Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
- Thread starter
-
- #21
Au sio π π π pamoja mkuuBraza unatufokea sana aisee, enewei nimekuelewa lakini.
Kama hii fuvu ndo uliitumia Kwa school basi wazaz walipata hasara,yaan n fuvu la kuifadhia meno bila kujua tafakuriπππKama Mungu ni energy, TANESCO wakikata umeme wanakuwa wamemkata Mungu?
Kwan iyo unayo semea wewe imetokea wap chimbuko lake?injili ya kigeni hutaeleweka
Kuipokea kutoka wap?Injili tuliyoipokea inasema
Kwa kweli zaidi ya pumba mkuu alicho semaUmetema pumba
Pumba ina virutubisho vingi tu, tatizo wewe hujajua.Umetema pumba
Ad hominem fallacy, badala ya kujibu hoja, unamshambulia mtoa hoja.Kwa kweli zaidi ya pumba mkuu alicho sema
Ad hominem fallacy.Akili za panzi hizi.
Ad hominem fallacy. Badala ya kujibu hoja, unamshambulia mtoa hoja.Kama hii fuvu ndo uliitumia Kwa school basi wazaz walipata hasara,yaan n fuvu la kuifadhia meno bila kujua tafakuriπππ
Fata amri zake(maamrisho yake)NAJIWEKAJE KARIBU NA MUNGU? MAJIBU TAFADHALI..
Utatu mtakatifu ni dogma la uongo ,kasome waanzilishi wakeHuyo ni mungu wako aitwaye emergy. Mwisho utasema energy drink. Injili tuliyoipokea inasema Mungu ameganyika katika nafsi tatu, Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu. Hii inaitwa Utatu Mtakatifu. Usilete injili ya kigeni hutaeleweka
nikasome wapi? Kuna kitabu?Utatu mtakatifu ni dogma la uongo ,kasome waanzilishi wake
Vitabu vya Romanikasome wapi? Kuna kitabu?
si ndiyo hiyo dogma ilipo?Vitabu vya Roma
Ipo hivi Yesu ni mwana wa Mungu ,pia ni Mungu kwa kurithi kutoka kwa Baba yake Mungu wa pekee, na Roho mtakatifu ni nguvu ya Mungusi ndiyo hiyo dogma ilipo?
Hii mbeguWashirikina ndo wanasema mungu wao kajifanyia mtoto na kila wanachoomba wanaomba kupitia jina la huyo mtoto na kuna muda washirikina hao hujisahau na kumuita huyo mtoto mungu