Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wao waliamini wakiwazuia wapinzani kufanya mikutano ya siasa na kukutana na makundi mbalimbali ya jamii, basi wao watakuwa salama kisiasa na upinzani utakufa/utadhhofika.
Hata hivyo, kwa jinsi Mungu aliyokuwa Fundi, kapundia meza/mkeka kama walivyofanya Yanga kule Tunisia hivi karibuni. na sass makada wanafanya kazi ya upinzani kwa faida ya wapinzani na watanzania masikini wa nchi hii.
Ni swala la muda tu kabla hawajaibuka makada wengine kuwasemea watanzania kuhusu matatizo ya mgao wa umeme na maji huku wapinzani wakibakiwa na kazi moja tu ya kuchochea moto kupitia mitandao.
Sisi tunawaangalia tu na kuwahesabia siku kwani siku zenu za kukaa madarakani zinahesabika. Mpaka ifike 2025, mtakuwa mmeparuana na kuparaganyika vya kutosha.
NB: Kwa jinsi Mungu alivyowanyima maarifa, mnafikiri kumshbulia Bashiru ndio mnamsaidia Mama na chama chenu kwa ujumla, kumbe kinyume chake ndio ukweli .
Hata hivyo, kwa jinsi Mungu aliyokuwa Fundi, kapundia meza/mkeka kama walivyofanya Yanga kule Tunisia hivi karibuni. na sass makada wanafanya kazi ya upinzani kwa faida ya wapinzani na watanzania masikini wa nchi hii.
Ni swala la muda tu kabla hawajaibuka makada wengine kuwasemea watanzania kuhusu matatizo ya mgao wa umeme na maji huku wapinzani wakibakiwa na kazi moja tu ya kuchochea moto kupitia mitandao.
Sisi tunawaangalia tu na kuwahesabia siku kwani siku zenu za kukaa madarakani zinahesabika. Mpaka ifike 2025, mtakuwa mmeparuana na kuparaganyika vya kutosha.
NB: Kwa jinsi Mungu alivyowanyima maarifa, mnafikiri kumshbulia Bashiru ndio mnamsaidia Mama na chama chenu kwa ujumla, kumbe kinyume chake ndio ukweli .