Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ni9neshe kwenye maneno yangu mahali nilipoandika "mashoga"
Sahau kuhusu mashoga na rejea kwenye swali la msingi kwamba; Thibitisha ni wapi Mungu aliratibu gharika huko Sodoma na Gomora??-- wewe ndiye unadai kwamba gharika hiyo iliratibiwa na Mungu sasa onesha ushahidi wa kauli yako.