Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Sasa kama unajibu wanoelewa au wanaoeleweka hupaswi kuwa mwalimu... wapi haujaelewa nikueleweshe.... Kwa ufupi katika andiko lako ulilonijibu unajipinga mwenyewe mimi nilichofanya ni kukuonyesha kwamba unachoongea hakina mtiririko.... putting faith aside....wewe hufai hata kujibiwa. hueleweki.