Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Mungu hajagawanyika katika nafsi tatu. Mungu ni nguvu, Mungu ni energy. Mungu amesambaa katika kila kona unayoijua. Roho zilizo ndani ya nafsi na miili yetu ni sehemu tu ya Mungu. Ndiyo maana hata maandiko yamekiri kuwa sisi ni Mungu, yaani tunaroho wa Mungu. Hivyo, masomo ya Kikushi yanatufundisha tujifahamu. Ukijitambua na kuweza kujiconnect na huyo Mungu mkuu, unavuka uwezo wa kibinadamu ukiwa bado ndani ya mwili wa nyama.
Manabii wanaosemekana kufanya makubwa kama kufufua watu au kufanya miujiza walikuwa katika level hii.
Ujumbe wa post hii ni huu:
Fahamu kuwa wewe ni Mungu, lakini unakosa muunganiko na Mungu mkuu. Unapaswa sasa kujiunganisha naye. Ukiacha mwili ukiwa umeungana naye, unaenda kuungana naye kabisa. Lakini ukifa bila muunganiko huo, utabakia kuwa mzimu na utarudi tena duniani.
Wafia dini, elimu hii acheni. Hamtaelewa wala kuambulia chochote katika post hii.
Manabii wanaosemekana kufanya makubwa kama kufufua watu au kufanya miujiza walikuwa katika level hii.
Ujumbe wa post hii ni huu:
Fahamu kuwa wewe ni Mungu, lakini unakosa muunganiko na Mungu mkuu. Unapaswa sasa kujiunganisha naye. Ukiacha mwili ukiwa umeungana naye, unaenda kuungana naye kabisa. Lakini ukifa bila muunganiko huo, utabakia kuwa mzimu na utarudi tena duniani.
Wafia dini, elimu hii acheni. Hamtaelewa wala kuambulia chochote katika post hii.