Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaaamtu anaruka kimochambuzi dadeki
Wewe kweli EvilMungu hana uwezo wa kutuepusha na matatizo yoyote yale. Matatizo pambana mwenyewe uyatatue, yakikushinda yaache.
Mtani wangu jumapili usije kukimbia tu hapa🤣🤣🤣🤣Mmeanza mapemaa ngendembwe...msije mkakimbia humu nyuzi zenu...
KabisaAKAMINKO HAPA ALITAKA KUCHEZA RAFU IKABUMA
AISEE JUMAPILI KAZI IPO
Sasa jumapili usipakimbie hapa jukwaani sawa mkuuNdiomaana baadhi ya team kubwa hunyang'anya wachezaji wao simu zinapokaribia mechi ngumu (hasa derby), wachezaji wa Yanga Sc wakipita hapa majukwaani lazima wajione ni washindi hata kabla ya mechi.
Pigeni sana midomo, andikeni sana, a siku hiyo..[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara mbili mfululizo nyinyi ndio mmekuwa mkipakimbia humu, tulivyowapiga mbili, na baadae kuwanyang'anya ngao.Sasa jumapili usipakimbie hapa jukwaani sawa mkuu
Hayo mambo ya kizamani wachezaji walikua wanauza sana mechi ndo maana hata kambi zao zilikua zinafichwa huko maporini, ila sasahivi mambo yamebadilika hakuna hizo issue za kupokony'wa simuNdiomaana baadhi ya team kubwa hunyang'anya wachezaji wao simu zinapokaribia mechi ngumu (hasa derby), wachezaji wa Yanga Sc wakipita hapa majukwaani lazima wajione ni washindi hata kabla ya mechi.
Pigeni sana midomo, andikeni sana, a siku hiyo..[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Droo mtakuwa mmeshindaKhatari shekhe kuna watu watatamani ardhi ipasuke wafiche nyuso zao
Sawa subiria jumapili mtani wanguMara mbili mfululizo nyinyi ndio mmekuwa mkipakimbia humu, tulivyowapiga mbili, na baadae kuwanyang'anya ngao.
Sotegemei chochote kipya kutoka kwenu..!
Jumapili kuna nini mkuu?Kabisa jumapili kitawaka kwa mkapa
Wanakutana watoto wa kariakoo simba sc na yanga sc saa 11 jioniJumapili kuna nini mkuu?
Nilikuwa sijui aisee. Hapo patamu. Mashabiki wa mpira matumbo motooo!Wanakutana watoto wa kariakoo simba sc na yanga sc saa 11 jioni
Mi nitakuwepo mwanzo mwengaMtani wangu jumapili usije kukimbia tu hapa🤣🤣🤣🤣
Kabisa kakaNilikuwa sijui aisee. Hapo patamu. Mashabiki wa mpira matumbo motooo!
Sawa mtani wanguMi nitakuwepo mwanzo mwenga
Tukutane trh 5...hyo inaitwa msiemtaka kajaSawa mtani wangu
🤣🤣Mtani tukiwapiga uje kutupongeza hapa mtaniTukutane trh 5...hyo inaitwa msiemtaka kaja
Mambo ya kizamani kwa usasa upi uliopo kwenye mpira kwenye nchi ya kijinga na kishamba kama hii.? Team kama Ahly, Raja, na nyinginezo ambazo zinafanya hivyo, tumezizidi nini katika usasa wa mpira.?Hayo mambo ya kizamani wachezaji walikua wanauza sana mechi ndo maana hata kambi zao zilikua zinafichwa huko maporini, ila sasahivi mambo yamebadilika hakuna hizo issue za kupokony'wa simu