Sio wote wasio amini dini hawajapitia mafunzo ya dini. Wengine na hasa wasomi ni waelewa wazuri wa dini tangu utoto wao. Walijitoa kwenye dini walipo jua ukweli, na wengine walipokosa majibu kwa maswali ya msingi. Huwezi kuwa muumini wa dini bila kuacha kuamini historian ya dunia na sayansi iliopo.Sasa hao nao wanafaa kuwahubiria ili wafuate ili waujue ukweli na kuufuata na hata kama wanaujua ukweli pia muwahubirie waufuate kwa vitendo na sio kujiweka pembeni. Tena hao ndio ingekuwa ni wepesi kuwahubiria maana hawajafungwa na imani za dini wapo huru ila matokeo yake mmewaacha hao na kupambana na watu wa dini.
Emmanuel maana yake Mungu pamoja nasi ndio kilicho maanaishwaSasa kwanini wamwite Yesu badala ya Emanueli?
Tuanze na nafsi tatu za MunguNdugu yangu sasa Si Atakuwa Amejipinga Mwenyewe na Amri yake ya USIABUDU MIUNGU mingine. Wakati Yeye Kumbe wapo Kumi.
Na Wewe ukisema Ni Mmoja kumbe Wapo Watatu kwenye Nafsi Tatu huoni unajichanganya Mwenyewe. Nafsi Moja Ikiwa Duniani Nyingine zipo Mbinguni hapo Utasema Kuna Mungu Mmoja Tena?
Twende Kwenye Maana Halisi ya Baba Na Mama. Ukiambiwa Maana Halisi ya baba na Mama huwezi kusema Si Jinsia. Maana Halisi ni Jinsia ya Kiume ya Viumbe na Mama Maana Yake Halisi ni Jinsia ya Kike ya Viumbe. Na Mungu zamani kabla ya Yesu Kuja Hakujulikana Kama Baba aliitwa Mungu tu bila Kumwita Baba
Kwahiyo Amri Kumi Wewe huzifuati!?
Ndugu kama Dhambi tunarithi wewe umebeba Dhambi ngapi hapo Toka Adam mpka wewd upo 2022. Huo mzigo unauweza Kuubeba
Shida Ipo Kama Yeye ni Mungu anaongeaje na Mizimu ya Musa na Elia. Maana tunajua Musa na Elia hawakuwa Malaika. Walikuwa binadamu Na Walikufa.
Maana Umesema Nafsi mbili zilibaki Inakuwaje tena Anaenda Kuwasiliana na Viumbe waliofariki Nyuma
Na Nyie Mkiwa Mnasali mnakemea Mizimu halafu kumbe Hata Yesu aliwafuata Mzimu wa Babu zake wa Zamani
Tatizo siyo Maana Ya Jina. Swali langu ni Hili Isaya alisema Mtoto ataitwa Emanueli ila Kwanini Hakuitwa Hilo Jina hilo akaja Kuitwa Jina Yesu? Hilo ndilo swali langu
Kukuuliza Maswali Haimaanishi anayekuuliza Ana Demon ndani yake. Wewe kama Una Mungu Ndani Basi Jibu. Mbona Hata Mungu alikuwa anapiga Stori na Mungu Kipindi cha Ayubu kwenye kitabu unachoamini
Imeandikwa Ataitwa si Maana Ya Jina ila Ataitwa Emanueli. Hata Wewe jina Lako ni Mokiti ila Ndani yake lina Maana na Ndilo unalotumia. Isaya yeye alisema Mtoto ataitwa EmanueliEmmanuel maana yake Mungu pamoja nasi ndio kilicho maanaishwa
Alisema ataitwa Mungu pamoja nasiImeandikwa Ataitwa si Maana Ya Jina ila Ataitwa Emanueli. Hata Wewe jina Lako ni Mokiti ila Ndani yake lina Maana na Ndilo unalotumia. Isaya yeye alisema Mtoto ataitwa Emanueli
Tuanze na nafsi tatu za Mungu
Ni nini kinachokushinda kuelewa?
Mfano binadamu ana Roho ,nafsi na mwili , kwa nini huwezi sema binadamu watatu na unatambua ni mmoja
Jua , Jua Lina umbile ,Lina mwanga na Lina joto , mbona unalitamua Jua kama moja na sio matatu?
Ingia Kwenye Hoja usijifiche kwenye neno Demon pale unapoulizwa Maswali na Binadamu mwenzako ndugu yangu. Jibu kwa HojaAlisema ataitwa Mungu pamoja nasi
Shida ipo wapi ,
Nakwambia you are demonic possessed ,
Demons ndio wanashukilia akili Yako
Nimeshaliza kazi yangu umeshaelewa , sijamfananisha na viumbe ila nimekupa mfano na umekuingia vilivyoSasa Binadamu kama Yupo Hivyo Mungu Naye unamfananisha Na Viumbe wake. Kwa Kumgawa Hivyo Majini, malaika nao wameumbwa Kivyao Pia
Unaposema Mungu ana Nafsi hana Tofauti na Wewe sasa. Maana Kazi za Nafsi nj Kufurahi.. Kufikiria na Utashi uliona wewe
Mimi Ndio nalitamka Jua Kuwa ni Moja sisemi Jua Matatu. Ila Wewe kwa Mantiki zako ungesema Jua Matatu kama Unavyosema Mungu Katika Utatu
Tatizo lenu Mnataka Kumfananisha Mungu na Viumbe vilivyo. Ndio maana Mnampa Sifa za Viumbe. Mungu Hashirikiani na Viumbe katika Kufanya kazi Zake. Akishirikiana na Viumbe maana Yake Umemnyima Uwezo wa Kuwa Mungu Mkuu. Maana Viumbe wake wengi alioshirikiana nao kulingana na Maandiko wengi walikataliwa Na Kuuawa
Ndio Maswali Yangu Hayo Nimeuliza. Yesu alitolewa Sadaka kwa Sababu Wewe au Mimi tulifanya Nini Kusababisha Hayo YoteKwanza hii sadaka aliitoa kumpa nani? Na pili je upande mmoja anatoa mwenyewe na upande wa pili anapokea mwenyewe???
Kasome hiyo sura kuanzia mwanzo mpaka ukifika hapo aya ya 4 utakuwa umeshapata majibu ya maswali yako yote.Mutah girl Jibu hapa Aya maswali acha kuleta janja janja ya kitoto
Mfano Aya hii
Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
maswali
1. hao wawili ni kina nani? ,
2. Wamefanya dhambi gani mpaka waambiwe watubu? ,
3. Wakisaidiana dhidi ya Muhammad kwani Muhammad kafanya nini? ,
4. Kwa nini Allah asaidiane na Malaika wote , jibril na waumini wote kupambana na hao wawili?
5. Awa wawili wana nguvu gani mpaka Allah asaidiwe
Hiyo ni phrase , Mungu pamoja nasiIngia Kwenye Hoja usijifiche kwenye neno Demon pale unapoulizwa Maswali na Binadamu mwenzako ndugu yangu. Jibu kwa Hoja
Sijawahi sikia Watu wanaitwa Maana Ya Majina Badala ya Jina lenyewe. Isaya Alisema Ataitwa Emanueli hakusema ataitwa kwa Maana ya Jina Hilo(Mungu pamoja Nasi ) . Hata Jina Yesu lina Maana Yake mbona Hutumii Maana Ya Yesu ila Unamuita Yesu
Kwahiyo Malaika angetakiw Kutimiza Utabiri wa Isaya kwa Kumwambia Mariam amuite Emanueli siyo Yesu tena
Ndio Swali langu Pia. Maana Nabii humo humo alisema Ataitwa Emanueli ila Malaika Akaja Akasema Ataitwa Yesu. Sasa Sijui Isaya Alisema UongoSasa kwanini wamwite Yesu badala ya Emanueli?
Wewe jibu Mimi nimesoma Aya yote na Haina majibu ya maswali yangu , majibu niliyapata kwenye Hadith na tafsirKasome hiyo sura kuanzia mwanzo mpaka ukifika hapo aya ya 4 utakuwa umeshapata majibu ya maswali yako yote.
Soma kijana.
Yeye anadhani Wapagani eti ni Watu wasiojua Kitu chochote kumbe Ni Watu wanaojua Hata Kuliko Yeye Sema washaona Dini hizi ni Utapeli mkubwaSio wote wasio amini dini hawajapitia mafunzo ya dini. Wengine na hasa wasomi ni waelewa wazuri wa dini tangu utoto wao. Walijitoa kwenye dini walipo jua ukweli, na wengine walipokosa majibu kwa maswali ya msingi. Huwezi kuwa muumini wa dini bila kuacha kuamini historian ya dunia na sayansi iliopo.
Unaamini lakini?Binadamu wa Kwans kulingana na Elimu ya Wazee wetu nj Fumbakasa na Mwasi mkewe. Adam na Hawa ni Hudi na Jemi waliokuwa Watu kutoka India [emoji1128] Hudi alijulikana Kama Adam na Jemj alijulikana kmaa Hawaii ambaye nyie ndio mnamwita Hawa.
Hujajibu Maswali Ya Msingi Ndugu. Umemfanisha Na Viumbe Vyake ndio Umemfanisha na Wewe ulivyo na umemfananisha Na Jua Lilivyo ambacho nacho ni Kiumbe.. Wakati huo unasema Hafanani na Chochote kile wakati Unasema ana nafsi kama Binadamu alivyoNimeshaliza kazi yangu umeshaelewa , sijamfananisha na viumbe ila nimekupa mfano na umekuingia vilivyo
Kuamini Kunakuja Pale Kama Kuna Ukweli zaidi kuliko Mwingine ndipo mtu anaaminiUnaamini lakini?
Kwani wewe umenielewa vp mkuu?Sio wote wasio amini dini hawajapitia mafunzo ya dini. Wengine na hasa wasomi ni waelewa wazuri wa dini tangu utoto wao. Walijitoa kwenye dini walipo jua ukweli, na wengine walipokosa majibu kwa maswali ya msingi. Huwezi kuwa muumini wa dini bila kuacha kuamini historian ya dunia na sayansi iliopo.
Hawa ndiyo alimkuta mwanamke mwingine ila adam alikua wakwanzaKusoma Biblia hakuwezi kukuokoa anayekuokoa ni Binadamu mwenzako tu. Ukizama majiini utaokolewa, ukipata ajali utaokolewa, Biblia imejaa utunzi wa Binadamu
Ni bora ukakombolewa maana anayekukomboa ni Yule anayekuambia Ukweli. Kumbuka Adam na Hawa si Binadamu wa kwanza Kama Biblia inavyosema mana Adam na Hawa waliwakuta Binadamu Duniani kitu ambacho Biblia haijakisema