Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kuna ndugu zangu jumapili watapakimbia sana hapa ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Professor pacome ni fundii sanamtu anaruka kimochambuzi dadeki
KabisaSimba waroge sanaa sanaa
umeamua kulipua na kustua nyoyo ya za wadau wa soka kwa maneno na picha dah!!!!Kuna ndugu zangu jumapili watapakimbia sana hapa ndani
View attachment 2797930View attachment 2797921
Kabisa jumapili kitawaka kwa mkapaumeamua kulipua na kustua nyoyo ya za wadau wa soka kwa maneno na picha dah!!!!
Jpili ni 🔥🔥🔥
hiyo chemistry ni alqas 🔥🔥🔥Kuna hii inaitwa “MAP”
Max, Aziz Ki, Pacome 🙌🏽
Hiyo tarehe 5 watakoma
Kabisa ni hatari sanahiyo chemistry ni alqas 🔥🔥🔥
Kabisa fanya mchakato upate mapemaNgoja niwahi kununua jezi mapema najua kuanzia alhamisi bei zitapanda
Yanga wanatimu nzuri ila wanacheza kitoto...Azizi ki,Paccome wanapoteza Sana mipira mtu Hatari ni Max kakamilika kwelikweliKuna ndugu zangu jumapili watapakimbia sana hapa ndani
View attachment 2797930View attachment 2797921
Naunga mkono hoja 👍👏Kuna timu huko iliko inategemea huruma ya waamuzi na mganga wao wa kienyeji. Nje ya hapo, hakuna kitu.
KabisaKhatari shekhe kuna watu watatamani ardhi ipasuke wafiche nyuso zao
Mbele ya mafundi wa mpira Aziz Ki, Max , Pacome litasakatwa kabumbu la karne siku hiyo.Kabisa
Nyie wanga wakubwa...mlozi anamjua mlozi mwenzie...Kuna timu huko iliko inategemea huruma ya waamuzi na mganga wao wa kienyeji. Nje ya hapo, hakuna kitu.
AKAMINKO HAPA ALITAKA KUCHEZA RAFU IKABUMAKuna ndugu zangu jumapili watapakimbia sana hapa ndani
View attachment 2797930View attachment 2797921