Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
 
Usikate tamaa kwa kuhisi au kuamini Mungu hana msaada na wewe.

Mungu anakupenda na kukuwazia yaliyo mema, ndiyo maana kakuumba na bado amekulinda hadi sasa uko hai.

Hayo mengine ni mapito tu na yana mwisho.

Omba rehema kisha mrudie kwa unyenyekevu na utiifu Mungu naye atakuvusha katika changamoto unazopitia.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Pambana mwenyewe na changamoto zinazokuukabili uzitatue mwenyewe, Mungu hayupo so ukikaa unategemea kitu kinaichoitwa Mungu kikusaidie utasubiri sana maana hakipo.

Acha kutegemea na kulaumu kitu ambacho hakipo, pambana mwenyewe.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Vizuri anza leo basi kufanya hivyo
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Temea mate chini huku kuandika tuu ni udhihirisho tosha, kwamba Bado Mungu anakupenda na kukupigia ,mpaka unabando!
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mkuu watafute watu wanaitwa "wachokonozi"utajifunza mengi kuhusu Mungu.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mungu hayupo mkuu. Jipange mwenyewe kuishi na wengine tu.

Tusaidiane wenyewe, kwa sababu Mungu hayupo, hivyo hawezi kutusaidia.

Ukielewa hili, utajibu maswali mengi sana.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Heee
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka!

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balata za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namba ambavyo anafanya kazi zake, go die, killl yourself, die baby die!
Taja watu tunaowafahamu bn, acha kututajia characters wa story bn.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka!

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balata za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namba ambavyo anafanya kazi zake, go die, killl yourself, die baby die!
unacho kiti chako Mbinguni
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Walokole feki utasikia wanaisingizia mizimu ya ukoo wenu
 
Pole mkuu,naona umefikia kiwango Cha juu chakukata tamàa. Nikwambie tu kwamba Kuna mtu anaweza kuja kwako saivi akakusimulia shida zake ukajiona wewe una nafuu kubwa. Hujawahi kwenda hospital kubwa ukijiona mgonjwa Kisha ukaona wagonjwa wengine wenye Hali mbaya zaidi Yako?. Kingine, kila mungu anataratibu zake zakusaidia watu wake. Jitahidi sana kutimiza Yale ambayo huyo mungu wako anataka utafanikiwa mkuu.
Kumbuka; Mungu ni mmoja ila mungu wapo wengi.Tofauti ipo kwenye herufi "M" na "m" za mwanzo
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
 
Huyo Mungu unayemlaumu ndio wewe mwenyewe, nyanyua hilo tako upambane uache kujilaumu.

Ukitaka kufanikiwa usilalamike, badili mtazamo, badili akili, anza kuyatazama mambo yote katika hali Chanya.

Malalamiko husababisha matatizo mengi zaidi. Fikra za umasikini husababisha umasikini mwingi zaidi na zaidi.

Fikra za mikosi huzalisha mikosi mingine mingi zaidi. TULIZANA, BADILI MTAZAMO.

Anza sasa kujifikiria mambo mazuri tu na utaona mambo yote mazuri yanakuja kwako kwa wingi. Fedha, mali, furaha na baraka.
 
Back
Top Bottom