Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

281416731_739150667532286_2607130759206609651_n.jpg
 
Hivi unatesekaje, tuanzie hapo kwanza! acha kutafuta miujiza, fanya kazi acha uvivu
Ujinga wako unamlalamikia Mungu
Yesu mwana wa Mungu aliteseka tena kuuawa, Ayubu mtu mkamilifu na mnyenyekevu aliteseka,Samsoni alitobolewa macho na ni mtu wa karibu na Mungu
wewe una exceptional gani
Musa nabii aliteseka, akawekwa mtoni, akakimbia toka ikulu akaenda kuchunga
Je wewe uhusiano wako na Mungu upoje
Kiufupi watu wa karibu na Mungu kuna namna anawapitisha kwenye changamoto
Ibahim aliambiwa amtoe mtoto wake wa pekee kwa kumchinja sadaka
Yakobo alichumga miaka 14 ili kuwapata wake zake. wewe ushawahi kuchunga
Comment Bora kabisa hii, mwenye masikio na asikie
 
Inaonekana wewe ni mzee wa kubet mikeka inakuchanganya yaani mtu una smartphone na bando unalo afu bado unalalamika eti maisha magumu milembe inakuhusu wewe
 
Baada ya mateso yote niliugua tu kiasi chakukatiwa tamaa hata na ndugu maana sikuonekana nachamaana zaidi Kama Mali biashara nilifirisika ,,sikufanya chochote nilimwachia Mungu ,maana hata kwa wataalamu walikuwa wanapelekwa wengine minatengwa,,nilimwachia mungu tu yaani
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mungu yupo
 
Wasio na hatia jela walio mahututi hospital walio kuwa machizi ,walio kuwa mateja,walio vilema,walio kuwa misukule ,walio firisiwa na mabenk hao wote watasemaje ndugu ,pole sana kwa changamoto unazopitia usikate tamaa kesho yako mpya inakaribia
 
Huyu mtu anahitaji msaada wa kisaikolojia aiseee.🥺Amafika mahali hajui aamini nini. Ila ndugu tambua hakuna mafanikio kwenye nyakati rahisi. Tubu na mwamini Mungu hajashindwa kwako bado.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Unakufuru sana
 
Mungu hayupo mkuu. Jipange mwenyewe kuishi na wengine tu.

Tusaidiane wenyewe, kwa sababu Mungu hayupo, hivyo hawezi kutusaidia.

Ukielewa hili, utajibu maswali mengi sana.
Thibitisha uwepo wako wewe mwenyewe kwanza.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Watu wengi naona mnamutukana mleta maada bila sababu yeyote nazan ni kwa sababu bado hamjapitia magumu

Dunia hii inachanganya sana kuna mambo ni magumu sana na kuna nyakati ngumu sana usiombe ukutane nazo

Pole sana mleta maada MWENYEZI MUNGU AKUINUE KIROHO NA KIMWILI

usikate tamaa mimi nishawahi kupitia kipindi kigumu zaid ya hicho unachopitia lakin nilipiga magoti nikamulilia KRISTO YESU naye akanisaidia yakaisha

Kikubwa ongeza tu bidii katika kusaka pesa lakin pia usipende kuchagua kazi kaka yangu fanya kazi yeyote ile huku ukiendelea kumuomba MUNGU

Lakin pia usitaman maisha ya mtu awe tajir au masikin

Usipende kujilinganisha na watu utaona MUNGU hakupend hata ulefu hatufanani kaka yangu


Hawa matajiri wengi ni wachawi wakubwa usipende kuwataman hata kidogo


YESU anakupenda kaka yangu endelea kumtumainia bro

Ukifa mimi nitaumia sana kaka usifanye hivyo kaka YESU NI MWEMA NA NDO MWOKOZI

AMINA
 
Pole, dunia haina huruma.
Baada ya mateso yote niliugua tu kiasi chakukatiwa tamaa hata na ndugu maana sikuonekana nachamaana zaidi Kama Mali biashara nilifirisika ,,sikufanya chochote nilimwachia Mungu ,maana hata kwa wataalamu walikuwa wanapelekwa wengine minatengwa,,nilimwachia mungu tu yaani
 
Wasio na hatia jela walio mahututi hospital walio kuwa machizi ,walio kuwa mateja,walio vilema,walio kuwa misukule ,walio firisiwa na mabenk hao wote watasemaje ndugu ,pole sana kwa changamoto unazopitia usikate tamaa kesho yako mpya inakaribia
Sasa kwanini Mungu ameweka hivyo?!!
 
Watu wengi naona mnamutukana mleta maada bila sababu yeyote nazan ni kwa sababu bado hamjapitia magumu

Dunia hii inachanganya sana kuna mambo ni magumu sana na kuna nyakati ngumu sana usiombe ukutane nazo

Pole sana mleta maada MWENYEZI MUNGU AKUINUE KIROHO NA KIMWILI

usikate tamaa mimi nishawahi kupitia kipindi kigumu zaid ya hicho unachopitia lakin nilipiga magoti nikamulilia KRISTO YESU naye akanisaidia yakaisha

Kikubwa ongeza tu bidii katika kusaka pesa lakin pia usipende kuchagua kazi kaka yangu fanya kazi yeyote ile huku ukiendelea kumuomba MUNGU

Lakin pia usitaman maisha ya mtu awe tajir au masikin

Usipende kujilinganisha na watu utaona MUNGU hakupend hata ulefu hatufanani kaka yangu


Hawa matajiri wengi ni wachawi wakubwa usipende kuwataman hata kidogo


YESU anakupenda kaka yangu endelea kumtumainia bro

Ukifa mimi nitaumia sana kaka usifanye hivyo kaka YESU NI MWEMA NA NDO MWOKOZI

AMINA
Wengi hawajapitia changamoto ngumu
 
It is very easy to gain a world .

Kuokoka
Kuwa mcha Mungu
Kusali Sana
Kutenda matendo mema

Zote hizi sio njia za kupata Mali au mafanikio.

Chochote unachohitji in this entity be responsible you will get it.

Mungu
Shetani
Malaika
Majini
Ushirikina.


Mambo yote haya hayaleti wala hayaondoi chochote kwako.

Being spiritual person -nikitendo cha kutambua na kuelewa kuwa binadamu anapatikana sehemu mbili in physical form and spiritual realm.


So ikiwa unapata mikosi
Unapata changamoto
Haufanikiwi.

Jaribu kutumia njia za kawaida Kama kuhama eneo
Kujifunza kupitia (LS) ur previous mistakes.


God exist . don't blame GOD about ur situation stay calm .
 
Back
Top Bottom