Nimekuekea aya apo naona upo na mihemuko yako tuuPinga haya maneno ya Muhammad tufunge mada
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
Mutah girl jikite kujibu acha longolongo kama umemaliza mutah mda si mrefu ,Wewe uliona nini? Kuwa Yesu Mzungu aliyetundikwa msalabani?
Wewe hili jukwaa huru, huna andiko la maana hapa. Ukiandika uharo tutakuweka sawa, mpaka utaelewa kuwa huu ni uharo.Mutah girl , nakwambia post zangu Kaa pembeni, Mimi na target wenye maandiko Yao wewe hayakuhusu , wewe jikite kufanya mutah
Ok FaizaFoxy. Je unayoyafanya Wewe sasa Hivi Mtume wako Muhammad aliyafanya. Unavyoabudu wewe mtume wako ndio kakuelekeza Na Alifanya Unayofanya WeweKama ulikuwa hulewwi, elewa kuwa Qur'an zimo vifuani mwa watu toka siku ya kwanza ilipoteremshwa hadi leo. Hakuna kitabu chochote duniani kilichohifadhiwa vifuani mwa watu kama Qur'an.
Hivyo vya mikono ya watu huko huko mnakodanganyana msiojuwa hata maana ya Qur'an ni nini.
Siitaji Aya Pinga Aya maneno mbona simple tu alafu tunafunga madaNimekuekea aya apo naona upo na mihemuko yako tuu
Kumuelimisha mjinga ni kazi kweli kweli
Kwanza kitendo tu cha kuamini baadhi ya maandiko, tayari umekubaliana na uwepo wake.Kwa hiyo unataka kutuambia Yesu ni mtoto wa Yusufu na hakufanyika kwa uwezo wa Roho mtakatifu?
Bible inasema Mungu ni upendo. So huwezi sema Mungu hana mapenzi kwa viumbe wake. Kwa upendo wake huo, Mungu akaamua kumtoa Yesu ili awakomboe wanadamu kutoka katika dhambi. Adamu alivyotenda dhambi aliwaingiza binadamu katika dhambi, na mshahara/malipo wa dhambi ni kifo. So kwa upendo Mungu akamtoa Yesu kuwakomboa wanadamu.Mungu hayupo Hivyo Mungu hana Upenzi na Viumbe wake yeye ana Enzi na Viumbe wake.(ndio maana ya Mwenyezi Mungu) Wanaopenda ni Mimi na Wewe. Ukisema Mungu anakupenda halafu Kumbe anamtoto anayempenda Zaidi mpaka Akamtoa Kwako umuue Kama Mnavyoamini ujue kwamba Wewe hupendwi anampenda Mwanae zaidi
Mie swali Langu ni Hili. WEWE ULIFANYA NINI MPAKA MUNGU AKAMTOA MWANAE KAMA SADAKA
kwa kua umetamalaki kwenye ujinga basi endelea kua mjingaSiitaji Aya Pinga Aya maneno mbona simple tu alafu tunafunga mada
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
Kama hata huelewi kinachojadiliwa kwenye uzi huu basi sepa tu. Usiwe unajibu utumbo.Mbona ndugu yangu una Jazba Na Mimi. Kama Kuna Hoja Unayotaka Tujadili ilete
Mutah girl nimekwambia hayo maandiko hayakuhusu , wahusika wako na wanayathamini , wewe jikite kwenye mutah , mbona simple potezea endelea na mutahWewe hili jukwaa huru, huna andiko la maana hapa. Ukiandika uharo tutakuweka sawa, mpaka utaelewa kuwa huu ni uharo.
Muta ni bora kuliko wewe kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa mwamkie babako.
Kiswahili kigumu kwako PINGA AYA MAANDIKOkwa kua umetamalaki kwenye ujinga basi endelea kua mjinga
mna nyie makafiri chuki zenu ni za ajabu mnoo
Hivi wewe unaweza kumuua mwanao ili umpe msamaha mwizi aliokuibia?Bible inasema Mungu ni upendo. So huwezi sema Mungu hana mapenzi kwa viumbe wake. Kwa upendo wake huo, Mungu akaamua kumtoa Yesu ili awakomboe wanadamu kutoka katika dhambi. Adamu alivyotenda dhambi aliwaingiza binadamu katika dhambi, na mshahara/malipo wa dhambi ni kifo. So kwa upendo Mungu akamtoa Yesu kuwakomboa wanadamu.
Wewe una Jazba. Kwa vile nakufahamu ngoja Nikae PembeniKama hata huelewi kinachojadiliwa kwenye uzi huu basi sepa tu. Usiwe unajibu utumbo.
Narudia, "shikamo baba" ushamjua yupi ndio wa kweli? Siku hizi kuna dna, kawapime tu wote.Mutah girl nimekwambia hayo maandiko hayakuhusu , wahusika wako na wanayathamini , wewe jikite kwenye mutah , mbona simple potezea endelea na mutah
Ni bora, maana uki beep mie napiga. Kumbuka hilo.Wewe una Jazba. Kwa vile nakufahamu ngoja Nikae Pembeni
Bible inasema Mungu ni upendo. So huwezi sema Mungu hana mapenzi kwa viumbe wake. Kwa upendo wake huo, Mungu akaamua kumtoa Yesu ili awakomboe wanadamu kutoka katika dhambi. Adamu alivyotenda dhambi aliwaingiza binadamu katika dhambi, na mshahara/malipo wa dhambi ni kifo. So kwa upendo Mungu akamtoa Yesu kuwakomboa wanadamu.
kama Yesu ni Mungu na Baba yake Yesu ni nani ?
na Mungu wa Yesu ni nani ?
Huo ndiyo upendo usioelezeka. Ndiyo maana imeandikwa kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu. Na hii habari haijaanzishwa na wazungu.Hivi wewe unaweza kumuua mwanao ili umpe msamaha mwizi aliokuibia?
Mambo mengine hayo mnadanganywa tu na wazungu, hayaingii kabisa akilini. Kweli, wajinga ndio waliwao.
Haya huwa mnayatoaga wapi na Nani aliyemwambia Hivyo. Yesu mwenyewe keshagoma na Kusema Yeye si Mungu. Unampaje Kiumbe wa Mungu sifa za Mungu ndugu yanguYesu karithi jina la baba yake. Baba yake ni Mungu hivyo Yesu nae ni Mungu.
Waafrika nyie mna Nabii gani au Mtume Gani aliyeandika Chochote kuhusu NyieHuo ndiyo upendo usioelezeka. Ndiyo maana imeandikwa kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu. Na hii habari haijaanzishwa na wazungu.