Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatakiwa, ooerative word ni anatakiwa.Hapana unapokua na njaa kali imani ndo inakua inaongezeka zaida either positive (God) au Negative (Ushetani)
Wewe ni Atheist, mimi ni believerHuyo Mungu hata wewe huwezi kuthibitisha yupo mkuu.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
AsanteSubiri atakurudisha ulipotoka na kusahaurika.
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.Wewe ni Atheist, mimi ni believer
Sipo apa jukwaani kumthibitishia mtu yeyote au chochote kuhusu hilo Mkuu
Mkuu acha tuu shukuru upo katika chain ya kujipata ukiwa toka umri mdogoAnatakiwa, ooerative word ni anatakiwa.
Sema watu hawatumii logic.
Mkuu,Mkuu acha tuu shukuru upo katika chain ya kujipata ukiwa toka umri mdogo
Mkuu.... Mi huwa naimani tuu kuna someone anae control...Mkuu,
Point yngu kubwa ya kupinga uwepo wa Mungu ni problem of evil.
Ni kweli kuna mkoba uoande wa mama na uoande wa baba.
Kwa hiyo hata ningezaliwa nje ya chain ya kujipata, huko ndiko ningekuwa na sababu kubwa zaidi ya kukataa uwepo wa Mungu.
Imani ni haki yako ya kikatiba na kiutu.Mkuu.... Mi huwa naimani tuu kuna someone anae control...
Hizi ni tabia za AtheistHuwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.
Logical non sequitur fallacy.Hizi ni tabia za Atheist
God's existence relies on logic rather than observation.Logical non sequitur fallacy.
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.
What logic, logic contradicts the existence of God.God's existence relies on logic rather than observation.
Argue with the wall
Wewe kuwa mpole shetani atakuja kukuomba msamaha muda sii mrefu.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Hiyo Mungu sahihi ni nani?Tatizo unamuabudi mungu asiye sahihi shida ndo inaanzia hapo ila ungekuwa unamuabudu Mungu alie sahihi alie kuleta hapa duniani wala usingelalamika hapa kama una akili Kb huwezi kunielewa!
Kazi hiyo alitakiwa kuifanya Mungu, ya kumkumbusha mzazi wake kuvaa kondom au kumwaga nje...
Kumuomba nani msamaha?Ndo kwanza mwezi wa kwanza....
Wee ngona utakuja kuomba msamaha sasa hvi