Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

Naunga mkono hoja Kwa 500%

Tunapofunga ndoa tunaambiwa Sasa mmekuwa mwili mmoja inakuwaje napokufa anabaki Tena. Hakika sio sawa kabisa mke kubaki analiwa kama ndege wanavyokula matunda juu ya mti.

Umewaza kimbingu zaidi na hivi ndivyo inapaswa iwe. 📌 📍
Hii ya ...Mpaka kifo kiwatenganishe..... Unaichukuliaje?
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Umeamua kumuunga mkono Mr. Nikifa Mke wangu Asiolewe😀
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Kwa sasa ambapo bado upo hai una uhakika hao wanaume wengine hawafaidi?
 
Back
Top Bottom