Ukienda Mbele Utajichanganya Mwenyewe. Kaini na Abel walikuwa ndio watoto wa Adam na Hawa Kulingana na Maandiko hayo Hakukuwa na Binadamu wengine. Sasa Kulingana na Maandiko Mungu alimfukuza Kaini. Ila Kaini akalia Akasema Anaweza Kukutana Na Binadamu wengine wakamuua. Sasa Jiulize Mwenyewe kama Adam na Hawa Walikuwa ni Binadamu wa Kwanza wakati hata Wao walitambua Kuna Binadamu wengine
Leo umenifukuza kutoka ardhi yenye rutuba na mbali nawe. Basi, nitakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani, na yeyote atakayeniona ataniua.” Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue.
Mwanzo 4:14-15