Mungu Hailindi Israel Tena, Israel inalindwa na Marekani na Mataifa ya Ulaya

Mungu Hailindi Israel Tena, Israel inalindwa na Marekani na Mataifa ya Ulaya

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..

anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬

Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani nimeishia kusema amina ila...

Mchungaji wangu nimemsamehe tu kwa sababu ana Elimu ndogo sana na siwezi kumbadilisha

MUNGU WA IBRAHIM alishaitelekeza Israel zamani sana, hakuna cha UKUTA WA YERIKO wala Malaika kuja kuwaua wabaya wa Israel Tena

Israel bila NATO hawezi kutoboa, Never.
 
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..

anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬

Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani nimeishia kusema amina ila...

Mchungaji wangu nimemsamehe tu kwa sababu ana Elimu ndogo sana na siwezi kumbadilisha

MUNGU WA IBRAHIM alishaitelekeza Israel zamani sana, hakuna cha UKUTA WA YERIKO wala Malaika kuja kuwaua wabaya wa Israel Tena

Israel bila NATO hawezi kutoboa, Never.
IRON DOME Useless šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 

Attachments

  • IMG_20240801_010243.jpg
    IMG_20240801_010243.jpg
    73.9 KB · Views: 2
  • IMG_20240622_224124.jpg
    IMG_20240622_224124.jpg
    231 KB · Views: 4
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..

anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬

Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani nimeishia kusema amina ila...

Mchungaji wangu nimemsamehe tu kwa sababu ana Elimu ndogo sana na siwezi kumbadilisha

MUNGU WA IBRAHIM alishaitelekeza Israel zamani sana, hakuna cha UKUTA WA YERIKO wala Malaika kuja kuwaua wabaya wa Israel Tena

Israel bila NATO hawezi kutoboa, Never.
Watu wa dini ni walaghai sana.
Mambo ni hivyo hivyo kwa Makkah, Madina na Saudi Arabia kwa ujumla . Hawategemei tena ulinzi wa Allah bali wanategemea manowari za US zilizopaki Jeddah na kambi za jeshi la kikafir la USA zilizotapakaa Saudia kote.

Hapo ndipo utajua dini ni utapeli mtupu. Yaani hata kaburi la mtume linalindwa na silaha za kikafir🤣
 
Nioneshe wapi wenye Elimu kubwa wanaabudu we mama (mjomba ni mama)

Kwanza we ni mpumbavu, kwa kudhani kuniita mama umenidharau na kunishusha , inaonesha kwa jinsi gani hata mama yako mzazi humuheshimu.

Nakupa elimu hii usidharau mtu, iwe jinsia, kabila, gender au race.

Ukifuzu hapo nijibu.
 
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..

anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬

Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani nimeishia kusema amina ila...

Mchungaji wangu nimemsamehe tu kwa sababu ana Elimu ndogo sana na siwezi kumbadilisha

MUNGU WA IBRAHIM alishaitelekeza Israel zamani sana, hakuna cha UKUTA WA YERIKO wala Malaika kuja kuwaua wabaya wa Israel Tena

Israel bila NATO hawezi kutoboa, Never.
Hivi unafahamu namna Mungu anavyofanya kazi? What if Mungu anaitumia Marekani kuilinda Israeli? Yani unataka Mungu ashushe mvua ya mawe kuharibu maadui wa Israeli wakati anaweza kuitumia Marekani ambayo pia ni mali yake?

Sishabikii Israeli lakini njoo na hoja yenye nguvu kumchana huyo mchungaji wako.
 
Mungu hufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote la ki dunia, Mungu hushirikiana na Wanadamu. Kwa hiyo kusema Israel hulindwa na Mungu ni sahihi kabisa
 
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..

anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬

Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani nimeishia kusema amina ila...

Mchungaji wangu nimemsamehe tu kwa sababu ana Elimu ndogo sana na siwezi kumbadilisha

MUNGU WA IBRAHIM alishaitelekeza Israel zamani sana, hakuna cha UKUTA WA YERIKO wala Malaika kuja kuwaua wabaya wa Israel Tena

Israel bila NATO hawezi kutoboa, Never.
Kwa hiyo ulikuwa unasubiri miujiza bila kazi kufanyika?
 
Watu wa dini ni walaghai sana.
Mambo ni hivyo hivyo kwa Makkah, Madina na Saudi Arabia kwa ujumla . Hawategemei tena ulinzi wa Allah bali wanategemea manowari za US zilizopaki Jeddah na kambi za jeshi la kikafir la USA zilizotapakaa Saudia kote.

Hapo ndipo utajua dini ni utapeli mtupu. Yaani hata kaburi la mtume linalindwa na silaha za kikafir🤣
Nimecheka kuona thunder rid belt juu ya kaburi la mtume wao lisipigwe na radi.. nasikia kila mara lilikuwa linapigwa radi hadi wazungu wakawawekea earth rod ndio alikupigwa na radi hadi leo.. wakati mudy aliwaambia Radi ni Malaika wa Allah.. sasa why abomoe kaburi la noble Messenger wa Allah?

Hamas October 7 walikuwa wakiimba Allahu akbar mwishowe wakazama mahandakini hadi leo.. no more Allah hahahaha

1722769210061.png
 
Nawakumbusha tu Waisraeli sio Wakristo,kuna 2% tu ya Wakiristo huku waislamu wakiwa 18 %. Waisraeli 76% ni wayahudi.

Watu wasome wapate maarifa.
Ukishakumbusha pia kumbuka unabii unatimia wote watarejea Nchi ya Ahadi.. pengine na wewe ni mmoja wapo
 
Back
Top Bottom