Mungu fundi kuna visichana vina sura nzuri jamani

Mungu fundi kuna visichana vina sura nzuri jamani

Una elements za kupakwa KY ww cio bure
 
wengi wao ni vikojozi,na wengi wao wana magonjwa ya kurithi kama vile pumu,sickle cell,usihadaike na muonekano wa nje;ikuchukue muda kumfahamu mtu vizuri usije uka umia.
kwahyo ukiwa na pumu,sikoseli ndo hutakiwi kupendwa!best nuimekumind kwakwel!
sasa kwa taarifa yako nao ni watu kama wewe usipende kunyanyapaa watu namna hyo aisee !hujafa hujaumbika
 
Aman iwe nanyi wakuu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Aisee kwa kweli Mungu ni fundi mazee kuna watu wana sura tamu sana mazee

Unaweza hata kulala miaka yote ukiwa unamuwaza yeye endapo utabahatika kuwaona

Kuna msichana leo nimekutana naye aisee kaniacha hoi sana sema tu nilikuwa kwenye gar alteza afu kwenye jam hivyo sikupata mda wa kupak na kumfatilia

Acha tu aiseeView attachment 669319
Ili wahi kuletwa mada humu kuwa mdomo wa mwanamke ulivyo ndio papuchi yake ilivyo..
Sasa kama ni kweli daa..sipati picha[emoji15] [emoji15]
 
kwahyo ukiwa na pumu,sikoseli ndo hutakiwi kupendwa!best nuimekumind kwakwel!
sasa kwa taarufa yako nao ni wartu kama wewe usipende kunyanyapaa watu namna hyo aisee !hujafa hujaumbika
Aisee mimi kanichanganya sana ujue mama yangu alikuwa anasumbuliwa na pumu na ndo ugonjwa uliomunondoa dunian RIP MOMY

Lakin hajui alisemalo
 
Chai hii afu hata sio tamu imekuwa chai kahawa.

MTU umeone tu kwenye jam,tena Upo garini lakini ukampiga picha matata namuna hii,hapana hakuna kitu kama hii.
Mkuu wewe ni thomaso siyo
 

efd25164f80c38f0b4dd5793c87b0fac.jpg
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom