Aisee we jamaa ni mjinga kupita kiasi nani alosema Muhammad ni nabii wa uongo hlf lete ushahidi wa huyo alosema ivoNdugu Yako katika Imani kaweka fact
Ni vizuri umekiri Uislam utaenda kufa na utarudi Madina kama nyika anavyorudi kwenye shimo lake , hilo tumemaliza msirudie tena kupinga unabii wa muhammad
Alie fananishia na walio ona wakaandika nani mkweli?Ilo mujiulize nyinyi mulodanganywa kua mumemsulubu mushaambiwa kafananishwa nyie mumeshikilia kasulubiwa sisi hatuamini hilo
Wacha uongo, hakuna pahala Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam akaongea hayo.Mbona mambo yapo wazi ni elimu gani unataka kutoa
Wewe umesema Uislam unaongezeka na ukaweka fact , Muhammad akasema Uislamu utakuwa dini ndogo , Kati ya nyie wawili mmoja ni muongo sasa unatakiwa ujibu nani? Wewe au Muhammad
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Wewe ukiweka fact za kumpinga Muhammad au unabishaAisee we jamaa ni mjinga kupita kiasi nani alosema Muhammad ni nabii wa uongo hlf lete ushahidi wa huyo alosema ivo
Endelea na ujinga wako huo iyo dini yenu itakufa we tizama tu saivi watu wameamka hawaendi makanisani wanajua wanaenda kutapeliwa tuuMuhammad ndio ameweka wazi kabisa
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
*Ni wazi juhudi zetu mbeleni zinazaa matunda , tutaurudisha Uislam kwenye shimo
Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa"Vitabu" gani?
Qur'an (Criterion) haisemi yote hayo uliyoyaweka. Soma Qur'an kwa kuielewa utaelewa kuwa Yesu ana baba yake kama binadam mwengine yeyote yule.
Viatabu vingine vimeleta porojo na vimetiwa mikono ya watu, Qur'an ndio kitabu pekee kilicho na miaka zaidi ya 1400 na hakijatiwa mkono wa mtu. Kitabu pekee kinahifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.
Peleka uharo wako huko, mjitungie wenyewe msingizie wengine?Mutah girl Wewe sio Sunni kwa hiyo kwenye post zangu Kaa pembeni
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Kwaio ww unabishana na Mungu alomuumba huyo Issa?Alie fananishia na walio ona wakaandika nani mkweli?
Prove, kwenu nyie kwenye kuabudu miti na mapango kuna ukweli?Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa
Maana Hata Quran Lugha maandishi yake ya Mwanzo hayakuwa Maandishi ya kiarabu. Kiarabu ni Tafsiri ya Quran
Lete izo fact nilompinga MuhammadWewe ukiweka fact za kumpinga Muhammad au unabisha
Hakuna Sehemu niliposema Kwetu Tunaabudu hivyo vituProve, kwenu nyie kwenye kuabudu miti na mapango kuna ukweli?
Wewe uliona nini? Kuwa Yesu Mzungu aliyetundikwa msalabani?Alie fananishia na walio ona wakaandika nani mkweli?
Kazi kwako. Abudu hata panya, who cares?Hakuna Sehemu niliposema Kwetu Tunaabudu hivyo vitu
Sasa tutajibuje hilo na huamini Mungu kama yupo?Mungu hayupo Hivyo Mungu hana Upenzi na Viumbe wake yeye ana Enzi na Viumbe wake.(ndio maana ya Mwenyezi Mungu) Wanaopenda ni Mimi na Wewe. Ukisema Mungu anakupenda halafu Kumbe anamtoto anayempenda Zaidi mpaka Akamtoa Kwako umuue Kama Mnavyoamini ujue kwamba Wewe hupendwi anampenda Mwanae zaidi
Mie swali Langu ni Hili. WEWE ULIFANYA NINI MPAKA MUNGU AKAMTOA MWANAE KAMA SADAKA
Mutah girl , nakwambia post zangu Kaa pembeni, Mimi na target wenye maandiko Yao wewe hayakuhusu , wewe jikite kufanya mutahPeleka uharo wako huko, mjitungie wenyewe msingizie wengine?
Heri ya wa Muta kuliko wewe kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa mwamkie babako.
iQuote Qur'an, ndio kitabu pekee alichopewa Mtume Muhammad na Allah.
Hizo zingine zote porojo zenu msiokuwa na akili timamu.
Mbona ndugu yangu una Jazba Na Mimi. Kama Kuna Hoja Unayotaka Tujadili ileteKazi kwako. Abudu hata panya, who cares?
Mimi naamini Yupo Sijasema Siamini. Na Hakuna Mahala nimesema Siamini kuwa Yupo.Sasa tutajibuje hilo na huamini Mungu kama yupo?
Pinga haya maneno ya Muhammad tufunge madaEndelea na ujinga wako huo iyo dini yenu itakufa we tizama tu saivi watu wameamka hawaendi makanisani wanajua wanaenda kutapeliwa tuu
soma hpa hlf njoo useme tena kua utauzika Uislamu wakati walokuletea ukristo makanisa yao yanageuzwa misikiti saiviView attachment 2138938
Ok, nilikusoma vibaya.Mimi naamini Yupo Sijasema Siamini. Na Hakuna Mahala nimesema Siamini kuwa Yupo.
Kama ulikuwa hulewwi, elewa kuwa Qur'an zimo vifuani mwa watu toka siku ya kwanza ilipoteremshwa hadi leo. Hakuna kitabu chochote duniani kilichohifadhiwa vifuani mwa watu kama Qur'an.Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa
Maana Hata Quran Lugha maandishi yake ya Mwanzo hayakuwa Maandishi ya kiarabu. Kiarabu ni Tafsiri ya Quran