Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Wewe unamatatizo makubwa. Binadamu ndio anamuokoa binadamu mwenzake?. Acha kujitoa akili, nyie ndio mkiuguua tumbo mnaanza kulia Mungu nisaidie nakufa. Wakati wa Nuhu walikuwepo wabishi zaidi yako lakini mwisho ulipofika waliliia Kama watoto. Juzi hapa kulikuwa na Corona Tanzania tukafany maombi ya kufunga, je Kuna binadamu gani alikuwa ana uwezo wa kuondoa corona?.
Blaza una akili timamu?
 
Twende Taratibu tu Ndugu yangu Kwanza Unatakiwa Kuelewa Kwamba Binadamu wa Kwanza Kuumbwa ni Fumbakasa na Mwasi mkewe. Hawa Ndio waliokuwa wa Kwanza Kulingana na Elimu ya Jadi na Wazee. Hawa ndio Waliopewa Elimu ya Kuishi na Wao Kurithisha Elimu hiyo kwa Watoto wao Ndio mpaka Leo hii Elimu hiyo Ipo na Ndio inayofundishwa Elimu hii walipata Kutoka Katika Muujiza Wa Mungu ambao ndio huo Unaoumba Mpaka leo




Ubishi unaletwa Kama Mtu mmoja Kati Yetu Atang'angania Jambo analojua Hata Kama Hana Ukweli sahihi wa Ki Mungu.

Sasa Angalia Kwamba Maombi unayoyanajibuwa kwa Wewe kufanya Nini.

1. Watakuambua Peleka Sadaka
2. Huko Nyuma Watu walikuwa wanachinja Wanyama na ndege ambapo ni Sadaka za Damu
3. Usipopeleka Hivyo Vitu Hao Viumbe hukasirika na Kukuletea Mabalaa


Sasa Ili Ujibiwe lazima Huyo unayemuomba Akuombe Wewe kitu kwanza Na Ukimnyima Anakasirika. Sasa Ndugu yangu kwa Akili ya Kawaida Mungu anakuomba Wewe hivyo vitu Ili Yeye afanyie Nini. Hivyo vitu ni Viumbe wasio Mungu ndio wanataka Mfano Wewe mwenyewe Binadamu na Hayo Majini na Malaika ndio Hupenda Hivyo vitu
Duh! huo muujiza wa mungu unaoumba hadi leo ndio upi na mbona basi watu wa leo hawamjui huyo mungu kupitia huo uumbaji unaoendelea kama walivyojua hao watu wa kwanza?


Halafu mbona watu wanaomba bila kupitia kwa mtu au kutoa sadaka wala kuchinja au haujaona hilo?
 
Duh! huo muujiza wa mungu unaoumba hadi leo ndio upi na mbona basi watu wa leo hawamjui huyo mungu kupitia huo uumbaji unaoendelea kama walivyojua hao watu wa kwanza?

Mungu Alipoumba hakupumzika Uumbaji Unaendelea mpka Leo. Toka Hata Hapo Nje utaona Nyasi. Hata Uyoga Vinajiotea na Kuna vinavyoumbwa Huvioni kwa Macho yako

Halafu mbona watu wanaomba bila kupitia kwa mtu au kutoa sadaka wala kuchinja au haujaona hilo?
Kama Wewe Mkristu au Mwislamu sijui kama Unaomba Bila Kufanya Hayo. Maana Kwenye kitabu unachokiamini Sadaka Za Damu Zipo na Sadaka za Kawaida zipo amabzo leo hii ni Pesa
 
Mungu Alipoumba hakupumzika Uumbaji Unaendelea mpka Leo. Toka Hata Hapo Nje utaona Nyasi. Hata Uyoga Vinajiotea na Kuna vinavyoumbwa Huvioni kwa Macho yako


Kama Wewe Mkristu au Mwislamu sijui kama Unaomba Bila Kufanya Hayo. Maana Kwenye kitabu unachokiamini Sadaka Za Damu Zipo na Sadaka za Kawaida zipo amabzo leo hii ni Pesa
Sawa uumbaji unaeendelea ila swali langu ni kwamba mbona watu wa leo hawamjui huyo mungu kupitia huo muujiza wa uumbaji unaoendelea hadi leo badala yake huo muujiza uliishia kwa hao watu wa kwanza tu?

Haujaona hata viongozi wa dini wakiitwa kwenye shughuli za kiserikali huwa wanaomba dua na huwa hawachinji wala kutoa sadaka yeyote?
Watu wakitaka kulala wanaomba dua,wakitaka kula wanaomba n.k sasa hayo ya lazima kuchinja umeyatoa wapi mkuu?
 
Sawa uumbaji unaeendelea ila swali langu ni kwamba mbona watu wa leo hawamjui huyo mungu kupitia huo muujiza wa uumbaji unaoendelea hadi leo badala yake huo muujiza uliishia kwa hao watu wa kwanza tu?

Sasa Ndugu yangu utamjuaje wakati Elimu hutaki tofauti na Elimu ya Vitabu vya Mapokeo. Ndugu yangu Tz mbogo Unashinda Unaangalia Kwaya na Kwenda Kwenye Nyumba za Ibada kila Jumapili Ulitegemea utamjuaje Mungu mwenye Vyote na Muujiza Wake unafanyaje Kazi wakati Katika Majumba Yao wanataka Wakupotoshe usimjue

Ila Uongo una muda Wake ukifika Unakufa. Ila Ukweli hata Kama Ukikaa Huko Miaka 1000 utakuja Tu utaujua



Haujaona hata viongozi wa dini wakiitwa kwenye shughuli za kiserikali huwa wanaomba dua na huwa hawachinji wala kutoa sadaka yeyote?
Watu wakitaka kulala wanaomba dua,wakitaka kula wanaomba n.k sasa hayo ya lazima kuchinja umeyatoa wapi mkuu?

Sijasema Kila Wanapoomba Wanatoa Sadaka. Ila Kwenye Vitabu Mmeambiwa Mpeleke sadaka Pale Mnapoomba. Sijui kama Unaelewa Hapa ndugu yangu. Na Imeandikwa mmjaribu kwa Sadaka ni Hitaji la Muhimu analolitaka Mungu kwenye hivyo Vitabu

Sadaka za Kuchinja Mbona Zipo Kwenye Kitabu Unachoamini ndugu yangu.

SOMO LA KWANZA

Mtatoa pia beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi, licha ya sadaka ya kuteketezwa ya kawaida pamoja na sadaka yake ya nafaka na sadaka yake ya kinywaji.

Hesabu 29:19


SOMO LA PILI

Waambie kwamba sadaka watakayonitolea ya kuteketezwa kwa moto, itakuwa ifuatavyo: Wanakondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari yoyote, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Mwanakondoo mmoja atatolewa asubuhi na wa pili jioni; kila mmoja atatolewa pamoja na sadaka ya nafaka ya kilo moja ya unga uliochanganywa pamoja na lita moja ya mafuta bora yaliyopondwa. Hii ni sadaka ya kutolewa kila siku inayoteketezwa kabisa motoni, ambayo ilitolewa kwa mara ya kwanza mlimani Sinai kama sadaka ya chakula, harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 28:3‭-‬6 BHND

_________________________________________
Hizo ni Sadaka za Mungu unayemwamini ametoka Kwa wana wa Israeli kama Yupo Tofauti na Mungu wa Sasa Hivu Unayemwabudu inabidi ujijue Unamwabudu Mungu Tofauti usiyemjua
 
Nani amekwambia wakristo wote hutoa ela kama sadaka kwa Mungu.?
Sadaka Kuu kwa Wakristu wa Sasa Ni Pesa. Usijipotoshe na kuudanganya Ubongo wako ndugu yangu.

Sijasema Ni pesa Peke yake. Ila Kuna Sadaka, Shukrani na Harambee Nyingi Huwa Ni Pesa
 
Sikiliza, wewe bado huna akili ya kujadiliana na mimi kuhusu mambo ya dini na mambo ya mungu. Kajadiliane na mataahira wenzako huko madrasa
Ukishaona mtu anaanza kutoa Matusi m najua ameshashindwa hana hoja kwaio kaa ukitulize kishuzi icho
 
Sasa Ndugu yangu utamjuaje wakati Elimu hutaki tofauti na Elimu ya Vitabu vya Mapokeo. Ndugu yangu Tz mbogo Unashinda Unaangalia Kwaya na Kwenda Kwenye Nyumba za Ibada kila Jumapili Ulitegemea utamjuaje Mungu mwenye Vyote na Muujiza Wake unafanyaje Kazi wakati Katika Majumba Yao wanataka Wakupotoshe usimjue

Ila Uongo una muda Wake ukifika Unakufa. Ila Ukweli hata Kama Ukikaa Huko Miaka 1000 utakuja Tu utaujua





Sijasema Kila Wanapoomba Wanatoa Sadaka. Ila Kwenye Vitabu Mmeambiwa Mpeleke sadaka Pale Mnapoomba. Sijui kama Unaelewa Hapa ndugu yangu. Na Imeandikwa mmjaribu kwa Sadaka ni Hitaji la Muhimu analolitaka Mungu kwenye hivyo Vitabu

Sadaka za Kuchinja Mbona Zipo Kwenye Kitabu Unachoamini ndugu yangu.

SOMO LA KWANZA

Mtatoa pia beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi, licha ya sadaka ya kuteketezwa ya kawaida pamoja na sadaka yake ya nafaka na sadaka yake ya kinywaji.

Hesabu 29:19


SOMO LA PILI

Waambie kwamba sadaka watakayonitolea ya kuteketezwa kwa moto, itakuwa ifuatavyo: Wanakondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari yoyote, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Mwanakondoo mmoja atatolewa asubuhi na wa pili jioni; kila mmoja atatolewa pamoja na sadaka ya nafaka ya kilo moja ya unga uliochanganywa pamoja na lita moja ya mafuta bora yaliyopondwa. Hii ni sadaka ya kutolewa kila siku inayoteketezwa kabisa motoni, ambayo ilitolewa kwa mara ya kwanza mlimani Sinai kama sadaka ya chakula, harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 28:3‭-‬6 BHND

_________________________________________
Hizo ni Sadaka za Mungu unayemwamini ametoka Kwa wana wa Israeli kama Yupo Tofauti na Mungu wa Sasa Hivu Unayemwabudu inabidi ujijue Unamwabudu Mungu Tofauti usiyemjua
Nadhani hatujaelewana, wewe haya unayoyaeleza kuhusu huyo mungu wako unadai kuwa umeyapata kutoka kwa hao watu wa mwanzo kuumbwa ila nachouliza mimi hapa kwanini na sisi tusiyajue hayo ya huyo mungu kwa njia kama iliyotumika kwa hao watu wa kwanza ambayo ni kupitia miujiza ya uumbaji? maana umesema uumbaji bado unaendelea ila ajabu watu hawapati hiyo elimu ya kumjua huyo mungu kupitia huo uumbaji na matokeo yake tunategemea masimulizi ya hao watu wa mwanzo tu.


Nimekwambia hivi ukiondoa hayo ya sadaka na kuchinja bado watu huomba dua pasipo kutumia sadaka wala kuchinja, hilo unalizungumziaje? sasa wewe umekazania issue ya sadaka na kuchinja tu.
 
Kwani Mungu yeye Ndugu yangu anakuogopa Nini wewe mpaka akutolee Sadaka. Maana Kulingana Na Biblia Ww ndio mkosaji. Na Kumbuka Wale wa Sodoma na Gomora walichomwa Moto fasta tu walipomkosea na Wale wa Gharika hivyo hivyo. Ila Wewe ukamsababisha Amtoe Mwanae Badala ya Wewe ndio Ungetakiwa Kumchomwa Moto au Kuangamizwa
Mungu Mwenyezi anawaangalieni tu mkiteseka.

Wewe saidia maskin yatima na Na endelea na maisha yako .hayo ya sadaka Kwenye bahasha na makafa mmeyaanzisha nyie
 
Kuna Utata mkubwa Sana Katika kuzaliwa kwa Yesu kutokana Na Maandiko ya Biblia. Ila Kwa Akili Timamu Binadamu yeyote lazima Azaliwe kwa Mifumo maalumu ya Mbegu ya Kiume kuungana Na Mbegu ya Kike Tofauti na Hapo Binadamu hawezi Kutokea
Soma Bible mengine umechapia, kama kichwa chako hakijatulia huwezi kuelewa utaishia kubishana, kasoma Bible kama kazeti la udaku huwezi kuielewa
 
Soma Bible mengine umechapia, kama kichwa chako hakijatulia huwezi kuelewa utaishia kubishana, kasoma Bible kama kazeti la udaku huwezi kuielewa
Ningetamani Sana mumuache Nabii ISSA mnamvumishia mengi yasioyakweli
 
Kuna miungu wengi wamekuwepo kwa jamii tofauti, kwa mfano wafilisti walikuwa na mungu wao anaitwa dagoni, kulikuwa na mungu baal wa wakanani, na huyo mungu sumeria wa kuitwa anu.
Swali kwa nini Mungu wa israeli wa kuitwa Yehova na mwanawe wa pekee aitwaye Yesu Kristo waendelee kuabudiwa mpaka sasa ilhali hao wengine wa mchongo hawasikiki?
Kila zama na kitabu chake ila yote ni ubatili mtupu
Kipindi Anu anaabudiwa na Sumerians Kwa maelfu ya miaka huyo Jehovah/YWH/Elohim pamoja na mwanae Yesu walikua hawajaexist
Jiulize walikua wapi?
Dini ni utapeli wa kale ambao warumi walikuja kuufufua Kwa mfumo wa kisasa kipindi Cha kina Constantine pale Constantinople city uturuki!
 
Hili ni swala zito sana.

Uhuru wa binadamu huwa unaishia pale anapoanza kuhoji haya maswala
 
Nadhani hatujaelewana, wewe haya unayoyaeleza kuhusu huyo mungu wako unadai kuwa umeyapata kutoka kwa hao watu wa mwanzo kuumbwa ila nachouliza mimi hapa kwanini na sisi tusiyajue hayo ya huyo mungu kwa njia kama iliyotumika kwa hao watu wa kwanza ambayo ni kupitia miujiza ya uumbaji? maana umesema uumbaji bado unaendelea ila ajabu watu hawapati hiyo elimu ya kumjua huyo mungu kupitia huo uumbaji na matokeo yake tunategemea masimulizi ya hao watu wa mwanzo tu.

Labda Ndugu yangu Wewe ndio hutaki kunielewa mwenyewe. Ni sawa na Mimi nikuambie Hivi. Kama Adam aliweza Kuongea na Mungu kwanini Sasa Hivi Haongei na Wanadamu.? Au Haongei na Wewe hapo ili akufundishe ila Unaenda Kusikiliza mafundisho Kanisani au Msikitini

Nimekuambia hapo Juu Elimu ya Jadi na Wazee wetu ilitoka Kwa Mwanadamu wa Kwanza Fumbakasa na Mkewe. Maana Binadamu ndio tunaongea sisi kwa Sisi na Kufundishana Yeye aliipokea Kutoka Kwenye Muujiza wa Mungu.

Ni sawa na Wewe upo Darasani unafundishwa na Mwalimu huwezi kuanza Kuuliza kwamba Namtaka Mwalimu aliyemfundisha Mwalimu wako. Au unataka Wakoloni wa Kizungu ndio waje Kukufundisha ndio Utaelewa kwamba elimu imetoka Kwao.

Mbona Biblia unayoamini au Kitabu chochote kile hukuwahoji kwamba Mbona Mungu haongei na Sisi Kama Alivyoongea na Adam na Hawa ndugu yangu
Nimekwambia hivi ukiondoa hayo ya sadaka na kuchinja bado watu huomba dua pasipo kutumia sadaka wala kuchinja, hilo unalizungumziaje?

Sasa Unaendaje kinyume na Maelekezo uliyoambiwa Na Mungu wako ufanye. Utakuwa unafanya Dua zako Na kumuabudu Mungu mwingine sasa. Mungu wa Kwenye Vitabu kakuambia Niabudu Hivi chinja na Fanya Hivi na Hivi na Umjaribu kwa Sadaka wewe unasema Unaomba Bila Sadaka Ndugu yangu. Huoni kwa Akili ya Kawaida unafanya Ibada yako mwenyewe


sasa wewe umekazania issue ya sadaka na kuchinja tu.

Siyo nakomalia Ndugu si Ndivyo Mungu kaelekeza Umwabudu hivyo. Utoe sadaka na Uchinje wanyama bila Hivyo Kuvifanya Wewe unafanya Ibada zako mwenyewe Na Huna Haja ya Kwenda Kanisani Kuabudu wala Msikitini kaa Nyumbani tu ndugu yangu maana Unakuwa Hufuati Maelezo ya Mungu

Kasome Haya Maandiko Ujue Muongozo wa Kusali na Kama Unaposali kwa Mungu unatakiwa Kujua anataka Nini Ili Akusamehe na Kukubariki maana Ndio maagizo yake hayo

Walawi 7:1 na Kuendelea
“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya kuondoa hatia. Sadaka hiyo ni takatifu kabisa.

Malaki 3:10 na Kuendelea
Leteni ghalani mwangu zaka yote, ili nyumbani mwangu kuwe na chakula cha kutosha. Kisha mwaweza kunijaribu. Nijaribuni namna hiyo nanyi mtaona kama sitayafungua madirisha ya mbinguni na kuwatiririshia baraka tele........


Hayo ndio Maelekezo ya Kwenye Biblia unayoiamini Usipofanya hivyo Ujue Unafanya Ibada zako tu
 
Kila zama na kitabu chake ila yote ni ubatili mtupu
Kipindi Anu anaabudiwa na Sumerians Kwa maelfu ya miaka huyo Jehovah/YWH/Elohim pamoja na mwanae Yesu walikua hawajaexist
Jiulize walikua wapi?
Dini ni utapeli wa kale ambao warumi walikuja kuufufua Kwa mfumo wa kisasa kipindi Cha kina Constantine pale Constantinople city uturuki!
Ndugu zetu hawa Waafrika hawajui haya.
 
Mungu Mwenyezi anawaangalieni tu mkiteseka.

Wewe saidia maskin yatima na Na endelea na maisha yako .hayo ya sadaka Kwenye bahasha na makafa mmeyaanzisha nyie
Mimi hicho ndicho ninachosimamia ndugu yangu nikajua Wewe upo Pamoja na Hawa Wanaopeleka Zaka.. Sadaka.. Za Shukrani kwa Viumbe huko Kanisani wakijua Kwamna Wanampa Mungu

Ukisoma Topic zangu utagundua Kwamba MUNGU hakai na Viumbe wake wala Kusaidiana Na Viumbe wake aliowaumba. Binadamu atasaidiwa na Binadamu mwenzake. Ukipata Ajali utaokolewa na Binadamu mwenzako Si Kwamba Mungu eti anatoka Huko anakuja Kukusaidia
 
Soma Bible mengine umechapia, kama kichwa chako hakijatulia huwezi kuelewa utaishia kubishana, kasoma Bible kama kazeti la udaku huwezi kuielewa
Biblia ipo kwenye Mfumo huo kwa Makusudi kabisa ndugu yangu ili Ukupumbaze wewe uone kwamna Ni Mafumbo kumbe Uhalisia haupo Hivyo

Unapokuja wewe kunihubiria Mimi hutakiwi kunifanya nisikuelewe unatakiwa kunifanya nikuelewe. Sasa Nyie kwa Vile Mmekuta Wazazi wenu wapo humo basi na Nyie mnafuata Tu mkumbo Bila Kutafakari na Kusema Biblia imejaa mafumbo. Haijaja mafumbo ila Imekufumba Ww usiyetaka Kutafakari kwa Kutumia akili zako Mwenyewe
 
Kuna miungu wengi wamekuwepo kwa jamii tofauti, kwa mfano wafilisti walikuwa na mungu wao anaitwa dagoni, kulikuwa na mungu baal wa wakanani, na huyo mungu sumeria wa kuitwa anu.
Swali kwa nini Mungu wa israeli wa kuitwa Yehova na mwanawe wa pekee aitwaye Yesu Kristo waendelee kuabudiwa mpaka sasa ilhali hao wengine wa mchongo hawasikiki?

Hujui Hata Kuna Mungu anaitwa Allah..Zambe anaabudiwa.. Yire.. Anaabudiwa na Yehova pia unamuabudu wewe mpaka Leo

Hao si Mungu hao ni Viumbe Walioishi
 
Back
Top Bottom