Mbona bado wachawi wanaongezeka mitaani pamoja na kuwepo na maombi kadhaa na makelel ya walokole kila mahali mitaani mwetu?jiulize swali moja kisha utapata jibu
kwanini wachawi ukiwatamkia jina la Yesu wanakimbia na kuumia
na kwanini jina la Yesu Lina nguvu ukijibu hayo utaelewa
Ungeweka reference kabisa ili kusapoti ulichoandika, otherwise hili bandiko lako litakuwa halina maana yoyote wala hujui ulichoandika. Pili, tatizo lako kuu ni kwamba mambo ya kiroho unayafikiria kwa jinsi ya kibinadamu.Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)
Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali
Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka
Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)
Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)
Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo
Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake
Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje
Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi
Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo
[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa
Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa
ASANTENI
Ungeweka reference kabisa ili kusapoti ulichoandika, otherwise hili bandiko lako litakuwa halina maana yoyote wala hujui ulichoandika. Pili, tatizo lako kuu ni kwamba mambo ya kiroho unayafikiria kwa jinsi ya kibinadamu.
Ok!Shida ya mtoa mada ni kuwa umeziamini sana Akili zako na kuona ww unauwezo mkubwa wa kuchanganua mambo na kuyaelewa..
labda tu nikwambie kitu ambacho kitafanya ujue kuwa akili uliyonayo ni ndogo sana kwa ufahamu wa mambo ya Mungu(Yesu).
.
hapa duniani sio watu wote wamezaliwa na baba na mama, kuna watu wengi sana wanatembea wakionekana ni watu lakin sio watu, wengine majini, wengine walozi waliovaa miili ya watu, wengne misyuka lkn wanaonekana katika hali ya mwili kabsa. so usiishi kwa kukariri...
.
ushauri wangu kwako:- mambo ya Mungu(Yesu) ni mambo ya kiroho kwaiyo ukitaka kuyaelewa vzr nenda kiroho zaid lakini ukienda kimwili kwa akili hizo unazozitegemea hakuna kitu utaelewa
Mungu ni mmoja tu - Nafsi ni tatu.Kama Mungu ni Mmoja Inakuwaje Yesu ni Mungu!?
Ndugu una maswali ya kijinga sana. Najua ulitaka kuandika mtume wa Yesu ukaishia kuandika mwanafunzi wa Yesu.Luka Hakuwa Mwanafunzi wa Yesu na Wala Hakuwepo Wakati wa Yesu anahubiri ila Leo hii anakundikia Kitabu unaamini
Alikuwa akimwomba Mungu Baba.Sawa Je Yesu alikuwa anaomwomba Nani kule mlimani na Msalabani
Alikuwa akimwomba Mungu Baba.
Hili la kumwaga Damu kwa waganga ni la washirikina , mwenziwao shetani, ili upate hueni.Ukienda kwa waganga wa kienyeji utambiwaa kalete mnyama tumchinje tumwage damu ili mambo yako yaende so nahisi hiyo ndio Sheria katika ulimwengu wa roho so Yesu amemwaga damu yake Mimi nipone
Yani unachunguza kutafuta usahihi badala yake unakutana na makosa to???Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!
Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.
Yesu ni Mungu.
Makosa ibaki mtazamo wako na upeo wako usitulishe sumuYani unachunguza kutafuta usahihi badala yake unakutana na makosa to???
Inamana unataka tusiseme??
Ukienda kwa waganga wa kienyeji utambiwaa kalete mnyama tumchinje tumwage damu ili mambo yako yaende so nahisi hiyo ndio Sheria katika ulimwengu wa roho so Yesu amemwaga damu yake Mimi nipone na Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili,nabiii issa eti hajafaaaa hadi leo huyo binadamu wa namna Gani hajafaaaa tokea kipindi Cha mitume basi huyo si binadamu wa kawaida amini hilo na nasikia eti na yeye atarudi just think loud
Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili alitolewa kafara kwa ajili yetu ni Sheria za ulimwengu wa roho zipo hizo wewe kma unabisha basi kaaa na mtazamo wako na Mimi kiazi niache kiroho Safi tuYaan we ndo kiazi kweli!!!! Et yesu ni mungu kwaiyo mungu alishawahi uliwa na wanadaamu?
Mungu anatolewa kafara kwa nani na kwa ajili ya nani? Wakati kama ni kweli si alikuwa na uwezo tu wa kusamehe hizo dhambi bila kujitoa!Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili alitolewa kafara kwa ajili yetu ni Sheria za ulimwengu wa roho zipo hizo wewe kma unabisha basi kaaa na mtazamo wako na Mimi kiazi niache kiroho Safi tu
Hoja yako ingelikuwa na mashiko kama ungelileta Ushahidi angalau mdogo wa unayoyasema,kutoka kwenye kitabu chochote au reserch yoyote ile ili kuthibitisha hoja yako.Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)
Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali
Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka
Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)
Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)
Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo
Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake
Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje
Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi
Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo
[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa
Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa
ASANTENI
Hil la kutolewa kafara ni FIX TUU YA WANA KANISA, HAYA SI MANENO YA MUNGU WALA YESU MWENYEWE.Mungu anatolewa kafara kwa nani na kwa ajili ya nani? Wakati kama ni kweli si alikuwa na uwezo tu wa kusamehe hizo dhambi bila kujitoa!
Then atolewe kafara yeye kwa ajili yako kwa dhambi zipi ulizokuwa nazo!! Wakati hata ulimwenguni hukuwepo!!