Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mungu ana Kanuni zake Mkuu.

Unataka kula Mema ya Nchi Fata Kanuni zake, hutaki kufata Kanuni zake, then Mungu ana Roho Mbaya mno, ana hasira Mno...!

Kanuni za Mungu haziruhusu wewe Kujisifia na Dhambi zako ambazo hazijai kikombe...!

Mungu anaangalia Moyo wako Ndugu, kama Moyo wako umejaa Visasi, Hauna Upendo, Roho Mbaya, ukifanya Dhambi hujui kutubu, sahau kupokea Baraka za Mungu.

Kwani wewe usipotambua uwepo wa Mungu unadhani Mungu anapungukiwa na Nini, Yani ukubari uwepo wake, usikubari... BADO YEYE NI MUNGU NA ATABAKI KUWA MUNGU.

Sio Watu wote wenye Maisha Mazuri ni Baraka toka Kwa Mungu.
SHETANI pia anatoa Utajiri...!

Binadamu anapozaliwa na Baraka zake zinakua realised, tunapokua Watoto familia zetu ndo huamua hatima yetu ya Kiroho, Kwa kutukabidhi Kwa mizimu na mambo ya Matambiko, tunapokua Wakubwa, Mizimu ile ile inakwenda kinyume na sisi coz hatukujua namna ya kuiabudu...!

Chukua hii ya Mwisho...!
Ukiona Familia ya kiafrica hakuna mtu ametoboa, na ikitokea ni mmoja ama wawili ukoo mzima ama familia nzima, JUA KUNA UCHAWI KWENYE FAMILIA, na Wachawi siku zote wanajua future Yao tokea Ulimwengu wa Roho...!

Nadhani ushawahi kusikia Kuna Watu wanasemwa Walikua na Akili Sana, walikua na future, ghafla Wakawa Machizi, ghafla Wakawa walevi Mbwa, kila anayewajua atasema usimuone hivi hivi huyu, alikua na Akili Sana, ama ana Masters huyu, ila kawa mpevi Mbwa...! JUA KUNA UCHAWI KWENYE FAMILIA... hapo ndo utajua Kwa Nini waswahili walisema MCHAWI NI NDUGU...!

Kusuka ama kunyoa, inategemea na Maamuzi Yako uzuri kichwa no chako mwenyewe...!


"Eeeish, nadhani ningekua Pastor, hakuna mtu angekuja Kanisani kwangu, Watu wanataka kusikia ile Injili ya POKEA MAGARIIII!"
 
Sayari gani nyingine tofauti na dunia wameweza kuonekana viumbe hai au ishara ya civilizations kwa hizo telescopes, spectronomy n.k?
Hili ni swali tofauti na swali ulilouliza awali, unaelewa hilo?
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Amua moja kama unamtumikia Mungu mtumikie kweli. Kama unaitumikia Dunia basi itumikie haswa.

Hutokuja na huu uzi hapa.

Ukimtumikia Mungu ki kweli bila kutegemea return yeyote hapa Duniani utakuwa na amani katika yote maana unajua unajiwekea hazina zako mbinguni hutojali yote unayoyapitia.
 
Ila brother wewe ni mnafki sana. Mbona kama jibu lako linasapoti upande mmoja
jibu lakusema yupo ama hayupo linatakiwa liwe limethibitishwa kwa kufanya chunguzi ulimwengu mzima sasa wewe mpk unasema hayupo umeshafanya hivyo...??

NB; sifungamani pande yoyote sijui kama yupo au hayupo!.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Well said ..
 
Dhambi yako kubwa ni Ujinga, niamini mimi.
umezungukwa na wachawi wanakudanganya.
 
Hili ni swali tofauti na swali ulilouliza awali, unaelewa hilo?
Yanaendana, na yote yanakuonyesha jinsi gani akili za binadamu hazijaweza hata kugusa tone la mambo nje ya sayari yake mwenyewe tu, sasa kusema kwa uhakika Mungu hayupo inakuwa ni arrogance kubwa sana.
 
Mungu hawezi kukusaidia chochote. Mungu ni dhana tu isiyothibitishika.

Wajanja wamebambikiza mambo mengi kwenye dhana ya uwepo wa Mungu kwa faida zao binafsi.

Dhana haiwezi kukusaidia chochote.

Ukiwa na wakati mgumu, tafuta suluhisho halisi katika mazingira yako.
 
Yanaendana, na yote yanakuonyesha jinsi gani akili za binadamu hazijaweza hata kugusa tone la mambo nje ya sayari yake mwenyewe tu, sasa kusema kwa uhakika Mungu hayupo inakuwa ni arrogance kubwa sana.
Akili ya mtu kutoweza kugusa hata tone la mambo ya nje ya sayari yake mwenyewe tu nao ni ushahidi kwamba Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote hayupo.

Tunajiongeza wenyewe tu kidogo kidogo bila ya msaada wa Mungu, ndiyo maana hatujui mengi. Mungu angekuwepo, angetusaidia tujue mengi sana.

Angekuwepo, Mungu huyo asingekuwa na roho mbaya hivi kutunyima ujuzi wa namna hiyo.

You are making my point, without even knowing it.

Our ignorance shows God does not exist, it does not show God exists.

Zaidi ya yote, hujathibitisha Mungu yupo, huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Kumbe hamna haja ya kumwomba Mungu?
Soma tena kwa umakini

Mungu anasema tushukuru kwa kila jambo hata unapomuomba hakuna guarantee ya kwamba lazima akusaidie katika namna ile unayotaka wewe kwa sababu kuna watu Mungu hawapi utajiri kwa sababu anawasaidia kwani wanaweza kuwa na mwisho mbaya

Ko ndugu usichanganye
 
Humjui Mungu bro. tumia kamba za manila kujinyonga ufe
 
Back
Top Bottom