Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Haha huyo jamaa kichwa panzi..haelewi kitu
Haya ndugu nimekubali kuwa Nipo hivyo basi Msaidie kumjibia Mwenzako aliyekimbia haya Maswali

1. Kama Mungu keshamzaa Yesu Kabla ya Ulimwengu kuwepo. Mariam alizaa Ninj

2. Isaya Alitabiri kuwa Mtoto ataitwa Emanueli ila Wewe unamwita Yesu. Jina Yesu kwanini lilitumika Badala la Jina Emanueli alililolitabiri nabii Isaya

3. Ulifanya Kosa Gani Mpaka Yesu unayeniambia Ni Mungu akaja Kwako kukukomboa
 
Sio kuogopa, ni upendo uliozidi kipimo

Alikuwa 100% Mungu na 100% mwanadamu. Kupitia uanadamu wake akapigwa mijeledi, akasulubiwa, akafa kwa ajili ya wote wnye mwili.

Kupitia Uungu wake akaponya na akaokoa. Leo tunatumia udhihirisho wake huu kutoa mapepo na kufungua waliofungwa
 
Alikuwa 100% Mungu na 100% mwanadamu. Kupitia uanadamu wake akapigwa mijeledi, akasulubiwa, akafa kwa ajili ya wote wnye mwili.

Kupitia Uungu wake akaponya na akaokoa. Leo tunatumia udhihirisho wake huu kutoa mapepo na kufungua waliofungwa
Wewe ulifanya Kosa Gani Mpaka Yeye aje. Umfanyie hayo yote

Hayo mapepo mbona Hayatoki kila siku mnayatoa huko Kanisani. Kama Kweli Yupo kanisani Huyo pepo angeweza Sogelea hilo kanisa
 
We si umesema Biblia inapotosha..kwahiyo unataka nikupotoshe? maana mimi nafuata mafundisho ya Biblia.
 
Ndugu Yako katika Imani kaweka fact
Ni vizuri umekiri Uislam utaenda kufa na utarudi Madina kama nyika anavyorudi kwenye shimo lake , hilo tumemaliza msirudie tena kupinga unabii wa muhammad
Kwanza huyo si Muislamu, huwezi kumuita Mtume Muongo kisha ukawa bado Muislamu. Huyo si muislamu. Kwanza mtaje huyo mtu.

Kingine hakuna sehemu niliyokiri kwamba Uislamu utakufa, na Uislamu hautakufaa bali utarudi katika hali yake ya mwanzo.

Sasa nani amepinga unabii wa Mtume ? Hapa tunapinga upotoshaji wako wa kijinga.
 
We si umesema Biblia inapotosha..kwahiyo unataka nikupotoshe? maana mimi nafuata mafundisho ya Biblia.
Wewe ndio ulikuwa unasema Yesu si Mungu. Huoni kwamba Hujui hata Unachofuata na Kusimamia kwenye hayo Mafundisho

Maana Mm nakuuliza Wewe kuhusu hayo mafundisho uliyopo unakosa majibu unaniambia ninakichwa cha Panzi


Na Kama bado Unaamini kuwa si Mungu Basi Mungu wa Biblia hataki kuwaleta Pamoja maana Hamuwezi kuwa na Mafundisho tofauti tofauti halafu ni nyie kwa Nyie
 
Muhammad ndio ameweka wazi kabisa
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160

*Ni wazi juhudi zetu mbeleni zinazaa matunda , tutaurudisha Uislam kwenye shimo
 
Kwahiyo mtu wa kwanza aliumbwa hilo unaona linawezekana ila mtu kupatikana kwa kuzaliwa pasipo mbegu za kike na kiume hilo Mungu haliwezi?
 
ila mimi swali linalokuja kichwani ni je !

Mungu na Shetani nani ana nguvu ?
kama Shetani ni kiumbe wa Mungu kwa nini vitu vizuri vizuri vyote ni vya Shetani ?

mziki shetani, mademu wazuri shetani, pesa shetani,pombe shetani ...

Mungu ana uwezo gani wa kutushawishi sasa ?
 
Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!

Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.

Yesu ni Mungu.

kama Yesu ni Mungu na Baba yake Yesu ni nani ?

na Mungu wa Yesu ni nani ?
 

alimtoa mwanaye kwa nani ikiwa yeye ndiye top ?
 
Mkuu hiyo miujiza kwanini itokee kwa hao wazee tu na kibaya hawana uthibitisho katika hicho wanachokidai? Una uhakika gani kuwa hao binaadamu wa mwanzo au wazee huko hayo waliyoyaeleza kuhusu mungu ni ya kweli na si vitu walivyovitunga tu?

Inakuwa ngumu tukisema tuanze kujadili mungu hivi au vile wakati bado hatujaelewana hayo mambo yahusuyo mungu tunayapata vp.
 
Wewe Ni dhehebu gani mpaka useme Yesu sio Mungu?. Msingi wa Ukristo Ni utatu Mtakatifu. Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu. Kama huamini hilo wewe utakuwa sio mkristo Bali dini nyingine au cult.

Je, Mungu ni watatu-katika-mmoja na ni mmoja katika watatu kwa wakati mmoja au ni mmoja kwa wakati huo huo?
 
"Vitabu" gani?

Qur'an (Criterion) haisemi yote hayo uliyoyaweka. Soma Qur'an kwa kuielewa utaelewa kuwa Yesu ana baba yake kama binadam mwengine yeyote yule.

Vitabu vingine vimeleta porojo na vimetiwa mikono ya watu, Qur'an ndio kitabu pekee kilicho na miaka zaidi ya 1400 na hakijatiwa mkono wa mtu. Kitabu pekee kinahifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.
 
kumuelimisha Mjinga ni kazi kweli kweli yni
 
Sasa wewe poyoyo una report story za watu na majina yao unayataja halafu unaongelea "Muhammad"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
kumuelimisha Mjinga ni kazi kweli kweli yni
Mbona mambo yapo wazi ni elimu gani unataka kutoa
Wewe umesema Uislam unaongezeka na ukaweka fact , Muhammad akasema Uislamu utakuwa dini ndogo , Kati ya nyie wawili mmoja ni muongo sasa unatakiwa ujibu nani? Wewe au Muhammad
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Ilo mujiulize nyinyi mulodanganywa kua mumemsulubu mushaambiwa kafananishwa nyie mumeshikilia kasulubiwa sisi hatuamini hilo
 
Sasa wewe poyoyo una report story za watu na majina yao unayataja halafu unaongelea "Muhammad"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mutah girl Wewe sio Sunni kwa hiyo kwenye post zangu Kaa pembeni

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…