Mungu anaweza kutenda dhambi?

Ni9neshe kwenye maneno yangu mahali nilipoandika "mashoga"

Sahau kuhusu mashoga na rejea kwenye swali la msingi kwamba; Thibitisha ni wapi Mungu aliratibu gharika huko Sodoma na Gomora??-- wewe ndiye unadai kwamba gharika hiyo iliratibiwa na Mungu sasa onesha ushahidi wa kauli yako.
 
Sahau kuhusu mashoga na rejea kwenye swali la msingi kwamba; Thibitisha ni wapi Mungu aliratibu gharika huko Sodoma na Gomora??-- wewe ndiye unadai kwamba gharika hiyo iliratibiwa na Mungu sasa onesha ushahidi wa kauli yako.
Ushahidi wa namna gani unataka?

Maana hizo ni stori za kwenye Biblia na we huiamini
 
Ushahidi wa namna gani unataka?

Maana hizo ni stori za kwenye Biblia na we huiamini

Hizo hizo "stori" za Biblia ziweke hapa ili tuone jinsi Mungu "alivyoratibu" hizo gharika. , je wewe unaiamini Biblia???
 
Pitia kwa shishi fud upate supu ya moto. Ntalipia
 
Hizo hizo "stori" za Biblia ziweke hapa ili tuone jinsi Mungu "alivyoratibu" hizo gharika. , je wewe unaiamini Biblia???
Niziwekaje sasa maana hapo zilipo tayari nishaziweka?

Unataka ziwekwe kwa namna gani?
 
Niziwekaje sasa maana hapo zilipo tayari nishaziweka?

Unataka ziwekwe kwa namna gani?


Hiyo Biblia yako haina Sura wala mistari ambamo humo ndimo umesoma kwamba Mungu aliratibu gharika la Sodoma na Gomora??!!--- utajizungusha weeee lakini ili usishikwe uongo itakubidi uthibitishe kwa kuuleta huo ushahidi, hakuna shortcuts .
 
Hiyo Biblia yako haina Sura wala mistari ambamo humo ndimo umesoma kwamba Mungu aliratibu gharika la Sodoma na Gomora??!!--- utajizungusha weeee lakini ili usishikwe uongo itakubidi uthibitishe kwa kuuleta huo ushahidi, hakuna shortcuts .

2 Petro 2:6-9​

 
alishindwa kumsamehe shetani baada ya uasi... Halafu anatuambia sisi tusamehe 7*70πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

anasema muniabudu mimi ila sio miungu mingine.... wivuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Anasema amewachagua wana wa Israel kuwa taifa teule.. Ubaguzi kwa mataifa mengineπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…