza.
hhhhhh kwaio unalazimishwa kwanza uamini hlf ndio usomeshwe imani si kulazimishana huko sasa

Katika Uislamu hatumlazimishi mtu sisi kwanza mtu anapewa elimu hlf machaguzi yake yy mwenyewe ima akubali au akatae dah nilikua silijui hili la kulazimishwa imani kwanza hhhhhh poleni bhna
 
Wewe unavyojua ila sio maandiko yanavyosema.
Kwa taarifa yako
Yohana : 8 : 58 - Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Sasa tuambie kati ya ibrahim na Mariam nani alianza kuwepo
mbona unaleta maswali juu ya maswali jibu ilo swali kwanza
 
Siri Nyingi sana Zimefichwa kwa Hawa Viumbe wanaokuja Kukupa Taarifa za Mungu hapa Duniani

Mungu Ana Mwana
Mungu Ana Hasira
Mungu ana Wivu
Mungu ana Sikia
Mungu ana Mkono mrefu unafika Popote

Hizo Sifa Zote ni za Viumbe siyo Mungu kwahiyo wao wanampa Sifa Walizonazo wao
mmmh noma sana
 
Aisee kila mtu atabeba mzigo.wake msijidanganye kabisaaa ety kafa kwa ajili.ya dhambi zetu
Yni uue,uzini,uibe hlf useme kuna mtu kashanitubia dhambi zangu its non sense

Sasa mbona mnaenda makanisani ili msamehewe dhambi zenu? Na ubaya zaidi ety Pastor au Padri ndie anaesamehe dhambi wakati yy hpo anamichepuko kibao

kusema ukweli wakristo jitafakarini bhna mumeingizwa chaka na iyo imani yenu
Huyu hapa Allah ameshasamehe dhambi zote zilizo pita na zijazo , waislamu wapo huru kufanya dhambi wanazo penda.
Koran 48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
 
Mungu anaishi katika nafsi 3

MUNGU BABA
MUNGU MWANA
ROHO MTAKATIFU

Mungu Akiishi Maana Yake Ana Uhai na Huo Uhai utaisha. Kuishi kuna Kikomo maana Yake Atakufa Siku Zikifika. Maisha Wanayo Viumbe siyo Mungu

Nafsi ya pili ndio ilikuja duniani kwa mwili wa binadamu, ikaonekana waziwazi na wanadamu.

Aliyekufa na kufufuka ni Yesu kristo. Wakati amekufa nafsi nyingine zinafanya kazi.

Wakati huo huo mnasema Mungu ni Mmoja. Halafu tena Nafsi moja Ikafa. Mungu anakufanye Ndugu yangu!? Sifa Ya Mungu ni Kufa? Au hiyo ni Sifa Ya Viumbe

Halafu haya Mambo nyie mnayatoa Wapi Mbona Hata Wanafunzi wa Yesu hawakuambiwa Haya
 
Jibu hoja izo m sina shida ila kwanini mseme mshabebewa dhambi zenu hlf mnaenda makanisani kutubu?
Allah kasema ameshawasamehe dhambi zilizo pita na mtakazo fanya , mbona bado mnaenda msikitini kutubu?

48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
 
Hata ungepewa facts 1000 za maandiko matakatifu kama hujafungua ufahamu na moyo kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu alikufa na kufufuka kwa ajili yako huwezi kuokoka wala kumwelewa Mungu.

Kwanza Alikufa na Kufufuka kwa Ajili yangu kwanini. Kwani Mimi Nilifanya Nini mpaka Yeye aje Anifie Msalabani. Nilifanya Jambo gani mpaka Yeye aje Afe Hivyo Mie nilikuwa Afrika huku Yeye Yupo Israeli


Imani ya kikristo inaaminiwa kwanza sio kusomewa kwanza.
Kuamini Kunakuja Baada ya Kuambiwa Ukweli ukisema Ukweli unaoingia Akilini watu watakuamini sana Tu.

Yaani Mtu atoke zaks Huko Uingereza au Sudani aje Aswme nimekuja Kufa Kwa Ajili yako. Si hata Ww utashangaa Utauliza kwani nimefanya Nini mpaka Uje Ufe kwa Ajili yangu
 
Hawaogopi. Anawapenda wanadamu
Kumbuka aliiitengeza Dunia kwa lengo tu amuumbe mwanadam aje aishi hu

Mbona hujiulizi kwa Nini Shetani anamng'ang'ania mwanadamu amkoseshe asitende mapenzi ya Mungu Kuna Nini humo?

Ngoja nikuambie Shetani ana wivu sana na mwanadamu kwa sababu Mwanadamu anasanehewa dhambi. Shetani hasamehewi dhambi kwa hiyo anataka aende jehanam na wanadamu wengi sana
So anapofusha fikra zao wasielewe mpango wa Mungu waendelee kucheza na dhambi mwisho wake jehanam mile
Kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti Bali karama ya Mungu ni uzima wa milele
kama Shetani hasamehewi dhambi kwanini anaendelea kuachwa akiendelea kudanganya watu Ili Hali uwezo wa kumwangamiza asiendelee kuhadaa upo?
Huoni contradiction hapo?
 
Hata ungepewa facts 1000 za maandiko matakatifu kama hujafungua ufahamu na moyo kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu alikufa na kufufuka kwa ajili yako huwezi kuokoka wala kumwelewa Mungu.

Imani ya kikristo inaaminiwa kwanza sio kusomewa kwanza.
Yohana 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³⁹ Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia.
⁴⁰ Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.

"You have your heads in your Bibles constantly because you think you'll find eternal life there. But you miss the forest for the trees. These Scriptures are all about me! And here I am, standing right before you, and you aren't willing to receive from me the life you say you want. (Jn.5:39-40 | MSG)

John 5:39-40
[39]You search and investigate and pore over the Scriptures diligently, because you suppose and trust that you have eternal life through them. And these [very Scriptures] testify about Me!
[40]And still you are not willing [but refuse] to come to Me, so that you might have life.

Kiini cha maandiko matakatifu ni Yesu Kristo. Yanamwelezea Yeye. Hilo ndio kusudi na lengo la maandiko matakatifu.

Lengo lako la kuchunguza maandiko matakatifu ni nini? Kuona Mungu hakuzaa? Kuona Yesu sio Mungu? Mafanikio? Ndoa? Biashara? Uchawi? Dini ya wazungu? Dini yako? Endelea kuchunguza hivyo utaishia vichakani/gizani.

Nenda kwenye maandiko matakatifu ukimtafuta/kumwamini Yesu Kristo maana yanamwelezea Yeye na si vinginevyo.

Kama Mungu mwenyewe halazimishi mtu kumwamini/kumkubali ndio mimi? Hutaki kamwamini fresh tuu hana cha kupoteza ila wewe
 
Viumbe vyote vinazaliwa tena ni kwa matokeo ya mimba ambayo hutungwa kutokana na tendo maalumu la mwanamke na mwanamume sasa hiyo theory ya kupuliziwa udongo kiumbe kitokee unaona inakuja kweli?
Kwanini isije wakati tunasema mungu anao uwezo wa kufanya chochote?
 
Jamani nyieeee Mungu hazaliwi nyie
Walokuleteeni iyo dini saivi wanaslimu kwa kasi huko
Ukitaka kujadili usiwe unampinga Muhammad , muheshimu, kati ya unabii wake kasema wazi uislamu ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko, ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Back
Top Bottom