Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.

Nenda Kwa mangi kanunue oxygen ya elf mbili

Then urudi tena kuandika ujinga wako,

Unaweza kuwa na Simu, kulipia bando na kuandika maujinga then unalalamika?
 
Mungu anaweza akawepo lkn sio kama tunavyomfikiria kwamba anamiujiza..!
Ukishaanza kusema anaweza akawepo maana yake umekubali anaweza asiwepo. Hapo umeweka conjecture.

Unathibitishaje Mungu yupo?
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Nimekuelewa sanaaa, future yako ni kubwa mnoo na vita yako imekuwa kubwa pia, hivyo moyo umefadhaika. Na utajua sio muda mrefu Kuwa Mungu yupo na anaishi. Hii haitakuja kama ushuhuda wa mtu, bali wewe mwenyewe utashuhudia. Maana utaona na kukiri kwa moyo wako.

Pole sana giza limeendelea sana sasa karibia kunakuchwaa.
 
Hata vilema bado wanashukuru Mungu
Sasa wewe unacholaumu hapa sijakiona bado
Umekosa ajira? Wengi hawana ila bado wanapambana
Huna kitu? Bado una watu wa karibu wanaweza kukusaidia au huna mda nao
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Asipobadilika kupitia huu ujumbe atakuwa mfu anaetembea, kibaya zaidi ni kwamba hajui lengo la kuumbwa kwake.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kama yeye hakusaidii, msaidie wewe; maisha ni kusaidiana.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Tuliza Moyo wako. Mungu ana haja nawe. Endelea kumwomba Mungu. Maana ni kitambo kidogo tu ataenda kutenda.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mkuu shida ni wewe mwenyewe fikra zako juu ya mazingira yanayokuzunguka ndio zinachukua asilimia kubwa ya hali unayopitia.

Sasa kama unataka mabadiliko kwanza kabisa, Kamwe usimlaumu/usifikilie kua watu au Mungu ndio wamesababishia hali hiyo.

Amini kwamba hali iwayo yoyote ile unayopitia wewe ndio chanzo na hakuna mtu yeyote ataibadilisha kama wewe mwenyewe hautataka kubadilika.

Kwanini ni kwasababu wewe binafsi umepewa uwezo wa kuamua/ wakuchagua na ukiamua na kuchukua jitihada kwa Akili yako, mali zako na nguvu zako zote... Hilo jambo uliloamua litafanikiwa tu(kwa lugha nyingine ni unakua na IMANI) na yeyote aombaye kwa imani basi aamini amekwisha pokea)

Yaani binadamu yeyote yule (wewe) Ni sehemu ya Mungu/una Uungu ndani yako na nguvu unazo. Kiufupi wewe ni Mungu na kwa ujumla wetu watu wote tunaunda mtandao wa MUNGU. Sasa kama sisi ni miungu kwanini wengi wetu hatuna maajabu(nguvu) Ni KWASABABU hatujiamini(hatuna IMANI) hatujajiunganisha na mtandao wa MUNGU. Sasa kwanini umlaumu au ufikilie mbona kina fulani wako hivi mimi siko ilhali uwezo huo na wewe unao.

Sasa mimi nakushauri badilisha kabisa fikra zako uwe unajiwazia mambo mema ya baraka, mafanikio, huku ukiongeza Akili nguvu na mali zako zote(Uwekezaji) katika malengo ulio jiwekea katika utaftaji wako na ili nafsi yako ione uko serious*** nakushauri badili kabisa mazingira nenda sehemu ambako hujulikani na hauna msaada wowote kwako then ishi vizuri na watu.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Kwanini una hasira nami Ndugu yangu? Ndiyo ni kweli hajawahi kunisaidia
 
Usikate tamaa kwa kuhisi au kuamini Mungu hana msaada na wewe.

Mungu anakupenda na kukuwazia yaliyo mema, ndiyo maana kakuumba na bado amekulinda hadi sasa uko hai.

Hayo mengine ni mapito tu na yana mwisho.

Omba rehema kisha mrudie kwa unyenyekevu na utiifu Mungu naye atakuvusha katika changamoto unazopitia.
Kama ni kuomba niliomba sana.
Lakini bado hali tete kwangu
 
Huyo Mungu unayemlaumu ndio wewe mwenyewe, nyanyua hilo tako upambane uache kujilaumu.

Ukitaka kufanikiwa usilalamike, badili mtazamo, badili akili, anza kuyatazama mambo yote katika hali Chanya.

Malalamiko husababisha matatizo mengi zaidi. Fikra za umasikini husababisha umasikini mwingi zaidi na zaidi.

Fikra za mikosi huzalisha mikosi mingine mingi zaidi. TULIZANA, BADILI MTAZAMO.

Anza sasa kujifikiria mambo mazuri tu na utaona mambo yote mazuri yanakuja kwako kwa wingi. Fedha, mali, furaha na baraka.
Kumbe kwa mantiki hiyo ni kuwa hayupo?
 
Kwahiyo hao wagonjwa waliopo huko hospitali ndiyo wanastahili kuteseka? Huruma ya Mungu ikowapi?
Pole mkuu,naona umefikia kiwango Cha juu chakukata tamàa. Nikwambie tu kwamba Kuna mtu anaweza kuja kwako saivi akakusimulia shida zake ukajiona wewe una nafuu kubwa. Hujawahi kwenda hospital kubwa ukijiona mgonjwa Kisha ukaona wagonjwa wengine wenye Hali mbaya zaidi Yako?. Kingine, kila mungu anataratibu zake zakusaidia watu wake. Jitahidi sana kutimiza Yale ambayo huyo mungu wako anataka utafanikiwa mkuu.
Kumbuka; Mungu ni mmoja ila mungu wapo wengi.Tofauti ipo kwenye herufi "M" na "m" za mwanzo
 
Back
Top Bottom