Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

jiulize swali moja kisha utapata jibu
kwanini wachawi ukiwatamkia jina la Yesu wanakimbia na kuumia
na kwanini jina la Yesu Lina nguvu ukijibu hayo utaelewa
Mbona bado wachawi wanaongezeka mitaani pamoja na kuwepo na maombi kadhaa na makelel ya walokole kila mahali mitaani mwetu?
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Ungeweka reference kabisa ili kusapoti ulichoandika, otherwise hili bandiko lako litakuwa halina maana yoyote wala hujui ulichoandika. Pili, tatizo lako kuu ni kwamba mambo ya kiroho unayafikiria kwa jinsi ya kibinadamu.
 
Ungeweka reference kabisa ili kusapoti ulichoandika, otherwise hili bandiko lako litakuwa halina maana yoyote wala hujui ulichoandika. Pili, tatizo lako kuu ni kwamba mambo ya kiroho unayafikiria kwa jinsi ya kibinadamu.

Shida ya mtoa mada ni kuwa umeziamini sana Akili zako na kuona ww unauwezo mkubwa wa kuchanganua mambo na kuyaelewa..
labda tu nikwambie kitu ambacho kitafanya ujue kuwa akili uliyonayo ni ndogo sana kwa ufahamu wa mambo ya Mungu(Yesu).
.
hapa duniani sio watu wote wamezaliwa na baba na mama, kuna watu wengi sana wanatembea wakionekana ni watu lakin sio watu, wengine majini, wengine walozi waliovaa miili ya watu, wengne misyuka lkn wanaonekana katika hali ya mwili kabsa. so usiishi kwa kukariri...
.
ushauri wangu kwako:- mambo ya Mungu(Yesu) ni mambo ya kiroho kwaiyo ukitaka kuyaelewa vzr nenda kiroho zaid lakini ukienda kimwili kwa akili hizo unazozitegemea hakuna kitu utaelewa
Ok!
 
Ukienda kwa waganga wa kienyeji utambiwaa kalete mnyama tumchinje tumwage damu ili mambo yako yaende so nahisi hiyo ndio Sheria katika ulimwengu wa roho so Yesu amemwaga damu yake Mimi nipone na Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili,nabiii issa eti hajafaaaa hadi leo huyo binadamu wa namna Gani hajafaaaa tokea kipindi Cha mitume basi huyo si binadamu wa kawaida amini hilo na nasikia eti na yeye atarudi just think loud
 
Kama Mungu ni Mmoja Inakuwaje Yesu ni Mungu!?
Mungu ni mmoja tu - Nafsi ni tatu.
Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. Cf. Kumbukumbu la Torati 6:4

Ukitumia common sense zako tu kama unavyotamba katika thread hii, kamwe hutakaa uelewe.
Roho Mtakatifu ndiye atutiaye ufahamu wa kuelewa mambo ya Mungu pale tunapoomba kwa dhati.
Kadri ya mafundisho ya imani yako, neno Roho Mtakatifu ni msamiati mkubwa mno kwako. Hapa najua huwezi kuelewa lolote.

Mathayo 3:16-17
Mara tu Yesu (Mungu Mwana - Nafsi ya pili ya Mungu) alipokwisha batizwa, alitoka majini; na kumbe mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu (Mungu Roho Mtakatifu - Nafsi ya tatu ya Mungu) akishuka kama njiwa na kutua juu yake. 17 Sauti kutoka mbinguni (sauti ya Mungu : Mungu Baba - Nafsi ya kwanza ya Mungu) ikasema, “Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye.”
Kubatizwa kwa Yesu Kristo lilikuwa tukio muhimu sana ambalo nafsi zote tatu za Mungu zilikuwepo.
 
Luka Hakuwa Mwanafunzi wa Yesu na Wala Hakuwepo Wakati wa Yesu anahubiri ila Leo hii anakundikia Kitabu unaamini
Ndugu una maswali ya kijinga sana. Najua ulitaka kuandika mtume wa Yesu ukaishia kuandika mwanafunzi wa Yesu.
Iko hivi, walikuwepo mitume wa Yesu pia walikuwepo wanafunzi wa Yesu. yawezekana hili hulijui.
Nitakujibu kwa kifupi sana. Luka hakuwa mtume/mwanafunzi wa Yesu lakini akiwa bado kijana, Luka alimuona Yesu na kusikia mafundisho yake pia baada ya kifo cha Yesu, Luka msomi na daktari wa binadamu, alijikita sana katika kufanya tafiti mbalimbali kuhusu Yesu kupitia watu mbalimbali wakiwemo mitume na wanafunzi wa Yesu pamoja na mkongwe Paulo na hatimaye kuandika vitabu kadhaa vya Biblia.
Je pia unataka tusiamini vitabu vya Paulo kwa kuwa hakuwa mtume wa Yesu?
 
Alikuwa akimwomba Mungu Baba.

Mathayo 10:16-20​

.... Basi, watakapowapeleka nyinyi mahakamani, msiwe na wasiwasi mtasema nini au namna gani; wakati utakapofika, mtapewa la kusema. Maana si nyinyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.

Kumbe huyu Baba si wa Yesu pekee ,bali hata wanafunzi wake pia ni Baba yao?
Ukienda kwa waganga wa kienyeji utambiwaa kalete mnyama tumchinje tumwage damu ili mambo yako yaende so nahisi hiyo ndio Sheria katika ulimwengu wa roho so Yesu amemwaga damu yake Mimi nipone
Hili la kumwaga Damu kwa waganga ni la washirikina , mwenziwao shetani, ili upate hueni.
Inamaana kifo cha huyo anyeambiwa kauliwa msalabani kimeuwa laana kwa nia ya shetani? ili waaminio hivyo wapatiwe haja zao?
Kamwe Mungu hana haja ya Kumuuwa Mwandamu ili asamehe dhambi za wengine, wala kiumbe chochote kile.
Bali ni hila tuu za Mashetani
 
Huko kwa mashetwan kumwaga damu ni fake na wenywewe wanaiga original ya Simba wa Yuda YESU kumbukaa story ya Ibrahim kumtoa sadaka mwanae hata kwenye hiko kitabu chenu hizo mambo kimeandikwaa think loud brother Yesu alitolewa kafara na Mungu mwenywe na damu yake Ina nguvu kwa sababu amefufukaaa ni tofauti na damu zile za mbuzi kwa wale waganga hiyo inananena mema amini hilo uokoke
 
Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!

Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.

Yesu ni Mungu.
Yani unachunguza kutafuta usahihi badala yake unakutana na makosa to???
Inamana unataka tusiseme??
 
Kuna nyang'au wengine wameenda mbele zaidi kw kuamini na kuaminisha watu et yule liepigwa pale na kuuawa pale et ndo mungu mwenyewe duh?
 
Ukienda kwa waganga wa kienyeji utambiwaa kalete mnyama tumchinje tumwage damu ili mambo yako yaende so nahisi hiyo ndio Sheria katika ulimwengu wa roho so Yesu amemwaga damu yake Mimi nipone na Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili,nabiii issa eti hajafaaaa hadi leo huyo binadamu wa namna Gani hajafaaaa tokea kipindi Cha mitume basi huyo si binadamu wa kawaida amini hilo na nasikia eti na yeye atarudi just think loud

Yaan we ndo kiazi kweli!!!! Et yesu ni mungu kwaiyo mungu alishawahi uliwa na wanadaamu?
 
Yaan we ndo kiazi kweli!!!! Et yesu ni mungu kwaiyo mungu alishawahi uliwa na wanadaamu?
Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili alitolewa kafara kwa ajili yetu ni Sheria za ulimwengu wa roho zipo hizo wewe kma unabisha basi kaaa na mtazamo wako na Mimi kiazi niache kiroho Safi tu
 
Yesu ni Mungu na atarudi mara ya pili alitolewa kafara kwa ajili yetu ni Sheria za ulimwengu wa roho zipo hizo wewe kma unabisha basi kaaa na mtazamo wako na Mimi kiazi niache kiroho Safi tu
Mungu anatolewa kafara kwa nani na kwa ajili ya nani? Wakati kama ni kweli si alikuwa na uwezo tu wa kusamehe hizo dhambi bila kujitoa!
Then atolewe kafara yeye kwa ajili yako kwa dhambi zipi ulizokuwa nazo!! Wakati hata ulimwenguni hukuwepo!!
 
Baada ya kuwa mtu mzima nilitafakari kwa makini kuhusu "Mungu kumtoa mwanae kafara" . Binadamu anamtoa mwanae ampendae kafara ili afanikiwe! Wameiga kitendo cha Mungu. Nimegundua hayo ni maujanja tu ya Wazungu ili waitawale Dunia. Ndugu zangu tumtafute Mungu wa kweli. Mimi hata ufufuko siamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Hoja yako ingelikuwa na mashiko kama ungelileta Ushahidi angalau mdogo wa unayoyasema,kutoka kwenye kitabu chochote au reserch yoyote ile ili kuthibitisha hoja yako.
Nadhani unatumia Mawazo yako too kukanusha au kukubali au siyo?
Akili ina ukomo.

Ni kweli Yesu Alizaliwa Bila baba kama Muujiza,
Nikweli baba yetu Adamu aliumbwa kwa udongo kwa mkono wa Mungu mwenyewe kisha Mkewe akafuatia.
Ni kweli kuwa wote ,wao na sisi na vilivyomo duniani vyote vinamlikiwa na Mwenye Dunia yake
Huyo Mmiliki ndiye MUNGU MUUMBA WA KILA KITU.
TUANZIE HAPO. KANUSHA HAYA KWA HOJA,
KWANI HATA WEWE YAMKINI MIAKA 50 ILIYOPITA HUKUWA CHOCHOTE WALA HUKUTAJWA.
Na miaka 50 ijayo pengine hutokuwepo tena wala hakuna atakaye jali.
Huna uwezowa kuzuia Mwisho wako na huna uwezo wa kubadili DESTIY YAKO, WEWE SI CHOCHOTE BALI Ni MAJI YA UZAZI YALIYOTIWA KWENYE UTUPU WA MWANAMKE UKAUMBWA WEWE NDANI YA TUMBO ,PILA WEWE KUTOWA MCHANGO WOWOTE WA KUWEPO KWAKO, NA KIUKWELI WAZEE WAKO WENYEWE WALIKUWA WANAJISTAREHESHA TUU KWA NGONO. TAHAMAKI MIMBA.
POLE KWA KUONA MAMBO VIBAYA.
 
Mungu anatolewa kafara kwa nani na kwa ajili ya nani? Wakati kama ni kweli si alikuwa na uwezo tu wa kusamehe hizo dhambi bila kujitoa!
Then atolewe kafara yeye kwa ajili yako kwa dhambi zipi ulizokuwa nazo!! Wakati hata ulimwenguni hukuwepo!!
Hil la kutolewa kafara ni FIX TUU YA WANA KANISA, HAYA SI MANENO YA MUNGU WALA YESU MWENYEWE.
UJUMBE WA YESU ULIKUWA MDOGO SANA LAKINI
wakristo hawautaki kuusema.
''na uzima wa milele ndio huu ' wakujuwe wewe MUNGU wa KWELI na wa PEKEE na YESU kristo ULIYEMTUMA'' Yohana 17:3
 
Back
Top Bottom