Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Nishakuwa imara sana lakini bado hajafanya chochote, Kama yupo kweli basi anapaswa kuniomba msamaha 🙏
Hapana mtumish hajashindwa wala hawezi shindwa

Hajawahi acha kumjibu mtu maombi yake

Unafaa uwe imara kama mlima piga moyo konde MUNGU MWENYEZI ni MUNGU mwenye nguvu
 
Mungu nahisi nimekukosea kwa kuufungua uzi huu na kuusoma. Nisamehe Kristo Yesu, nakuaminj na nakutegemea katika maisha yangu. Umenitoa mbali sana, kama sio wew kuwambwa mslabani sijui ningekua wapi mimi.
 
1736185829790.png
... ya Mungu anajua Mungu!
 
Mlikua wengi takribani milioni na kila mmoja alikua na chance ya kuja duniani,... Ila wewe ulijitia kimbelembele.

Basi ungewaachia wenzio nafasi.

Mkuu unauhakika kua haikua ridhaa yako kuja duniani... 😁😁😁Kwa taarifa yako hata mama yako ni wewe ndio uliemchagua na wala sio mzee.
Kumbe ni kweli Mungu hayupo eeh.
 
Mungu anapaswa kuniomba msamaha.
Sasa kama anaratibu mpango si kakupa akili na wewe zitumie akili zako kuratibu mipango yako. Mungu ameumba binadamu na akawapa utashi/akili za kuwaongoza katika maisha yao. Sasa tuzitumie akili zetu vyema.
 
S
Huna mantiki yoyote na jambo lako unakesi na mungu kivipi?

Thibitisha kuwa mungu yupo.

Unakuwaje na kesi na kitu/ mtu asiyetambulika,hujawahi kumuona, huna ushahidi wowote tangible...ndomaana tunakwambia wewe una MENTAL ILLNESS,wahi MIREMBE.

Kama unashupaza shingo nenda mahakamani huko ndo wanatoa hukumu,watakusaidia🤝
Sawa Mkuu 🙏
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Ilikuwa ni busara sana kama ungekaa kimya tu,usingepungukiwa na chochote kuliko kuongezekewa na maudhi uliyo pata kwenye uzi huu na hatia siku zinazo kuja.
 
Ngoja akutandike jipu la mgongo ndio utajua ukubwa wake.........unadhani mwenyezi mungu ni sawa sawa na baba ko mnywa gongo unayemtolea utumbo wako kira wakati...........sasa subiria
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Yesu wangu
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Baada ya kushiba maboga yaliyopandwa kwenye ardhi yake ukiwa unavuta Oxygen ya bure kabisa kutoka kwake,akakupa na utashi wa kujiona shababi na kumtaka akuombe msamaha...dah...
Btw...mbona umeanzia mbali ungeanza baba na mama kwanza ambao starehe zao faida ni wewe.
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
UNAHITAJI MSAADA
 
Back
Top Bottom