Huvijui vitabu vya Kiislaam wewe. Umeenda kupiga porojo za nani sijui huko ukasema ndio msimamo wa Waislaam. Muislaam muongozo wake (na wako pia) ni Qur'an pekee.Hiyo ni phrase , Mungu pamoja nasi
Usilete maana zako kwenye Imani za wengine ,
Ndio maana napo wajibu waislamu unaona natumia maana zao na vitabu vyao sio maana zangu na jinsi navyo amini mimi
Mungu pamoja Nasi imeandikwa Wapi Ndugu yangu. Isaya alisema Aitwe Emanueli. Kama Jina Linamaana ya Mungu pamoja nasi hiyo Ni maana yako. Ila Isaya Alitabiri Ataitwa Hivyo ww kulazimisha Maana Ya Jina Utakuwa Umeenda Nje Ya Utabiri wa IsayaHiyo ni phrase , Mungu pamoja nasi
Usilete maana zako kwenye Imani za wengine ,
Ndio maana napo wajibu waislamu unaona natumia maana zao na vitabu vyao sio maana zangu na jinsi navyo amini mimi
Demons wamefunga uelewa wako , nakuambia ni mifano wewe unaleta ubishani wa kitotoHujajibu Maswali Ya Msingi Ndugu. Umemfanisha Na Viumbe Vyake ndio Umemfanisha na Wewe ulivyo na umemfananisha Na Jua Lilivyo ambacho nacho ni Kiumbe.. Wakati huo unasema Hafanani na Chochote kile wakati Unasema ana nafsi kama Binadamu alivyo
Na Kumbuka alimtuma Mwanae Si Yeye Ingawa Wewe Unampa Sifa Mwanae Kama Mungu. Na Yeye mwenyewe alishasema Si Mkuu kuliko Mungu
Maswali Yangu ya Msingi
1. Binadamu wewe ulifanya Jambo Gani Mpaka Amtume Mwanae Awe Sadaka
2. Kama Yesu alikuwa Mungu kwanini Aliomba Mungu alipokuwa anasali
Hayo Ndio Maswali yangu ya Msingi
Wewe maswali Yako haya hapa , nimesoma sura nzima sijapata majibuHuvijui vitabu vya Kiislaam wewe. Umeenda kupiga porojo za nani sijui huko ukasema ndio msimamo wa Waislaam. Muislaam muongozo wake (na wako pia) ni Qur'an pekee.
Na Wewe unaamini Mungu anaweza Kukaa Kikao na Wasaidizi wake.!? Kukaa ni Sifa za Viumbe.. Kufanya Kikao ni Sifa Za Viumbe. Wewe na Mimi na Majini na Malaika. Mungu hakai Na Viumbe wake wala Kuwatuma. Au Unaamini Pia Kuhusu Shetani Kwenda Kupiga Stori na Mungu ili Wamjaribu Ayubu? Hili Jambo Linaingia Akilini KweliNimesahau lakini kuanzia matayo mpaka matendo ya mtume ukisoma vizuri humo utakutana na Mungu alikaa kikao na wasaidizi wake kwamba nani aende kuokoa wanaadam ndipo yesu alipojitokeza kuwa yeye atakuja dunian kutuokoa na kwamba mateso yote atayamudu
NimechekaUkitumia akili zako timamu utajua hapa Hakuna Ukweli wowote
Maana hao hao waliotunga hayo maandiko wanakuja Kusema Huyo waliomsulubu alikuwa ni Mungu. Ila Ukiwauliza Kwahiyo Binadamu walimuua Mungu hawana Jibu. Na Ukiwauliza Kwahiyo Dunia ilimuua Mungu na Ikawa haina Mungu kwa Siku 3 mfululizo hawana Jibu
Tuanze na nafsi tatu za Mungu
Ni nini kinachokushinda kuelewa?
Mfano binadamu ana Roho ,nafsi na mwili , kwa nini huwezi sema binadamu watatu na unatambua ni mmoja
Jua , Jua Lina umbile ,Lina mwanga na Lina joto , mbona unalitamua Jua kama moja na sio matatu?
Sawa inapaswa nao wafundishwe taratibu za kuishi muwape hizo taarifa za jadi kama ambavyo mnavyotaka watu wa dini wapate hizo taarifa za jadi.Mungu haubiriwi ndugu yangu. Mahubiri na Kusambaza Imani Zimeletwa na Hao Watu kutoka Huko Ukoloni. Afrika Mungu ikuwa haubiriwi popote pale
Bali kulikuwa na Taarifa za Jadi. Kufundishana Taratibu za Kuishi si Kimhubiri Mungu
Kama ni Mifano Basi Mungu Hafanani na Mifano kama Unamjua Muweke kwenye Uhalisia wake. Kwanini Utumie Mifano wakati Unamjua alivyoDemons wamefunga uelewa wako , nakuambia ni mifano wewe unaleta ubishani wa kitoto
Mwanaye siyo mungu! Ni mtoto wa Mungu ambaye huko mbiguni sijui ndiyo alikua malaika? Ndiyo siye waroma tupo zetu na bikra maria tu huku kuchanganywa hatutakiHuyo mwanae tena si ndio Mungu mwenyewe au hata Sielewi biblia inanichanganya
Haya Piganeni Wenyewe kwa Wenyewe Tena. Mungu angetaka muwe wamoja Asingewachanga hiviMkuu mokiti ni wapi kwenye biblia pameandikwa Mungu ana nafsi tatu?
Kama alishakuja kuokoa wanaadamu sasa haya mateso yanatoka wapi? Na hizi dhambi zinazoendeleaje?Nimesahau lakini kuanzia matayo mpaka matendo ya mtume ukisoma vizuri humo utakutana na Mungu alikaa kikao na wasaidizi wake kwamba nani aende kuokoa wanaadam ndipo yesu alipojitokeza kuwa yeye atakuja dunian kutuokoa na kwamba mateso yote atayamudu
Mwanaye siyo mungu! Ni mtoto wa Mungu ambaye huko mbiguni sijui ndiyo alikua malaika? Ndiyo siye waroma tupo zetu na bikra maria tu huku kuchanganywa hatutaki
Mkuu usichoelewa ni kwamba tunatofautiana mbali na hizo dini za uislamu na ukristo bado kuna mitazamo na imani tofauti tofauti, kwahiyo hayo unayoyajua wewe na kuyaamini basi tambua kuwa ni sehemu tu katika mitazamo au imani zilizopo kwa watu na ndio maana kuna hadi ambao wana mitazamo kabisa ya kuwa hakuna Mungu tofauti na wewe unayeamini mungu ila unasema haongei ila wao hata huyo mungu wako asiyeongea wao wanasema hakuna kitu kama hicho.Sasa Ndugu unaanzishaje wakati Binadamu wa Kwanza keshawapa Watu(Wabantu) utaratibu wa Kumwabudu Mungu katika Jadi.
Ukienda Mbele Utajichanganya Mwenyewe. Kaini na Abel walikuwa ndio watoto wa Adam na Hawa Kulingana na Maandiko hayo Hakukuwa na Binadamu wengine. Sasa Kulingana na Maandiko Mungu alimfukuza Kaini. Ila Kaini akalia Akasema Anaweza Kukutana Na Binadamu wengine wakamuua. Sasa Jiulize Mwenyewe kama Adam na Hawa Walikuwa ni Binadamu wa Kwanza wakati hata Wao walitambua Kuna Binadamu wengineHawa ndiyo alimkuta mwanamke mwingine ila adam alikua wakwanza
Kwahiyo baba yangu akiwa rais na mie ni rais?Mwana wa Mungu ni Mungu au binadamu?.
Hakuna Ukweli ndani yake ndio Maana Mnachanganyikiwa.Mwanaye siyo mungu! Ni mtoto wa Mungu ambaye huko mbiguni sijui ndiyo alikua malaika? Ndiyo siye waroma tupo zetu na bikra maria tu huku kuchanganywa hatutaki
Biblia ni hadithi za Wayahudi tu.Ukienda Mbele Utajichanganya Mwenyewe. Kaini na Abel walikuwa ndio watoto wa Adam na Hawa Kulingana na Maandiko hayo Hakukuwa na Binadamu wengine. Sasa Kulingana na Maandiko Mungu alimfukuza Kaini. Ila Kaini akalia Akasema Anaweza Kukutana Na Binadamu wengine wakamuua. Sasa Jiulize Mwenyewe kama Adam na Hawa Walikuwa ni Binadamu wa Kwanza wakati hata Wao walitambua Kuna Binadamu wengine
Leo umenifukuza kutoka ardhi yenye rutuba na mbali nawe. Basi, nitakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani, na yeyote atakayeniona ataniua.” Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue.
Mwanzo 4:14-15
Kasome BibliaMkuu mokiti ni wapi kwenye biblia pameandikwa Mungu ana nafsi tatu?
Ngoja nikwambie mkuu kila jamii ilikuwa na taratibu za wazee wao, taratibu za wahindi huko zilikuwa tofauti na waarabu na wazungu au waafrika. Sasa hapo tuseme kwamba hizo taratibu tofauti za wazee zote zilikuwa sahihi au point si usahihi bali ni asili tu kwamba muhimu zilikuwa taratibu za wazee basi?Ukianzisha Dini Hutakuwa tofauti na Dini zingine tu. Mnatakiwa Kurudi katika Taratibu zilizoachwa na Wazee wenu kipindi wanapelekwa Kutumikishwa