Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

yako kwa maana ya kuileta hapa sio kuimiliki!..

kipi kinakupa hakika kuwa hizo contradiction ni sifa zake ambazo zina prove kutokuwepo kwake,bila kuangalia upatikanaji wake..??

Unajua "the problem of evil" ni nini?
 
Itakuwa hivyo.
Sio peke yako ambaye Mungu hana msaada kwako, hiyo ndio hali halisi kwa wote.

Utofauti wako na watu wengine ambao unawataja kama Mungu anawasaidia nikwamba wao ni watumwa wa imagination.

Hata ikitokea jirani yake amempa msaada wa chochote ila kwakuwa amekuwa mtumwa wa imagination hatoona utu wa huyo mtu na badala yake atasema tu ni Mungu kamsaidia kupitia jirani.
 
Msaada wowote anaoweza kukupa Mungu ni Confidence..., ndio maana hata wanaokwenda kwa Mizimu, wanaoamini lucky charms n.k. wanafakiwa...

In short kila kitu ukikifanya kwa kanuni zake utafanikiwa, tena kama unashinda umepiga magoti na kuomba badala ya kufuata kanuni za hicho kitu huenda ikawa detrimental na sio beneficial
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kukosa kulijua neno ndio kunako kuangamiza,ungelijua neno lingekuweka huru...
 
Bora uamini Mungu yupo na asiwepo.kuliko tuseme hayupo na umkute mbinguni ndugu yangu..,hata kama unapitia magumu kiasi gani usiache kumshukuru Mungu kwa Kila unalopitia
Mungu yupo na ni mmoja tu
 
Usikate tamaa kwa kuhisi au kuamini Mungu hana msaada na wewe.

Mungu anakupenda na kukuwazia yaliyo mema, ndiyo maana kakuumba na bado amekulinda hadi sasa uko hai.

Hayo mengine ni mapito tu na yana mwisho.

Omba rehema kisha mrudie kwa unyenyekevu na utiifu Mungu naye atakuvusha katika changamoto unazopitmaneno magumu
 
Bora uamini Mungu yupo na asiwepo.kuliko tuseme hayupo na umkute mbinguni ndugu yangu..,hata kama unapitia magumu kiasi gani usiache kumshukuru Mungu kwa Kila unalopitia
Mungu yupo na ni mmoja tu
Kwahiyo nawe unamwamini kwa mashaka?
 
L
Msaada wowote anaoweza kukupa Mungu ni Confidence..., ndio maana hata wanaokwenda kwa Mizimu, wanaoamini lucky charms n.k. wanafakiwa...

In short kila kitu ukikifanya kwa kanuni zake utafanikiwa, tena kama unashinda umepiga magoti na kuomba badala ya kufuata kanuni za hicho kitu huenda ikawa detrimental na sio beneficial
Labda.
 
Unajua "the problem of evil" ni nini?
naelewa na naelewa pia contradictions kibao zimuhusu huyu Mungu wa kwenye hivi vitabu!..
na huku nilikutoa huku kwa kukuuliza "unaelewa mtu akikuambia nadharia ya Uungu..?"
swali ambalo hukulijibu! ungejibu hapa ndo ungeelewa nataka kuandika nini.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Hiyo neema ya pumzi ambayo unayo ni neema tosha na upendo wake wangapi wameikosa tumia muda huu kutubia na sio kukufuru

Kweli nime amini masikini ni mwepesi kukufuru kuliko tajiri
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.

Hili tu la kusema Mungu hana msaada yako limefanya uyapate hayo yanayo kupata.
 
Mkuu pole sana kwa magumu unayopitia, situation kama yako ilishawahi kunikuta, lakini Mungu atabaki kuwa Mungu tu hata asipotenda unavotaka. Ila usifike hatua ya kutokumwamini.
 
Mungu hayupo mkuu. Jipange mwenyewe kuishi na wengine tu.

Tusaidiane wenyewe, kwa sababu Mungu hayupo, hivyo hawezi kutusaidia.

Ukielewa hili, utajibu maswali mengi sana.
Du kwa jinsi ulivyotokeza humu ni kama nzi wanavyotokeza kwenye mavi bila mnyaji kujua inzi wametokea wapi
 
Back
Top Bottom