Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Ndugu Yako katika Imani kaweka fact
Ni vizuri umekiri Uislam utaenda kufa na utarudi Madina kama nyika anavyorudi kwenye shimo lake , hilo tumemaliza msirudie tena kupinga unabii wa muhammad
Aisee we jamaa ni mjinga kupita kiasi nani alosema Muhammad ni nabii wa uongo hlf lete ushahidi wa huyo alosema ivo
 
Ilo mujiulize nyinyi mulodanganywa kua mumemsulubu mushaambiwa kafananishwa nyie mumeshikilia kasulubiwa sisi hatuamini hilo
Alie fananishia na walio ona wakaandika nani mkweli?
 
Mbona mambo yapo wazi ni elimu gani unataka kutoa
Wewe umesema Uislam unaongezeka na ukaweka fact , Muhammad akasema Uislamu utakuwa dini ndogo , Kati ya nyie wawili mmoja ni muongo sasa unatakiwa ujibu nani? Wewe au Muhammad
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Wacha uongo, hakuna pahala Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam akaongea hayo.

Hayo mnaongea nyie mapoyoyo.
 
Aisee we jamaa ni mjinga kupita kiasi nani alosema Muhammad ni nabii wa uongo hlf lete ushahidi wa huyo alosema ivo
Wewe ukiweka fact za kumpinga Muhammad au unabisha
 
Muhammad ndio ameweka wazi kabisa
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160

*Ni wazi juhudi zetu mbeleni zinazaa matunda , tutaurudisha Uislam kwenye shimo
Endelea na ujinga wako huo iyo dini yenu itakufa we tizama tu saivi watu wameamka hawaendi makanisani wanajua wanaenda kutapeliwa tuu

soma hpa hlf njoo useme tena kua utauzika Uislamu wakati walokuletea ukristo makanisa yao yanageuzwa misikiti saivi
20220304_210857.jpg
 
"Vitabu" gani?

Qur'an (Criterion) haisemi yote hayo uliyoyaweka. Soma Qur'an kwa kuielewa utaelewa kuwa Yesu ana baba yake kama binadam mwengine yeyote yule.

Viatabu vingine vimeleta porojo na vimetiwa mikono ya watu, Qur'an ndio kitabu pekee kilicho na miaka zaidi ya 1400 na hakijatiwa mkono wa mtu. Kitabu pekee kinahifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.
Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa

Maana Hata Quran Lugha maandishi yake ya Mwanzo hayakuwa Maandishi ya kiarabu. Kiarabu ni Tafsiri ya Quran
 
Mutah girl Wewe sio Sunni kwa hiyo kwenye post zangu Kaa pembeni

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Peleka uharo wako huko, mjitungie wenyewe msingizie wengine?

Heri ya wa Muta kuliko wewe kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa mwamkie babako.


iQuote Qur'an, ndio kitabu pekee alichopewa Mtume Muhammad na Allah.


Hizo zingine zote porojo zenu msiokuwa na akili timamu.
 
Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa

Maana Hata Quran Lugha maandishi yake ya Mwanzo hayakuwa Maandishi ya kiarabu. Kiarabu ni Tafsiri ya Quran
Prove, kwenu nyie kwenye kuabudu miti na mapango kuna ukweli?
 
Mungu hayupo Hivyo Mungu hana Upenzi na Viumbe wake yeye ana Enzi na Viumbe wake.(ndio maana ya Mwenyezi Mungu) Wanaopenda ni Mimi na Wewe. Ukisema Mungu anakupenda halafu Kumbe anamtoto anayempenda Zaidi mpaka Akamtoa Kwako umuue Kama Mnavyoamini ujue kwamba Wewe hupendwi anampenda Mwanae zaidi

Mie swali Langu ni Hili. WEWE ULIFANYA NINI MPAKA MUNGU AKAMTOA MWANAE KAMA SADAKA
Sasa tutajibuje hilo na huamini Mungu kama yupo?
 
Peleka uharo wako huko, mjitungie wenyewe msingizie wengine?

Heri ya wa Muta kuliko wewe kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa mwamkie babako.


iQuote Qur'an, ndio kitabu pekee alichopewa Mtume Muhammad na Allah.


Hizo zingine zote porojo zenu msiokuwa na akili timamu.
Mutah girl , nakwambia post zangu Kaa pembeni, Mimi na target wenye maandiko Yao wewe hayakuhusu , wewe jikite kufanya mutah
 
Endelea na ujinga wako huo iyo dini yenu itakufa we tizama tu saivi watu wameamka hawaendi makanisani wanajua wanaenda kutapeliwa tuu

soma hpa hlf njoo useme tena kua utauzika Uislamu wakati walokuletea ukristo makanisa yao yanageuzwa misikiti saiviView attachment 2138938
Pinga haya maneno ya Muhammad tufunge mada

Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
 
Hakuna Yenye Ukweli ndani Yenu Nyie Wote.. Ukristo wala Huko Kwenu. Vyote vimeandikwa

Maana Hata Quran Lugha maandishi yake ya Mwanzo hayakuwa Maandishi ya kiarabu. Kiarabu ni Tafsiri ya Quran
Kama ulikuwa hulewwi, elewa kuwa Qur'an zimo vifuani mwa watu toka siku ya kwanza ilipoteremshwa hadi leo. Hakuna kitabu chochote duniani kilichohifadhiwa vifuani mwa watu kama Qur'an.

Hivyo vya mikono ya watu huko huko mnakodanganyana msiojuwa hata maana ya Qur'an ni nini.
 
Back
Top Bottom