The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Kwanini wajiita sun is sun.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anaweza akawepo lkn sio kama tunavyomfikiria kwamba anamiujiza..!Mungu hayupo mkuu. Jipange mwenyewe kuishi na wengine tu.
Tusaidiane wenyewe, kwa sababu Mungu hayupo, hivyo hawezi kutusaidia.
Ukielewa hili, utajibu maswali mengi sana.
Losted mind.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Unaweza kuta Baba yako alikuwa miongoni mwa Wasiojulikana hapo ukawa unavuna tu mavuno ya Ukoo.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
kweli kabisa. anataka vitu vya bureMchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe,jinsi unavyowaza,unawaza nini,tafuta kitu cha kufanya kama huna,omba kufanya usafi kwenye vituo vya watoto yatima,ili upunguze hayo mawazo mabaya kumhusu Mungu. Kingine angalia matendo yako na mawazo yako,je unawaza nini? Je ni mazuri? Kisha chukuwa hatua.
Yaani wewe upo!Ila mungu hayupo toka sasa anza kuitafakari afya yako ya Akili.Hayupo, ni hekaya za sungura na fisi
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
wale wajinga waliovurugwa na maisha ukajifunze kwao. AiseeMkuu watafute watu wanaitwa "wachokonozi"utajifunza mengi kuhusu Mungu.
Unapofika Mwisho yeye ndipo anaonekana. Mimi nitaendelea kumuamini sana kwa sababu amenivusha katika mengi.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Watumishi wa Mungu wote katika biblia walikuwa ni wafanyakazi hodari, wavuvi, maseremala, wafugaji na wakulima, sasa wewe umefanya nini?Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.